Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking giriş

meritking

meritking

mavibet giriş

meritking telegram

marsbahis giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

kingroyal

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

bodrum escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

matbet

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

Featured Kitaifa

WAZIRI AWESO AZINDUA BODI ZA WAKURUGENZI MFUKO WA MAJI WA TAIFA NA WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

Written by Alex Sonna

 

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizindua  Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko wa Maji wa Taifa hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mheshimiwa Jackson Kiswaga,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule,akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Kaimu mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Vijijimi (RUWASA) Bwai Biseko, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Maji ya Taifa, Mhandisi Mbogo Futakamba ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya Washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  wa Maji Jumaa Aweso (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

 

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizindua  Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko wa Maji wa Taifa hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizindua  Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini  hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi RUWASA Mhandisi Ruth Koya,akitoa neno la shukrani kwa Waziri a Maji Jumaa Aweso (hayupo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Maji Mhandisi Abdallah Mkufunzi ,akitoa neno la shukrani kwa Waziri a Maji Jumaa Aweso (hayupo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua akizungumza Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji wa Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini hafla iliyofanyika leo Juni 27,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,ameiagiza Bodi ya Mfuko wa Maji wa Taifa kutafuta vyanzo vingine vya Mapato badala ya kuendelea kutegemea fedha zinazotolewa na Serikali.

Waziri ameyasema hayo leo Juni 27,2023 jijini Dodoma  wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi za Wakurugenzi za Mfuko wa Maji Taifa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini.

Amesema Mfuko wa Maji ni kichochoe kikubwa cha ukuaji wa Sekta ya Maji hivyo miradi inayotekelezwa isimamiwe ili ikikamilika iwe chanzo Cha mapato na kuwezesha Ujenzi wa Miradi mingine.

“Serikali inatupatia fedha za mfuko wa Maji kila mwezi lakini Bodi hatupaswi kuendelea kutegemea chanzo kimoja kwani mahitaji bado mengi hivyo tutafute namna nyingine ya kupata fedha, mbona kuna taasisi zinapata fedha na sisi tutafute vyanzo vingine vya mapato”amesema Aweso

Aidha, Aweso ameitaka Bodi ya Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini kuangalia namna ya miradi ya maji inavyoweza kujiendesha yenyewe katika maeneo ya vijijini.

“Fedha za miradi ya maji zisiachiwe Jumuiya lazima kuwepo na usimamizi lazima sasa tujipime kama kuna haja ya kuendelea na mfumo huu wa kutumia jumuiya kuendesha miradi ya maji vijijini.”amesema

Hata hivyo amesema kuwa  hivi sasa wizara hiyo imeshamaliza mchakato wa bajeti yake kazi itakayofuta ni kufanya tathimini ya utendaji kwa watumishi wake na kila mtumishi atawajibishwa.

“Nipo tayari kuonekana mbaya hivi sasa lakini siyo taasisi hii kufia mikoni mwangu ni lazima tufikie malengo ya taifa kwenye upatikanai wa maji mijini na vijijini,fedha zilizotolewa na serikali lazima zitumike kwa mujibu wa mahitaji yaliyopo ”amesema Aweso

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba amesema kwa sasa Wizara hiyo imeamua kuachana na utaratibu wa kuchimba visima vidogovidogo Kwa Kila Kijiji badala yake wanachimba kisima kikubwa na kusambaza maji katika vijiji vingi ili kupunguza gharama.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amesema kuwa Dodoma bado hakuna maji ya uhakika hivyo kaiomba Wizara ya Maji kufanya Dodoma kuwa ni eneo Maalum la kushughulikiwa kwani ni Makao Makuu ya nchi hivyo ongezeko la watu wanaohamia ni kubwa.

“Kutokuwepo Kwa maji ya uhakika inaupotezea Mkoa wa Dodoma sifa Kwa wawekezaji maana wanapokuja jambo la kwanza kutuliza ni maji na wakigundua kuwa Kuna changamoto ya maji hawarudi tena hivyo Dodoma kama Makao Makuu itengewe fungu maalumu kuhakikisha changamoto ya maji inatatuliwa ili wawekezaji wavutiwe kuwekeza hapa,” amesema Mhe.Senyamule

Awali Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Vijijimi (RUWASA) Bwai Biseko,amesema kuwa hadi kufikia Desemba 2022, jumla ya miradi 2,273 ya miundombinu ilikuwa imejengwa na kukamilika kupitia fedha za ndani na wadau wa Maendeleo.

“Miradi hiyo inanufaisha wanachi 11,641,230 katika vijiji 4,809.  Katika kipindi hicho ujenzi wa mabwawa saba ulikamilika na jumla ya visima 947 vilichimbwa”amesema

Hata hivyo amesema kuwa  katika kipindi cha kuanzia Julai 2019 hadi September 2022, RUWASA ilifanikiwa kuunda na kusajili CBWSOs 2,524 na zimeweza kuajiri watalaam 5,586 wa fani za ufundi, uhasibu na kada saidizi ili kuwa na uendelevu wa huduma.

“Mheshimiwa Mgeni Rasmi, vilevile, nikushukuru wewe pamoja na uongozi wa wizara ya Maji kwa kuwezesha upatikanaji wa fedha za utekelezaji wa majukumu ya RUWASA, kiasi cha Sh.995,638,503,970 kati ya Sh. 1,044,588,249,042 zilizotengwa ambayo ni sawa na asilimia 95 ya bajeti ya RUWASA kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2019/2020 hadi mwaka 2021/2022, fedha ambazo zimewezesha kupatikana kwa mafanikio yaliyotajwa hapo juu”amesema

Hata hivyo alisema katika mwaka 2023/2024, RUWASA imepanga kutekeleza jumla ya miradi ya maji vijijini 1,546 ikihusisha miradi ya ujenzi wa mabwawa ya kuhifadhi maji katika maeneo mbalimbali nchini.

About the author

Alex Sonna