marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

marsbahis

matbet

sekabet

holiganbet

betsalvador

casinoroyal

casinoroyal

betist

betist

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

Featured Kitaifa

TAKUKURU DODOMA YAFUATILIA MIRADI 36 YENYE THAMANI ZAIDI YA SH.BILIONI 16

Written by Alex Sonna

MKUU wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), Mkoa wa Dodoma,Bw.John Joseph wakati ,akitoa taarifa kwa  waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 26,2023 jijini Dodoma kuhusu taarifa ya miezi mitatu za kazi za Taasisi hiyo.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA kipindi cha Miezi mitatu kuanzia Januari 1 hadi Machi 31 mwaka huu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), Mkoa wa Dodoma imefuatilia miradi 36 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 16 katika sekta za elimu, afya, Ardhi, Kilimo, ujenzi, barabara na fedha .

Hayo yamesemwa leo ,Mei 26 ,2023 jijini Dodoma na Mkuu wa TAKUKURU  Mkoa wa Dodoma,Bw.John Joseph wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu taarifa ya miezi mitatu za kazi za Taasisi hiyo.

Amesema jumla ya miradi 22 ya elimu imefanyiwa ufuatiliaji, Kilimo miradi 5,fedha 3 na afya miradi 4 hali iliyosaidia kufikia fedha kiasi cha shilingi 1,050,000 katika Wilaya ya Chamwino.

“Miradi 21 imetolewa ushauri na elimu pia ufuatiliaji unaendelea, miradi 7 imekamilika ,miwili imetolewa maelekezo, chambuzi za mifumo ya warsha miradi miwili,miradi miwili inaendelea na ufuatiliaji nyaraka katika Wilaya ya Chamwino,”amesema Bw.Joseph

Aidha Bw.Joseph amesema  kuwa wamepokea  malalamiko 138  kati ya malalamiko hayo ,malalamiko 81 yalikuwa ya Rushwa na  walalamikaji walielimishwa na kupewa ushauri wengine saba taarifa zake zimehamishiwa idara nyingine kwa hatua zaidi.

Amesema kuwa kati ya malalamiko hayo,malalamiko 57 yalihusu rushwa ambayo yalipelekwa kufunguliwa majalada ya uchunguzi.
”Kati ya majalada hayo 57 uchunguzi wa majalada 17 umekamilika,mashauri mawili yamefunguliwa mahakamani na majalada 15 hatua mbalimbali za kisheria zinatarajiwa kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa  huku majalada 40  uchunguzi wake bado unaendelea na uko katika hatua mbalimbali za kiuchunguzi.”amesema 
Ametaja idara zinazolalamikiwa kutokana na taarifa 57 ni huku elimu ikiongoza kwa malalamiko 11,TAMISEMI malalamiko tisa,sekta binafsi tisa ,Ardhi saba ,Afya saba ,polisi tano,kilimo tatu,manunuzi mawawili ,mahakama moja,maji moja,mazingira moja na fedha moja.
“Mashauri mapya manne yametolewa maamuzi ambapo hadi sasa mashauri mawili tumeshinda na mashauri tumeshindwa na jumla ya mashauri 31 yanaendelea kusiilizwa mkoani hapa na yako katika hatua mbalimbali,”amesema.
Hata hivyo amesema kuwa wameweza kudhibiti jumla ya Shilingi milioni 41.2 ambazo zilikuwa kayika hatari ya kufanyiwa ubadhirifu katika fedha za mpango wa maenedeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19.
Pamoja na hayo ametaja vipaumbele kwa kipindi kinachofuata cha mwezi Aprili hadi Juni mwaka huu ambapo amesema wataongeza kasi ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuziba mianya ya rushwa na ufujaji.
Pia Kuongeza kasi ya uelelimishaji umma kwa kutumia njia mbalimbali,kuongeza kasi katika kufanya chambuzi za mfumo hasa katika maeneo yanayolalamikiwa zaidi na kuendelea kuelimisha jamii na hususani kundi la vijana kupitia ushirikiano uliopo kati ya TAKUKURU na SKAUT-TAKUSKA na jamii nzima ya wana Dodoma.
Aidha amewataka Wakurugenzi wa halmashauri zote za Mkoa wa Dodoma pamoja na Madiwani wote kufuatilia kwa karibu miradi ya maendeleo iliyo katika maeneo yao kwani baadhi ya wakandarasi pamoja na kupewa malipo ya awali lakini hawawendi kufanya kazi walizoomba.

About the author

Alex Sonna