Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

Featured Kitaifa

ROSTAM, KITILA WAMSHUKIA VIKALI MBOWE KWA KAULI ZA UBAGUZI

Written by Alex Sonna

* Wamtaka awaombe radhi Watanzania kwa kuwabagua Wazanzibari

* Wawaonya wanasiasa kwa kutoa kauli hatari kwa umoja wa taifa

 

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa kauli za ubaguzi dhidi ya Wazanzibari kwenye mjadala unaoendelea wa uwekezaji binafsi katika bandari ya Dar es Salaam na kumshangaa mwanasiasa huyo kwa kuleta siasa za ukaburu kwenye jambo la kiuchumi na kibiashara.


Bila kumtaja Mbowe kwa jina, Rostam na Kitila wameonesha kukerwa na kushtushwa na kauli za kibaguzi ambazo Mbowe amezitoa dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof Makame Mbarawa, kwa kuhusisha asili yao ya Zanzibar na maamuzi ya uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

 

Kauli hizo za kibaguzi za Mbowe, ambazo zimerudiwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Wilibrod Slaa, zimechochea mjadala wa kibaguzi wa wanaojiita Watanganyika dhidi ya Wazanzibari kwenye suala la bandari ya Dar es Salaam.

 

“Hizi siku za karibuni nimekuwa nasikiliza huu mjadala kuhusu uendeshaji wa bandari (ya Dar es Salaam). Sina tatizo na watu kukosoa vitu. Lakini kilichonitatanisha, kunisikitisha na kunisononesha na kunitisha ni sura ya mjadala wenyewe. Ukachukua sura ya kisiasa ya ushabiki na hata hao viongozi walioamua kutumia siasa katika hili jambo wakahusisha na dini,” Rostam alisema kwenye mdahalo wa kitaifa uliofanyika Dar es Salaam leo.

 

“Ni bahati mbaya sana kwamba mjadala wa kiuchumi na kibiashara unageuzwa kuwa mjadala wa kisiasa, wa kishabiki na wa kidini. Hili jambo halina afya kwa nchi yetu.”

Rostam alikuwa ni miongoni mwa watoa mada kwenye mdahalo huo ulioandaliwa na kampuni ya Media Brains jijini Dar es Salaam.

 

Bila kutaja jina la mwanasiasa yoyote yule, Rostam alikemea uchochezi wa kidini na nyufa za muungano unaochochewa na wanasiasa wakubwa wa vyama vya upinzani nchini.

 

“Unamuona kiongozi mkubwa kabisa anaanza kuzungumza habari ya Uzanzibari na Utanganyika kwenye suala la kibiashara na kiuchumi. Ni hatari kwa nchi yetu, ni hatari kwa umoja wetu,” Rostam alisema.

Rostam alionya kuwa umoja wa kitaifa ambao umeasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amani Karume sasa umeanza kupata ufa kutokana na kauli za kibaguzi za viongozi wakubwa wa siasa.

 

“Leo hii tunaposema mtu ni Mzanzibari ndiyo maana amefanya maamuzi haya, kesho tutasema huyu Rais ametoka Mbeya, hana haki ya kufanya maamuzi kwa mgodi wa Mara,” Rostam alionya.

 

Naye Kitila alisisitiza kuwa ni muhimu kwa viongozi wa kisiasa kuheshimu dhamana yao ya kitaifa bila kujali kama wako kwenye chama tawala au vyama vya upinzani.

 

“Nchi yetu ina pande mbili za muungano. Hatuwezi kumhukumu mtu kwa sababu ametoka pande moja ya muungano. Kama kiongozi amekosea, asihukumiwe kwa sababu anatoka wapi. Ukifanya hivyo, unaacha dhamana ya kiongozi unakwenda kugusa mambo ya msingi yanayofanya taifa letu kuwa taifa,” alisema.

 

Kitila alimshauri Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, ambaye alihudhuria mjadala huo kuangalia na chama chake namna ambavyo Mbowe anaweza kuwaomba radhi Watanzania kwa kauli zake za kibaguzi dhidi ya Wazanzibari na kuzifuta kauli hizo.

 

“Mimi nadhani katika hali ya kistaarabu nyie (CHADEMA) mkikaa kwenye uongozi, Mwenyekiti wetu wa taifa (Freeman Mbowe) anaweza akatafuta namna ya ku-apologise (kuomba radhi) na ku-withdraw statement zake (kufuta kauli). Kwa sababu anaposema kwa nini bandari za Zanzibar hazijahusishwa, sisi tumefanya mambo mengi bara kwa nini hatukuuliza hatukujenga Zanzibar,” alisema.

 

“Waongee wengine huko kwenye vijiwe, lakini sisi kama viongozi wa kitaifa lazima tuchukue dhamana. Inawezekana mwenyekiti wetu (Mbowe) alipata jazba aka apologise (akaomba radhi).”

About the author

Alex Sonna