Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

betasus

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa

SERIKALI YAANDAA MFUMO WA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA

Written by Alex Sonna

 

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Dionisia Mjema akifungua kikaokazi cha kuainisha mahitaji ya mfumo wa kielektroniki wa usajili na usimamizi wa Mifuko na Programu za uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kilichofanyika jijini Dodoma.

Msaidizi wa Mipango na Mawasiliano, kutoka Mfuko wa Uhifadhi wa Milima ya Tao la Mashariki, Bw. Alan Kimbita, akiwasilisha mada katika kikao kazi cha kuainisha mahitaji ya mfumo wa kielektroniki wa usajili na usimamizi wa Mifuko na Programu za uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kilichofanyika jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa kikaokazi cha kuainisha mahitaji ya mfumo wa kielektroniki wa usajili na usimamizi wa Mifuko na Programu za uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kilichofanyika jijini Dodoma.

Afisa Mwandamizi, Usimamizi wa Fedha za Uwakala kutoka Benki ya Maendeleo TIB, Bw. Kenneth Lusesa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mifuko na Programu za Serikali ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa kipindi kinachoishia Machi 2023 katika kikao kilichofanyika jijini Dodoma.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi. Dionisia Mjema akifafanua jambo katika kikaokazi cha kuainisha mahitaji ya mfumo wa kielektroniki wa usajili na usimamizi wa Mifuko na Programu za uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kilichofanyika jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango – Dodoma)

Na Farida Ramadhani, WFM – Dodoma

Serikali inaada mfumo wa kielektroniki wa Huduma Ndogo za Fedha ili kuboresha ufanisi wa usimamizi wa Mifuko na Programu za Uwezeshaji wananchi Kiuchumi.

Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Dionisia Mjema, wakati akifungua kikaokazi cha kuainisha mahitaji yanayopaswa kuwekwa kwenye mfumo huo.


Alisema mfumo huo utawezesha upatikanaji wa taarifa sahihi za usajili, usimamizi na za kiutendaji zinazohusiana na usimamizi, utoaji mikopo, ruzuku na dhamana ya mikopo iliyotolewa kwenye Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.

Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na wadau wengine ilijadili namna bora ya kuandaa Mfumo wa  Huduma Ndogo za Fedha ikiwa ni hatua ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2017,  Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 pamoja na Kanuni zake”, alibainisha Bi. Mjema.

Alisema katika hatua ya kwanza ya uandaaji wa Mfumo huo, Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Timu ya Wataalamu ilifanya mapitio ya mifumo yote iliyopo katika Sekta ya Huduma Ndogo za Fedha ikiwemo Mfumo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) unaotumika katika usajili na usimamizi wa taasisi zinazopokea amana na zisizopokea amana unaoitwa Banking Supervision Information System (BSIS) na Mfumo wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wa usajili na usimamizi wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) unaoitwa Cooperative Supervision Management Information System (CSMIS).

“Mfumo wa Benki Kuu ya Tanzania wa usajili wa Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha unaoitwa Community Microfinance Groups Online Registration System, Mfumo wa utoaji mikopo na usimamizi wa fedha asilimia kumi (10%) ya mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) wa Ten Percent Loans Management Information System (TPLMIS) na Kanzidata ya uwezeshaji wananchi kiuchumi (Economic Empowerment Database) ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi”,  aliongeza Bi. Mjema.

Alisema wakati wa kupitia mifumo hii ilibainika uwepo wa mifumo mingi ya utoaji taarifa ambayo haisomani hivyo ikapendekeza kutengeneza mfumo wa Sekta ya Huduma Ndogo za Fedha ambao utaiwezesha Serikali kuwa na taarifa sahihi za uwezeshaji wananchi na kuweza kuandaa mipango mbalimbali ya maendeleo.

Kwa upande wao washiriki wa kikaokazi hicho wameishukuru Serikali kwa kuamua kuandaa mfumo huo ambao kwa kiasi kikubwa utasaidia kutatua changamoto mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi.

Walibainisha changamoto hizo kuwa ni pamoja na ukosefu wa mifumo ya kidigitali ya upatikanaji wa taarifa na ongezeko la mikopo chechefu, ambayo inapunguza ufanisi katika usimamizi na utekelezaji wa shughuli za mifuko hiyo, ukosefu wa taarifa kwa wakati na baadhi kutofikiwa malengo ya uanzishwaji wake.

About the author

Alex Sonna