Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

grandpashabet giriş

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

”TUWE NA USHIRIKA IMARA WENYE KUKUZA UCHUMI’-DKT CHUACHUA

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua ,akizungumza wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Na Alex Sonna-TABORA

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Dkt. Rashid Chuachua, amewaasa wanaushirika kutumia Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kujitafakari na kuangalia Sheria, Sera, Kanuni na Taratibu ili kutumia Ushirika kwenye kukuza uchumi wa nchi.

Dkt.Chuachua ametoa kauli hiyo Juni 30, 2023 mjini Tabora kwenye Kongamano la Wanaushirika lililokuwa na lengo la kujadili maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho na kuishauri Serikali.

Amesema ni muhimu maadhimisho hayo yakatumika kuangalia maeneo hayo ili kujiimarisha na kujiletea maendeleo endelevu ya ushirika nchini.

“Nikupongeze Mrajis kwa kazi unayofanya ya kusimamia Ushirika nchini, dhamira ya Serikali ni kuona Ushirika unakuwa na maendeleo endelevu katika shughuli za uchumi na jamii yanafikiwa, hii ni sekta mtambuka yenye kusimamia uchumi wa nchi na kuongeza pato la taifa na kukuza uchumi wa mwanachama mmoja mmoja,” amesema.

Aidha, amesema maadhimisho hayo yanatoa dira na mwelekeo wa kuisaidia Wizara kutatua changamoto zilizopo leo ili kesho zisiwepo tena na kwamba maadhimisho hayo lazima yatoe matokeo yanayopimika ili kuona manufaa yake.

Kadhalika, amesema kuna tatizo la weledi wa taaluma ya hesabu kwa watumishi wa vyama vya ushirika na kupongeza Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kwa kazi kubwa waliyofanya ya kuwa na mafunzo mbalimbali yanayotolewa bila kuzingatia viwango vya elimu ili kuwa na ufanisi kwenye hesabu za ushirika.

Awali, amesema wanaushirika wamejengewa uwezo kupitia makongamano mbalimbali ikiwamo masuala ya kodi, elimu ya kuzuia na kupambana na rushwa, masoko ya bidhaa na huduma na ukaguzi katika vyama vya ushirika kufikia maendeleo endelevu.

“Mmeshiriki kongamano la biashara na uwekezaji kwa vyama vya ushirika kutumia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na Nafasi ya Ushirika kuanzisha viwanda vidogo vidogo pamoja na fursa ya uwekezaji katika hisa za benki, vipande na soko la mitaji kukuza fursa za uwekezaji, pia kongamano la Sekta ya Huduma za Fedha na TEHAMA ikiwa na uzoefu katika huduma za kifedha za benki na SACCOS pamoja na Ushirika kujiendesha kidigitali ikiwa ni pamoja na matumizi ya TEHAMA katika uendeshaji wa vyama vya ushirika ili kuleta maendeleo endelevu,” amesema.

Naye, Mrajis wa Vyama Vya Ushirika na Mtemdaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume hiyo inaendelea kutekeleza ipasavyo Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika eneo la Ushirika kutokana na kuwekewa msisitizo kwa kutajwa mara 85.

“Kongamano hili limetokana na majukwaa ya Ushirika kwenye mikoa, kuna suala la vyama vingi vya Ushirika wa mazao kwa mfano Tumbaku tuna vyama vya kilimo lakini baada ya mauzo wananchi hawapati namna ya kutunza fedha zao kwa mwisho wa siku fedha zinaisha na inapofika mwisho wa msimu wanarudi kwenye utumwa wa kukopa, hapa wameongea kuhusu Benki ya Ushirika na kuweka mikakati, kuhusu Stakabadhi za Ghala, sera na sheria ya Ushirika na Ushirika kufanya kazi kibiashara,” amesema.

 Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua ,akizungumza wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege,akielezea malengo ya Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe.Onesmo Buswelu,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Moshi (MoCU) Prof.Alfred Sife,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Katibu Mtendaji wa Shirika la Vyama vya Ushirika (TFC) Bw.Alex Ndikilo,akitambulisha Meza Kuu wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora Ndg Majaliwa Bilali,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua (hayupo pichani) wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akikabidhi tuzo mbalimbali kwa taasisi zilizosaidia kuandaa Maandalizi ya  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga  Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akizindua Tovuti (Website) ya mfuko wa tafiti za ushirika katika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Tafiti za Ushirika mara baada ya kuzindua Tovuti (Website) ya mfuko wa tafiti za ushirika katika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

About the author

Alex Sonna