Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

SIMBACHAWENE ATOA MAAGIZO TAASISI ZA UMMA KUWA NA MIKATABA HAI

Written by Alex Sonna

WAZIRI  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene,akizindua mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu  Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Juma Mkom,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Sospeter Mtwale,akizungumza wakati wa uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene,akizindua mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania(TBA),Daud Kondoro,akitoa neno la shukrani kwa niaba ya taasisi za umma mara baada ya Waziri wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene,kuzindua  mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua Mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma hafla iliyofanyika leo Juni 23,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI  wa Nchi Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,George Simbachawene ameagiza taasisi zote za umma ziwe na mikataba ya huduma kwa wateja iliyo hai pamoja na kujenga uelewa kwa wateja kuhusu mikataba hiyo.

Akizungumza leo Juni 23,2023,jijini Dodoma katika uzinduzi wa mikataba ya huduma kwa wateja na taasisi za umma,Waziri Simbachawene amesema matumizi ya mikataba hiyo yameleta mafanikio kadhaa ikiwemo kuwezesha watumishi kuongeza uwajibikaji na nidhamu kazini.

Pia amesema  imeongeza watumishi  wa umma kuwa na utamaduni wa utendaji kazi unaojali matokeo na tija kwa wakati.

Waziri Simbachawene amesema pamoja na mafaniko hayo yapo mapungufu ambayo yamejitokeza ikiwemo kukosekana na kutohuishwa kwa mikataba  ya huduma kwa wateja.uelewa mdogo wa  kuhusu mikataba hiyo na usimamizi usioridhisha .

Kutokana na changamoto hizo Waziri Simbachawene ameagiza taasisi zote za umma ziwe na mikataba ya huduma kwa wateja iliyo hai pamoja na kujenga uelewa kwa wateja kuhusu mikataba hiyo.

“Nina Imani  kuimarika kwa matumizi  ya mifumo ya utendaji kazi serikalini  hususani matumizi ya mikataba  ya huduma kwa wateja italeta mageuzi makubwa ya utendaji  unaojali matokeo.

“Pia kutakuwa na ungezeko  la uwajibikaji ufanisi katika matumizi  ya rasilimali nyingine katika sekta za umma.Napenda kuchukua nafasi ya  kuzipongeza taasisi za umma ambazo zimetekeleza  maelekezo husika,”amesema Waziri Simbachawene.

Amesema serikali ina jukumu la kuwezesha wananchi kupata huduma bora  ikiwa ni pamoja na elimu,afya,maji ,mawasiliano  ambapo ili kufanikisha jambo hilo Serikali ina sanifu na kujenga mifumo.

Kwa upande,Katibu Mkuu  Ofisi Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Juma Mkomi amesema taasisi za umma zimekuwa zikiadhimisha wiki ya utumishi wa umma ambayo hufanyika kila mwaka. kuanzia Juni 16 hadi 23 kwa lengo la kutambua mchnago wa watumishi wa umma katika maendeleo ya nchi zao.

Amesema katika kuadhimisha wiki hiyo,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma inazindua mikataba  mikataba ya huduma kwa mteja na taasisi za umma.

Bw.Mkomi amesema mkataba huo ni ahadi ya kimaandishi kati ya taasisi ya umma na wateja wake ambapo mkataba huo unamwezesha mteja kufahamu huduma  zinazotolewa  na taasisi za uuma,viwango vya utoaji huduma,wajibu wa taasisi.

“Ni azma ya Serikali kuhakikisha kila taasisi inakuwa na mkataba wa huduma kwa wateja na kuutekeleza ipasavyo  ili kuboresha utoaji wa huduma kwa umma,”amesema Katibu Mkuu huyo.

Amesema katika kufanikisha hilo hilo,ofisi yake ilitoa maelekezo kwa taasisi zote za umma kuhuisha mikataba ya huduma kwa wateja na kuhakikisha taasisi zote zinakuwa na mikataba hai.

Naye  Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Sospeter Mtwale ,amesema kuwa mikoa yote nchini pamoja na serikali za mitaa nchini  kuandaa mikataba na kusimamia mikataba kwa watumishi wa umma katika kutekeleza utekelezaji  ambao umeandikwa kisheria lakini tujali majukumu ambayo tunatakiwa kuyafanya,

” Nikiiri kwamba bado mikataba ya watumishi wa umma katika ofisi za serikali ya mitaa bado hatuja zingatia katika ngazi ya mikoa na mitaa hivyo tunaenda kutekeleza hilo” amesema Mtwale 

About the author

Alex Sonna