Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

betpuan

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

kingroyal

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

royalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betpark

bets10

jojobet

meritking

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark giriş

bets10 sorunsuz giriş

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

imajbet

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO AZINDUA KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI KISHAPU

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha unenepeshaji wa mifugo kinachojengwa katika Kijiji cha Muguda Halmashauri ya Kishapu Mkoani Shinyanga leo Mei 06, 2023 kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) na kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kwa ufadhili wa Mfuko wa Mazingira wa Dunia chini ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na wananchi wakati wa ziara yake ya kukagua na kuzindua kituo cha kunenepesha mifugo, kiwanda kidogo cha bidhaa za Ngozi na kukagua lambo la kukusanyia maji katika vijiji vya Muguda na Kiloleli vilivyopo Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga leo Mei 06, 2023 kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) na kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kwa ufadhili wa Mfuko wa Mazingira wa Dunia chini ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).

– Advertisement –

Ad image

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiangalia bidhaa za ngozi baada ya kuzindua kiwanda kidogo kinachozalisha bidhaa hizo katka Kijiji cha Kiloleli Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga leo Mei 06, 2023 kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) na kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kwa ufadhili wa Mfuko wa Mazingira wa Dunia chini ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipata maelezo kuhusu shughuli za uzalishaji wa bidhaa za ngozi baada kuzindua kiwanda kidogo cha bidhaa hizo kilichopo katika Kijiji cha Kiloleli Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga leo Mei 06, 2023 ambacho kimejengwa kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) na kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kwa ufadhili wa Mfuko wa Mazingira wa Dunia chini ya
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipanda mti katika Kijiji cha Muguda Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha kunenepeshea mifugo ambacho kinajengwa chini ya Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amezindua kiwanda kidogo cha bidhaa za ngozi na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha kunenepeshea mifugo katika Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga leo Mei 06, 2023 ambayo inalenga kukabiliana na Atari za Mabadiliko ya tabianchi.

Pia, amekagua lambo la kukusanyia maji, miradi ambayo inatekelezwa kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais

Akizungumza na wananchi wakati ziara hiyo Dkt. Jafo ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kusema kuwa imeendana na thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali.
 
Amesema kuwa Serikali imedhamiria kuwahudumia wananchi na kuhakikisha wanakuwa na maisha bora kupitia miradi inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini.

“Ndugu zangu wana Kishapu hongereni sana kwa miradi hii na mmezitendelea haki fedha alizozileta hapa Rais wetu Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na niwaahidi tutaendelea kuwaunga mkono,” amesisitiza.

Waziri Jafo amesema kuwa mradi wa kiwanda kidogo cha bidhaa za ngozi kitawanufaisha wananchi kwa kupata masoko ya bidhaa zao ambapo lambo linalokarabatiwa litawasaidia kupata maji kwa ajili ya kunywesha mifugo.

Hivyo, amewataka wananchi kuunga mkono juhudi hizo za Serikali kwa kutumia na kuitunza miradi hiyo ili iwafae huku akisisitiza umuhimu wa utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti

Aidha, Dkt. Jafo mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi jengo la kusindikia alizeti na unga ameelekeza mashine zhi a kuchakata mazao hayo ziwe zimeshapelekekwa katika mradi huo na kufungwa ili ilanze kuhudumia wananchi.

Katika ziara hiyo, amezindua kiwanda kidogo cha kuchakata bidhaa za Ngozi ambacho kimejumuisha ujenzi wa jengo, kuwezesha mashine za kutengeneza bidhaa hizo na kupeleka vijana sita kozi ya miezi sita.

Pia, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la kusindikia alizeti na unga katika kituo cha kunenepeshea mifugo na kukagua ukarabati wa lambo la kukusanyia maji ambavyo vyote vina thamani ya sh. Milioni 389.
 
Dkt. Jafo amezindua miradi hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 520 ikiwemo uchimbaji wa visima viwili virefu vya maji inayojumuisha mfumo wa sola kwa ajili ya kuvuta maji, matanki ya kuhifadhi maji pamoja na mfumo wa umwagiliaji na wa matumizi ya wananchi, lambo la lenye uwezo wa kukusanya maji lita za ujazo 252,299 zikiweza kumwagilia hekta 287 za mazao ya mbogamboga, kiwanda kidogo cha sabuni na kikundi cha uzalishaji uyoga.

Akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vilivyonufaika na mradi vya Melela, Magali na Mingo, amesema kuwa Serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha wananchi katika maeneo yenye ukame wanapata mafanikio.

Amesema Serikali inapeleka miradi kwa wananchi ili kuwasaidia katika kupata fursa za kimaendeleo pamoja licha ya kuwepo kwa changamoto za mabadiliko ya tabiachi zinazochangia ukame.

“Ndugu zangu niwashukuru sana kwa kutekeleza hii miradi na niwaombe tuilinde asitokee mharibifu akaja kuharibu miundombinu tumsimfumbie macho, lakini pia ajenda yetu kuu tutunze mazingira, usipoyatunza na kuyashughulikia mazingira yatakushughulikia”, amesisitiza.

Kutokana na hali hiyo hivyo, Dkt. Jafo amewapongeza viongozi katika wilaya hiyo kwa usimamizi mzuri wa miradi na kuwa wananchi wanaponufaika nayo ni jambo jambo la heri.   

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude ameshukuru Serikali kwa kuwapelekea wananchi wa wilaya hiyo mradi wa EBARR.

Amesema kuwa kuwepo kwa lambo hilo kutasaidia wananchi hao kuepukana na adha ya changamoto ya uhaba wa maji inayowakabili wananchi wa Kijiji cha kiloleli.

Mhe. Mkude ameongeza kuwa mradi huo utakuwa wa manufaa makubwa kwa wananchi kwani utasaidia kuhifadhi mazingira katika eneo hilo ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za Serikali za kulinda mazingira.

Mradi wa EBARR unatekelezwa pia katika Wilaya ya Simanjiro (Manyara), Mvomero (Morogoro) na Kaskazini ‘A’ Unguja (Zanzibar) chini ya ufadhili wa Mfuko wa Mazingira wa Dunia chini ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).

About the author

Alex Sonna