marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

milanobet

imajbet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

meritbet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

casibom

casibom

Uncategorized

KAMBI YA MATIBABU YA MOYO YAOKOA MILIONI 493

Written by Alex Sonna

Wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na wenzao kutoka Shirika la Madaktari Africa  la nchini Marekani kumfanyia  upasuaji wa tundu dogo kwa kutumia mtambo  wa Cath lab mgonjwa mwenye matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo wakati wa kambi maalum ya siku tano ya matibabu hayo leo jijini Dar es Salaam. Wagonjwa 15 wenye matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo wamepatiwa matibabu katika kambi hiyo.

Wataalamu wa afya ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Cardiography – ECHO) mgonjwa ambaye ana matatizo za mfumo wa umeme wa moyo wakati wa kambi maalum ya siku tano ya matibabu hayo leo jijini Dar es Salaam. Wagonjwa 15 wenye matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo wamepatiwa matibabu katika kambi hiyo.

Wataalamu wa afya ya Taasisi Ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na wenzao kutoka Shirika la Madaktari Afrika la nchini Marekani wakiandaa vifaa kwa ajili ya kumfanyia upasuaji wa moyo mgonjwa ambaye ana matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo  wakati wa kambi maalum ya siku tano ya matibabu hayo leo jijini Dar es Salaam. Wagonjwa 15 wenye matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo wamepatiwa matibabu katika kambi hiyo.

Picha na: JKCI

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeokoa kiasi cha shilingi milioni 493 ambazo Serikali ingetumia kama wagonjwa 15 wenye matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo wangepelekwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu hayo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Dkt. Peter Kisenge alisema katika kambi hiyo maalum ya siku tano ya matibabu ya moyo iliyofanywa na wataalam wa afya wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Madaktari Afrika la nchini Marekani wameweza kuwafanyia upasuaji wagonjwa ambao walihitaji kurekebishiwa mfumo wa umeme wa moyo kwa ufasaha wa hali ya juu.

Dkt. Kisenge alisema pamoja na wataalam hao kutoa huduma za matibabu kwa wagonjwa pia wametoa mafunzo kwa wataalam wa afya wa JKCI hivyo kuendelea kuboresha huduma za matibabu ya mfumo wa umeme wa moyo katika Taasisi hiyo.

“Gharama za matibabu za wagonjwa hawa 15 ni shilingi milioni 253 lakini kama wagonjwa hawa wangeenga kutibiwa nje ya nchi wangetumia shilingi milioni 746. Serikali imeweza kuokoa kiasi cha shilingi milioni 493 kwa wagonjwa hawa kutibiwa ndani ya nchi”, alisema Dkt. Kisenge

Aidha Dkt. Kisenge amewaomba wananchi kukata bima za afya ili kupata huduma za matibabu kwa urahisi pale wanapohitaji huduma hizo kwani matibabu ya kibingwa ya magonjwa ya moyo ni ya gharama.

“Bima ya afya kwa wote itakapoanzishwa nawaomba wananchi mjitokeze ili mpate fursa ya kupata matibabu kwa urahisi kwani ugonjwa utokea wakati wowote na unaweza kukukuta hauna fedha lakini unapokuwa na bima ya afya itakupa urahisi wa kupata matibabu”, alisema Dkt. Kisenge

Kwa upande wake Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mfumo wa umeme wa moyo wa JKCI Yona Gandye alisema katika kambi hiyo wamewatibia wagonjwa ambao mapigo yao ya moyo yalikuwa chini na wengine  mapigo yao ya moyo yalikuwa juu sana .

“Tumewatibia wagonjwa ambao mapigo yao ya moyo yanazalishwa kwa kiwango cha chini sana  kwa kuwawekea kifaa kisaidizi cha moyo ambacho kinausaidia moyo kufanya kazi vizuri (pace maker) na wale ambao mapigo yao ya moyo yako juu sana  tumeyapunguza kwa kutumia mtambo wa Carto 3”, alisema Dkt. Gandye.

 “Katika kambi hii wagonjwa sita walikuwa na matatizo katika mfumo wa uzalishaji wa mapigo ya moyo hivyo mioyo yao kwenda haraka sana na kusababisha moyo kutanuka, wagonjwa wawili walibadilishiwa vifaa visaidizi vya moyo  vilivuokuwa vimeisha muda wake”,

“Wagonjwa watano ambao mapigo yao ya moyo yalikuwa chini waliwekewa vifaa visaidizi vya moyo (pace maker) hawa mapigo yao ya moyo yalikuwa yapo chini sana, na wagonjwa wengine wawili mapigo yao ya moyo upande wa kushoto yalikuwa hayazalishi umeme wa moyo vizuri”, alisema Dkt. Gandye.

Naye Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mfumo wa umeme wa moyo kutoka Shirika la Madaktari Afrika lililopo nchini Marekani Prof. Matthew Sackett alisema wamekuja katika Taasisi hiyo kuboresha huduma za matibabu kwa wataalam wa afya wa JKCI kuifanya Taasisi hiyo kuwa kituo cha kibingwa cha matibabu ya moyo kusini mwa jangwa la Sahara.

“Nchi nyingi za ulaya hutoa matibabu haya, tukaona ni vyema tusogeze huduma hizi na nchi za Afrika ili nao waweze kupata huduma kwa urahisi na kwa karibu ndio maana tumeendelea kushirikiana na Taasisi hii kuboresha huduma za matibabu ya mfumo wa umeme wa moyo”, alisema Prof. Sackett

About the author

Alex Sonna