Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

MIDAHALO YA KUPINGA UKATILI KWA WANAFUNZI MSALALA YAIBUA HOJA YA UANZISHWAJI WA KLABU ZA UKATILI

Written by Alex Sonna
 
Mwezeshaji katika Mdahalo wa kupinga Ukatili wa KijinsiaJackson Malangalila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Lunguya hawapo pichani
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Lunguya wakiandika ujumbe wa kupinga ukatili kwenye Bango wakati wa Mdahalo wa kupinga ukatili
Mwanafunzi kidato cha Tatu katika shule ya sekondari Lunguya Lameck John akichangia Mada kwenye mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia
 
Na Salvatory Ntandu – Msalala
 
Uanzishwaji wa midahalo ya kupinga ukatili wa kijinsia katika Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kupitia mradi wa Ushirikishwaji wa Jamii kwa njia ya Midahalo wenye dhima ya kutokomeza ukatili na mila na desturi hasi kwenye jamii imetajwa kuleta tija kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuzitambua haki zao za msingi.
 
Hayo yamebainishwa leo na baadhi ya washiriki wa Mdahalo huo akiwemo Godfrey Tinya, Mwanafunzi wa Darasa la sita Shule ya Msingi Lunguya wakati akichangia hoja hiyo amesema ipo haja ya kuundwa kwa klabu za kupinga ukatili zitakazowawezesha kupaza sauti uliofanyika katika shule ya Msingi Lunguya.
 
Amesema kuwa wapo baadhi ya wanafunzi pindi wanapofika darasa la Saba hushawishiwa na wazazi wao wafanye vibaya katika mtihani wa mwisho ili wakaozeshwe,au kuozeshwa hali ambayo husababisha kukosa haki zao za msingi za kielimu na endapo Klabu zitakuwepo zitasaidia kuibua ukatili huo.
 
Naye Patrick Magembe Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Lunguya amesema Klabu hizo zitasaidia kukemea vitendo vya ukatili kwa wanafunzi wa kike katika jamii kwani wengi wao watakuwa wanazitambua haki zao za msingi.
 
“Midahalo hii ina tija tunaomba Serikali na Wadau tuendelee kujengewa uwezo pindi zitakazoanzishwa Klabu hizi zitasaidia kuleta matokeo chanya kwetu na ni msaada kwa wanafunzi wa kike ambao hawana sehemu pa kupazia sauti,”amesema Magembe.
 
Kwa upande wake Tumain Makemba mwalimu wa Malezi katika shule ya sekondari Lunguya amesema kuwa watahakikisha wanasimamia zoezi la uanzishwaji wa klabu hizo na kutoa rai kwa serikali na wadau wengine kuzijengea uwezo pindi zitakapoanzishwa ili ziweze kuwa na uwezo wa kujiendesha.
 
Akizungumza katika Mdahalo huo Jackson Malangalila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) Wakuu wa Shule hizo wanaweza kuanzisha Klabu hizo ili kuleta matokeo Chanya kutokana na mradi huo kujumuisha makundi mbalimbali katika jamii ili kuwa sehemu ya kupaza sauti kwa wenzao wenye jinsi ya Kike.
“Mradi huu unatekelezwa kwa Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) kwa ufadhili wa shirika la kimataifa la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA) na Shirika la Misaada la Korea Kusini (KOICA) ,”amesema Malangalila.
 
Amefafanua kuwa TGNP inasimamia uendeshaji wa midahalo hiyo ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa shule za Msingi na sekondari kuhusiana na namna bora ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ambavyo havijaripotiwa ili mamlaka zinazohusika ziwezekuchukua hatua.
 
Kwa mujibu wa Takwimu za hali ya ukatili nchini zilizotolewa jana Katika Halmashauri ya Msalala na Kamishina wa Polisi Jamii, CP Faustine Shilogile amesema idadi ya Matukio ya ukatili yameongezeka na kufikia 30,566 kwa mwaka 2022 ikilinganishwa na matukio 1193 kwa mwaka 2021.
 
Amesema mwaka 2022 matukio ya ukatili kwa watoto yalikuwa 12163 ikilinganishwa na matukio 11419 kwa mwaka 2021 sawa na ongezeko la matukio 670.

About the author

Alex Sonna