marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

casinoroyal

betist

betist

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

Featured Kitaifa

MIDAHALO YA KUPINGA UKATILI KWA WANAFUNZI MSALALA YAIBUA HOJA YA UANZISHWAJI WA KLABU ZA UKATILI

Written by Alex Sonna
 
Mwezeshaji katika Mdahalo wa kupinga Ukatili wa KijinsiaJackson Malangalila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Lunguya hawapo pichani
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Lunguya wakiandika ujumbe wa kupinga ukatili kwenye Bango wakati wa Mdahalo wa kupinga ukatili
Mwanafunzi kidato cha Tatu katika shule ya sekondari Lunguya Lameck John akichangia Mada kwenye mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia
 
Na Salvatory Ntandu – Msalala
 
Uanzishwaji wa midahalo ya kupinga ukatili wa kijinsia katika Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kupitia mradi wa Ushirikishwaji wa Jamii kwa njia ya Midahalo wenye dhima ya kutokomeza ukatili na mila na desturi hasi kwenye jamii imetajwa kuleta tija kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuzitambua haki zao za msingi.
 
Hayo yamebainishwa leo na baadhi ya washiriki wa Mdahalo huo akiwemo Godfrey Tinya, Mwanafunzi wa Darasa la sita Shule ya Msingi Lunguya wakati akichangia hoja hiyo amesema ipo haja ya kuundwa kwa klabu za kupinga ukatili zitakazowawezesha kupaza sauti uliofanyika katika shule ya Msingi Lunguya.
 
Amesema kuwa wapo baadhi ya wanafunzi pindi wanapofika darasa la Saba hushawishiwa na wazazi wao wafanye vibaya katika mtihani wa mwisho ili wakaozeshwe,au kuozeshwa hali ambayo husababisha kukosa haki zao za msingi za kielimu na endapo Klabu zitakuwepo zitasaidia kuibua ukatili huo.
 
Naye Patrick Magembe Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Lunguya amesema Klabu hizo zitasaidia kukemea vitendo vya ukatili kwa wanafunzi wa kike katika jamii kwani wengi wao watakuwa wanazitambua haki zao za msingi.
 
“Midahalo hii ina tija tunaomba Serikali na Wadau tuendelee kujengewa uwezo pindi zitakazoanzishwa Klabu hizi zitasaidia kuleta matokeo chanya kwetu na ni msaada kwa wanafunzi wa kike ambao hawana sehemu pa kupazia sauti,”amesema Magembe.
 
Kwa upande wake Tumain Makemba mwalimu wa Malezi katika shule ya sekondari Lunguya amesema kuwa watahakikisha wanasimamia zoezi la uanzishwaji wa klabu hizo na kutoa rai kwa serikali na wadau wengine kuzijengea uwezo pindi zitakapoanzishwa ili ziweze kuwa na uwezo wa kujiendesha.
 
Akizungumza katika Mdahalo huo Jackson Malangalila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) Wakuu wa Shule hizo wanaweza kuanzisha Klabu hizo ili kuleta matokeo Chanya kutokana na mradi huo kujumuisha makundi mbalimbali katika jamii ili kuwa sehemu ya kupaza sauti kwa wenzao wenye jinsi ya Kike.
“Mradi huu unatekelezwa kwa Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) kwa ufadhili wa shirika la kimataifa la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA) na Shirika la Misaada la Korea Kusini (KOICA) ,”amesema Malangalila.
 
Amefafanua kuwa TGNP inasimamia uendeshaji wa midahalo hiyo ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa shule za Msingi na sekondari kuhusiana na namna bora ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ambavyo havijaripotiwa ili mamlaka zinazohusika ziwezekuchukua hatua.
 
Kwa mujibu wa Takwimu za hali ya ukatili nchini zilizotolewa jana Katika Halmashauri ya Msalala na Kamishina wa Polisi Jamii, CP Faustine Shilogile amesema idadi ya Matukio ya ukatili yameongezeka na kufikia 30,566 kwa mwaka 2022 ikilinganishwa na matukio 1193 kwa mwaka 2021.
 
Amesema mwaka 2022 matukio ya ukatili kwa watoto yalikuwa 12163 ikilinganishwa na matukio 11419 kwa mwaka 2021 sawa na ongezeko la matukio 670.

About the author

Alex Sonna