marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA MPANGO WA UFUGAJI WA KISASA NA KIBIASHARA – SILINDE

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde akifungua mafunzo yenye Kauli Mbiu ya “Youth Bussiness Engangement Through Livestock” kwa vijana wajasiriamali wanaonenepesha mifugo kupitia vituo atamizi, Kampasi ya LITA Kikulula, wilayani Karagwe mkoa wa Kagera. Mhe. Silinde amewataka vijana wanufaika wa mpango huo kuwa wavumilivu, wasikivu na wadadisi zaidi ili kuweza kuzijua fursa mbalimbali zinazopatikana katika taasisi za fedha pamoja na asasi nyingine za maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mhe. Julius Laizer akitoa akiwasalimu washiriki wa Mafunzo Atamizi kabla ya ufunguzi wa mafunzo yenye Kauli Mbiu ya “Youth Bussiness Engangement Through Livestock” kwa vijana hao waliopo kwenye Kampasi ya LITA Kikulula, wilayani Karagwe mkoa wa Kagera.

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA), Dkt. Pius Mwambene akitoa taarifa fupi kwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi kuhusu utekelezaji wa program ya Jenga Kesho iliyobora kwa vijana kupitia miradi ya ufugaji mifugo kibiashara wakati ufunguzi wa mafunzo yenye Kauli Mbiu ya “Youth Bussiness Engangement Through Livestock” yaliyoandaliwa kwa ajili ya vijana hao waliopo kwenye Kampasi ya LITA Kikulula, wilayani Karagwe mkoa wa Kagera.

Mshiriki wa Mafunzo Atamizi katika Kampasi ya Kikulula, Resti Mgonja (kulia) akisoma risala kwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde (wa pili kutoka kulia) wakati alipotembelea moja ya eneo wanalotumia kufugia mifugo yao. Kutoka kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA), Dkt. Pius Mwambene akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mhe. Julius Laizer.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde (wa sita kutoka kushoto mstari wa mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi, Wataalam na washiriki wa mafunzo yenye Kauli Mbiu ya “Youth Bussiness Engangement Through Livestock” kwa vijana wajasiriamali wanaonenepesha mifugo kupitia vituo atamizi katika Kampasi ya LITA Kikulula, wilayani Karagwe mkoa wa Kagera mara baada ya kufungua mafunzo hayo

Na.Mwandishi Wetu.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amesema serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuhakikisha wafugaji wanafuga kisasa na kibiashara ili kuongeza tija kwa wafugaji na mchango wa Sekta ya Mifugo kwenye pato la taifa.

Silinde ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo yenye Kauli Mbiu ya “Youth Bussiness Engangement Through Livestock” kwa vijana wajasiriamali wanaonenepesha mifugo kupitia vituo atamizi, Kampasi ya LITA Kikulula, Karagwe.

Katika kufanikisha utekelezaji wa mpango huo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali iliandaa mwongozo ambao umeainisha majukumu ya wadau mbalimbali walioko katika mnyororo wa thamani wa sekta ya mifugo. Kwa upande wa taasisi za fedha ikiwemo mabenki, Wizara, pamoja na mambo mengine, inawategemea kusaidia kubadilisha fikra na mitazamo ya vijana kuwa ya kibiashara ili kuweza kutengeneza fursa nyingi zaidi za ajira kupitia sekta ya mifugo; pamoja na kuwafundisha namna ya kuandaa mipango biashara kwa ajili ya kuanzisha au kuendeleza biashara zao mara baada ya kumaliza muda wao katika Vituo Atamizi.

“Nawapongeza LITA na Benki ya NMB kwa kutumia fursa hii kutoa mafunzo na kuwaandaa vijana wetu kikamilifu kuwa wawekezaji na wafanyabiashara watarajiwa. Kupitia mafunzo haya pia mnaendelea kuwandaa wateja wenu watarajiwa kupitia mikopo yenye riba na masharti nafuu. Naamni ninyi pamoja na wadau wengine mtaendelea kutoa mafunzo kama haya katika vituo vingine ambavyo viko chini ya Wizara yetu,” alisema Silinde

Silinde amewataka vijana kutokata tamaa kwa kuwa maisha ni mapambano hata pale watakapokutana na changamoto ya aina yoyote wanatakiwa kutafuta njia ya kukabiliana nayo na sio kukata tamaa. Vilevile amewataka vijana waliopata fursa ya kupatiwa mafunzo kuwa mfano katika kuleta taswira na dira mpya katika taifa kupitia Sekta ya Mifugo na Uvuvi.

Aidha, amewataka vijana wanufaika wa mpango huo kuwa wavumilivu, wasikivu na wadadisi zaidi ili kuweza kuzijua fursa mbalimbali zinazopatikana katika taasisi za fedha pamoja na asasi nyingine za maendeleo. Vijana wametakiwa kujituma zaidi ili kuweza kufikia ndoto na maono ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuendelea kuongeza kipato na fursa za ajira kwa vijana na wanawake wengi wa hapa nchini.

Mtendaji wa Wakala ya Vyuo vya Mifugo (LITA), Dkt. Pius Mwambene amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia LITA na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TALIRI) imeanza kutekeleza program ya Jenga Kesho iliyobora kwa vijana wetu kupitia miradi ya ufugaji mifugo kibiashara kupitia vituo atamizi nane (8) nchi nzima. Vituo hivi viko katika mkoa wa Tanga, Mwanza na Kagera. Tayari kuna washiriki 240 wamedahiliwa ambapo kila mshiriki atapata fursa ya kunenepesha ng’ombe wasiopungua 40 katika mizunguko minne ndani ya mwaka mmoja. Mzunguko wa kwanza wa unenepeshaji umeanza ambapo ng’ombe wapatao 2,400 wamenunuliwa.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Mhe. Julius Laizer ameishauri Wizara kuangalia uwezekano wa kutenga asilimia 20 ya maeneo ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kwa ajili ya kutumika na vijana kwa shughuli za ufugaji ili wanapomaliza mafunzo wasihangaike kutafuta ardhi kwa ajili ya kufugia.

Mshiriki wa Mafunzo Atamizi katika Kampasi ya LITA Kikulula, Resti Mgonja wakati akisoma risala amesema toka mafunzo hayo yameanza wamefanikiwa kupata elimu ya unenepeshaji kuanzia kwenye ushiriki wa ununuzi wa ng’ombe mnadani ambapo wamenunua ng’ombe 600, wamefanya uogeshaji wa ng’ombe ili kuwakinga na magonjwa, wamefanikiwa kuongeza uzito wa kilo 50 kwa ng’ombe ndani ya siku 90 na kufanikiwa kufyeka maeneo kwa ajili ya malisho takribani ekari 50.

About the author

Alex Sonna