slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

piabet

Featured Kitaifa

ROSTAM, KITILA WAMSHUKIA VIKALI MBOWE KWA KAULI ZA UBAGUZI

Written by Alex Sonna

* Wamtaka awaombe radhi Watanzania kwa kuwabagua Wazanzibari

* Wawaonya wanasiasa kwa kutoa kauli hatari kwa umoja wa taifa

 

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa kauli za ubaguzi dhidi ya Wazanzibari kwenye mjadala unaoendelea wa uwekezaji binafsi katika bandari ya Dar es Salaam na kumshangaa mwanasiasa huyo kwa kuleta siasa za ukaburu kwenye jambo la kiuchumi na kibiashara.


Bila kumtaja Mbowe kwa jina, Rostam na Kitila wameonesha kukerwa na kushtushwa na kauli za kibaguzi ambazo Mbowe amezitoa dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof Makame Mbarawa, kwa kuhusisha asili yao ya Zanzibar na maamuzi ya uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

 

Kauli hizo za kibaguzi za Mbowe, ambazo zimerudiwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Wilibrod Slaa, zimechochea mjadala wa kibaguzi wa wanaojiita Watanganyika dhidi ya Wazanzibari kwenye suala la bandari ya Dar es Salaam.

 

“Hizi siku za karibuni nimekuwa nasikiliza huu mjadala kuhusu uendeshaji wa bandari (ya Dar es Salaam). Sina tatizo na watu kukosoa vitu. Lakini kilichonitatanisha, kunisikitisha na kunisononesha na kunitisha ni sura ya mjadala wenyewe. Ukachukua sura ya kisiasa ya ushabiki na hata hao viongozi walioamua kutumia siasa katika hili jambo wakahusisha na dini,” Rostam alisema kwenye mdahalo wa kitaifa uliofanyika Dar es Salaam leo.

 

“Ni bahati mbaya sana kwamba mjadala wa kiuchumi na kibiashara unageuzwa kuwa mjadala wa kisiasa, wa kishabiki na wa kidini. Hili jambo halina afya kwa nchi yetu.”

Rostam alikuwa ni miongoni mwa watoa mada kwenye mdahalo huo ulioandaliwa na kampuni ya Media Brains jijini Dar es Salaam.

 

Bila kutaja jina la mwanasiasa yoyote yule, Rostam alikemea uchochezi wa kidini na nyufa za muungano unaochochewa na wanasiasa wakubwa wa vyama vya upinzani nchini.

 

“Unamuona kiongozi mkubwa kabisa anaanza kuzungumza habari ya Uzanzibari na Utanganyika kwenye suala la kibiashara na kiuchumi. Ni hatari kwa nchi yetu, ni hatari kwa umoja wetu,” Rostam alisema.

Rostam alionya kuwa umoja wa kitaifa ambao umeasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amani Karume sasa umeanza kupata ufa kutokana na kauli za kibaguzi za viongozi wakubwa wa siasa.

 

“Leo hii tunaposema mtu ni Mzanzibari ndiyo maana amefanya maamuzi haya, kesho tutasema huyu Rais ametoka Mbeya, hana haki ya kufanya maamuzi kwa mgodi wa Mara,” Rostam alionya.

 

Naye Kitila alisisitiza kuwa ni muhimu kwa viongozi wa kisiasa kuheshimu dhamana yao ya kitaifa bila kujali kama wako kwenye chama tawala au vyama vya upinzani.

 

“Nchi yetu ina pande mbili za muungano. Hatuwezi kumhukumu mtu kwa sababu ametoka pande moja ya muungano. Kama kiongozi amekosea, asihukumiwe kwa sababu anatoka wapi. Ukifanya hivyo, unaacha dhamana ya kiongozi unakwenda kugusa mambo ya msingi yanayofanya taifa letu kuwa taifa,” alisema.

 

Kitila alimshauri Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, ambaye alihudhuria mjadala huo kuangalia na chama chake namna ambavyo Mbowe anaweza kuwaomba radhi Watanzania kwa kauli zake za kibaguzi dhidi ya Wazanzibari na kuzifuta kauli hizo.

 

“Mimi nadhani katika hali ya kistaarabu nyie (CHADEMA) mkikaa kwenye uongozi, Mwenyekiti wetu wa taifa (Freeman Mbowe) anaweza akatafuta namna ya ku-apologise (kuomba radhi) na ku-withdraw statement zake (kufuta kauli). Kwa sababu anaposema kwa nini bandari za Zanzibar hazijahusishwa, sisi tumefanya mambo mengi bara kwa nini hatukuuliza hatukujenga Zanzibar,” alisema.

 

“Waongee wengine huko kwenye vijiwe, lakini sisi kama viongozi wa kitaifa lazima tuchukue dhamana. Inawezekana mwenyekiti wetu (Mbowe) alipata jazba aka apologise (akaomba radhi).”

About the author

Alex Sonna