Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

zirvebet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

meritbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO SIKU YA USHIRIKA DUNIANI

Written by Alex Sonna

 

 Mrajisi na Mtendaji Mkuu wa Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) , Dkt. Benson Ndiyege, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Juni 2,2023 jijini Dodoma kuhusu maadhimisho  ya Siku ya Ushirika Duniani yanayotarajia kufanyika kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 26 hadi Julai 1, mwaka huu.

Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kutoka Bw.Bahati Rukiko ,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho  ya Siku ya Ushirika Duniani yanayotarajia kufanyika kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 26 hadi Julai 1, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, (TFC) Charles Jishuli,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho  ya Siku ya Ushirika Duniani yanayotarajia kufanyika kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 26 hadi Julai 1, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma

Katibu Mtendaji wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania Bw.Alex Ndikilo,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho  ya Siku ya Ushirika Duniani yanayotarajia kufanyika kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 26 hadi Julai 1, mwaka huu leo Juni 2,2023 jijini Dodoma

Na.Alex Sonna-DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya ushirika duniani yatakayofanyika  kitaifa mkoani Tabora.

Hayo yamesemwa leo Juni 2,2023 jijini Dodoma na Mrajisi na Mtendaji Mkuu wa Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) , Dkt. Benson Ndiyege, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho hayo yatakayofanyika kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 26 hadi Julai 1, mwaka huu.

Dkt.Ndiyege amesema kuwa lengo la maadhimisho hayo  ni kuwakutanisha wadau wa ushirika wakiwemo viongozi wa ushirika, vyama vya ushirika, wadau wa ushirika na viongozi wa Serikali wanaosimamia sekta ya ushirika.

“Pia kutangaza kazi za wanaushirika, kuhabarisha umma juu ya falsafa na manufaa ya ushirika na kutoa fursa ya kujadili changamoto za kiuchumi na kijamii zilizopo na kuzitafutia ufumbuzi. Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu ni “Ushirika kwa Maendeleo Endelevu””amesema Dkt. Ndiyege

Aidha, amesema  maadhimisho hayo yataambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo makongamano, utoaji wa zawadi, Uchangiaji Damu, Upimaji wa Afya, Shindano la insha, Burudani na Michezo.

“Hii ni nafasi ya kuonesha bidhaa za wanaushirika, kazi za Wanaushirika na kuuenzi ushirika ili kufanikisha Ajenda ya Kimataifa – 2030 na Malengo Endelevu (Sustainable Development Goals – SDGs) kupitia Ushirika”amesema

Pia, amesema maadhimisho ya siku ya Ushirika Duniani hutoa fursa kwa wajasiriamali na wafanyabiashara kutoa huduma kwa washiriki na kupelekea kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja, uchumi wa Mkoa husika na Taifa kwa ujumla.

“Na hutoa fursa kwa wadau wa Maendeleo ya Ushirika kujifunza kuhusu fursa za uwekezaji na ufanyaji biashara kupitia bidhaa na mazao yanayozalishwa kwenye Vyama vya Ushirika’amesema Dkt. Ndiyege

Hata hivyo amesema kuwa maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani husaidia kuwaunganisha wanaushirika na wabia wa maendeleo toka ndani na nje ya nchi na kuviunganisha vyama vya ushirika ili kuimarisha mahusiano katika kusaidiana masuala ya kiuchumi na kijamii.

“Katika kufanikisha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu, tunatoa wito kwa wanaushirika na wabia wa maendeleo toka ndani na nje ya nchi kushiriki kikamilifu kuonesha bidhaa na huduma zinazotolewa katika vyama vya ushirika na wadau wake”amesema

Aidha Dkt. Ndiyege amesema kuwa wamejipanga kuja na mfumo wa kidijitali utakao saidia kuweka uwazi kwenye vyama vya ushirika ili kukomesha viongozi ambao wamekuwa wakiendesha shughuli zao kiujanja ujanja.

“Mfumo huu ukifungwa utawezesha hata mimi nikiwa hapa ofisi naweza kuona ushirika wowote na kutoa maelekeo kabla ushirika ule haujakufa”amesema

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, (TFC) Charles Jishuli, amesema kuwa ushirika umekuwa na tija kubwa nchini licha kuwepo kwa mitizamo hasi kwa baadhi ya watu.

“Ushirika ndiyo unasaidia kukua kwa sekta binafsi bila kuwepo kwa ushiriki ingekuwa kazi sana kwani kila mkulima angeuza zao lake nyumbani kwake hivyo ushirika ni muhimu sana katika taifa letu na hivi sasa wanachama wa ushirika wamefikia 8,000,000 nchini nzima”amesema Jishuli

About the author

Alex Sonna