Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

Featured Kitaifa

SERIKALI YATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA KUHUSU UINGIZAJI NA UZALISHAJI BIDHAA ZA PLASTIKI NCHINI

Written by Alex Sonna

NAIBU waziri wa Kilimo Antony Mavunde, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kushiriki kufanya usafi wa mazingira jijini hapa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira duniani Juni 5, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde (katikati) akifanya  usafi wa kusafisha mtaro wa maji katika eneo la Makole, Manispaa ya Dodoma leo Ijumaa (Juni 2, 2023) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani inayotarajia kuadhimishwa duniani kote ifikapo Juni 5 mwaka huu. Wa pili kulia ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Switbert Mkama.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Switbert Mkama akifanya usafi wa kusafisha mtaro wa maji katika eneo la Makore Manispaa ya Dodoma leo Ijumaa Juni 2, 2023  ) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani inayotarajia kuadhimishwa duniani kote ifikapo Juni 5 mwaka huu.

Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde pamoja na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Godwin Gondwe wakifanya usafi wa mazingira katika eneo la Makole, Manispaa ya Dodoma leo Ijumaa (Juni 2, 2023) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani inayotarajia kuadhimishwa duniani kote ifikapo Juni 5 mwaka huu. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Switbert Mkama.

Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini, Mhe. Antony Mavunde akiongozana na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma , Mhe. Godwin Gondwe wakati wa zoezi la usafi wa mazingira katika eneo la Makole, Manispaa ya Dodoma leo Ijumaa (Juni 2, 2023) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani inayotarajia kuadhimishwa duniani kote ifikapo Juni 5 mwaka huu. Nyuma ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Switbert Mkama.

Katibu Tawala Wilaya ya Dodoma, Bi. Fatma Mganga akitoa salamu za ukaribisho kwa Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini, Mhe. Antony Maunde wakati wa  wakati wa zoezi la usafi wa mazingira katika eneo la Makole, Manispaa ya Dodoma leo Ijumaa (Juni 2, 2023) ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani inayotarajia kuadhimishwa duniani kote ifikapo Juni 5 mwaka huu. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Switbert Mkama.

Mkuu wa wilaya ya Bahi Godwin Gondwe, akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,mara baada ya kushiriki kufanya usafi wa mazingira jijini hapa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira duniani Juni 5, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Switbert Mkama,akizungumza mara baada ya kushiriki kufanya usafi wa mazingira jijini hapa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira duniani Juni 5, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma.

SERIKALI imewakemea wafanyabiashara wachache wasio waaminifu wanaoendelea kuingiza, kuzalisha na kusambaza bidhaa za plastiki  zisizokidhi viwango zinazotumika kama vifungashio ambavyo zimekuwa chachu ya uchafuzi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza katika zoezi la usafi wa mazingira katika kuelekea kilele cha Siku ya Mazingira Duniani Juni 5 mwaka huu leo Juni 2, 2023 Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde amesema ni wajibu wa Wafanyabiashara kushirikiana na taasisi za Serikali katika kusimamia usitishaji wa Matumizi ya bidhaa za plastiki.

“Kumekuwa na juhudi mbalimbali za Serikali na wadau katika kukabiliana na uchafuzi wa mazingira utokanao na taka za plastiki, hata hivyo bado kuna ukwiukwaji wa sharia kwa baadhi ya wafanyabiashara wanaoingia na kuzalisha mifuko ya plastiki isiyokidhi viwango ambayo inayotumika madukani na watoa huduma” amesema Mhe. Mavunde.

Mhe.Mavunde amewaka wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali katika kudhibiti matumizi ya mifuko na bidhaa za plastiki kwa kutoa ushirikiano kwa viongozi wa serikali za mitaaa ili kkurahisisha zoezi hilo la kutokomeza vifungashio visivyokidhi viwango ambavyo vimekuwa visambazwa kupitia njia za panya.

Aidha Mavunde amesema Serikali kupitia Ofisi ya Makamu imeendelea kufanya jitihada kubwa za kuhamasisha suala la utunzaji na uhifadhi wa mazingira katika maeneo ya miji mikuu nchini ikiwemo Jiji la Dodoma, hivyo ni wajibu wa wananchi kuwataka wakazi wa Dodoma na Tanzania kwa ujumla kutosubiri Kilele cha Maadhimisho ya mazingira katika kujishughulisha na suala la usafi katika maeneo yao.

Katika hatua nyingine, Mavunde amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kufanya usafi na kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku kwa kuhakikisha maeneo yao yanakuwa safi na salama kwa ajili ya ustawi na maendeleo yao ya kijamii na kiuchumi.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Bahi Godwin Gondwe, akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, aamewataka  wanasiasa kuacha kutumia vibaya nafasi zao kuchochea wananchi kuharibu mazingira.

“Maji ya mji wa Dodoma kwa asilimia kubwa yanatoka kwenye msitu wa Chenene hivyo kama wanasiasa wataweka siasa kwenye suala la mazingira tutapata shida sana kwani msitu huu ndiyo unachangia maji ya mkoa wa Dodoma kwa asilimia 70”amesema Bw. Gondwe

Aidha amesema kuwa  hivi sasa dunia ikabiliana na mabadiliko tabianchi ambayo yamekuja na athari nyingi ikiwemo kukauka kwa vyanzo vya maji, uhaba wa mvua hali ambayo inachangia mifugo kukosa malisho pamoja na maji.

Awali Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Switbert Mkama amesema  Ofisi hiyo imejipanga kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma hatua inayolenga kupendezesha taswira ya Jiji hilo ambalo ni makao makuu ya Serikali.

Kuanzia jana Juni Mosi ambayo tulizindua Wiki ya Mazingira tumeanza kwa kufanya usafi wa mazingira na kupanda miti katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma. Zoezi hili litaendelea hadi siku ya Kilele Siku ya Jumatatu Juni 5 mwaka huu” amesema Dkt. Mkama.

About the author

Alex Sonna