Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

VIJANA 24,458 WAPATIWA MAFUNZO YA JKT

Written by Alex Sonna

 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Jujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa ,akizungumza wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/2024 leo Mei 24,2023 bungeni jijini Dodoma.

Na Immaculate Makilika – MAELEZO

Serikali imesema kuwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeendelea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, stadi za kazi, kuwajengea uzalendo na umoja wa kitaifa.

Ambapo, mafunzo yamefanyika kwenye kambi mbalimbali za JKT kupitia Operesheni Jenerali Venance Mabeyo. Jumla ya vijana 24,458 wa Mujibu wa Sheria wamepatiwa mafunzo, kati yao 17,942 wa kiume na 6,516 wa kike. Aidha, vijana 13 11,358 wa Kujitolea wamepatiwa mafunzo, kati yao 7,483 ni wa kiume na 3,875 ni wa kike.

Hayo yamesemwa leo Mei 24, 2023 bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Jujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Aliongeza kuwa JKT imeendelea kutekeleza Mkakati wa Kilimo (2019/2020 -2024/2025) ambao unalenga kuongeza uzalishaji wa mazao na kujitosheleza kwa chakula ili kuipuguzia Serikali gharama za kulisha vijana wanaohudhuria mafunzo ya JKT na kuiwezesha nchi kuwa na akiba ya chakula.

“Kuwezesha Mkakati huo kutekelezwa ipasavyo JKT imeendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Mkataba wa Makubaliano katika maeneo ya teknolojia za kilimo, utafiti wa kilimo, uzalishaji wa mazao ya kimkakati na uzalishaji wa mbegu za chikichi, kahawa, mahindi, mpunga na alizeti. Utekelezaji wa Mkataba huo, umewezesha JKT kuongeza uzalishaji wa mazao husika”.Alieleza Mhe. Bashungwa.

Alifafanua kuwa JKT inashirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania kuwawezesha vijana kupata ujuzi katika ufugaji wa nyuki ambapo Wakala wa Huduma za Misitu imeipatia JKT mizinga 100 ya kisasa ya kufugia nyuki.

Mhe. Bashungwa alitaja faida ya mafunzo hayo kwa vijana yanayotolewa na JKT kuwa  yameimarisha  umoja wa Kitaifa kwa kuwa Vijana wengi waliopitia JKT wameonesha moyo wa kupenda kazi za mikono, kujituma na kujiheshimu, kutoa wanamichezo bora, wenye viwango vya kitaifa na kimataifa na hivyo kuiletea nchi sifa.

Aliongeza kuwa, mafunzo hayo yamesaidia kuwaandaa vijana kuwa tayari kuitumikia nchi katika majanga ikiwemo mafuriko, ajali za moto na ajali nyinginezo na kuwa mfano wa kuigwa na mataifa jirani na hivyo kuwa chachu kwa mataifa hayo kuanzisha shughuli za malezi ya vijana katika nchi zao ikiwemo Zambia na Msumbiji.

“Baada ya kumaliza muda wa mafunzo na kutumikia JKT, vijana waweze kurejea majumbani kwao wakiwa raia wema, wazalendo na wenye uwezo wa kujitegemea na kulilinda Taifa. Nitoe rai kwa vijana wote wanaopata fursa za kupata mafunzo haya, kuzitumia stadi za kazi na maisha walizozipata kujiajiri na kujitegemea”. Alisisitiza Mhe. Bashungwa.

About the author

Alex Sonna