Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI UMMY AITAKA JAMII KUACHA MILA NA DESTURI POTOFU JUU YA MASUALA YA HEDHI 

Written by Alex Sonna

 
Na. WAF – Dodoma
 
Wito umetolewa kwa jamii kuwa na uelewa kuwa hedhi sio balaa, ugonjwa wala sio laana bali ni mabadiliko ya hali ya kawaida yanayomtokea mwanamke au msichana mara baada ya kubalehe kama ishara kwenye mfumo wa maumbile yake ya uzazi.
 
Wito huo umetolewa leo na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu kwenye maadhimisho ya wiki ya hedhi salama Duniani yaliyofanyika katika Shule ya Wasichana Bunge Sekondari, Dodoma.
 
“Suala la hedhi limekuwa likionekana ni kama uchafu, usiri, nataka niwaambie kuwa hedhi siyo ugonjwa, balaa wala laana, kwa kuwa tayari ni mwanamke haya ni mabadiliko ya kawaida na jambo hili ni la kawaida na tupaze sauti kujenga uelewa wa jamii kuhusu masuala ya hedhi salama” amesema Waziri Ummy huku kuitaka jamii kuchukua hatua kuachana na mila, desturi na imani potofu juu ya masuala ya hedhi ili kuweza kuwasaidia wanawake na wasichana kuondokana na kunyanyapaliwa na kutengwa kutokana na hali ambayo Mwenyezi Mungu amewaumba nayo.
 
Amesema maana ya hedhi salama ni hali ya msichana au mwanamke kuwa kwenye mazingira salama wakati wa mzunguko wake wa hedhi na anapata huduma zote muhimu ikiwemo miundombinu ya vyoo vyenye usiri, maji safi, taulo za kike, utupaji salama wa vifaa au taulo za kike zilizotumika pamoja na uelewa sahihi juu ya hedhi na mabadiliko ya mwili.
 
“Hedhi isiyo salama inaweza kuchangiwa na miundombinu duni ya vyoo, kukosekana kwa maji safi na salama, matumizi ya vifaa vya hedhi visivyo salama, utupaji ovyo wa vifaa vilivyotumika na uelewa duni juu ya hedhi.” Amesema Waziri Ummy.
 
“Takwimu zinaonyesha kuwa nchini Tanzania wanawake Milioni 13,750,122 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 hupata hedhi kila Mwaka. Idadi hii ni kubwa na hivyo jamii ina kila sababu ya kuhakikisha kuwa kundi hilo linapata huduma bora wakati wa hedhi ikiwemo kuhakikisha uwepo wa maji, sabuni na taulo za kike ili kufanya hedhi iwe salama kwao.” Amesema Waziri Ummy
 
Hata hivyo, Waziri Ummy amesema utafiti uliofanywa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) pamoja na OR -TAMISEMI kwa kushirikiana na Wadau wa Hedhi Salama mwaka 2021, yanaonesha kuwepo kwa changamoto katika ngazi ya jamii hususan uelewa mdogo juu ya hedhi salama kwa wasichana ambapo wenye uelewa ni asilimia 28 tu.
 
“Kuna haja ya kila sekta nchini kuhakikisha tunaungana kwa pamoja kuimarisha afya ya hedhi kwa wasichana na wanawake kwa ujumla ili wasikwame katika kushiriki kwenye maendeleo ya familia na Taifa kwa ujumla.
 
“Napenda kuwasisitiza kuwa, tutumie maadhimisho ya mwaka huu kuhamasisha na kuwakumbusha Watanzania, Viongozi wa Serikali na Mashirika yasiyo ya Kiserikali kutambua kuwa hedhi salama ni muhimu kwa afya, tuvunje ukimya kwa kuelimisha jamii kuachana na mila na desturi potofu kuhusu hedhi.“ Amesema Waziri Ummy.

About the author

Alex Sonna