Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

UTUMISHI WA UMMA USICHANGANYWE NA SIASA – MHE. OTHMAN

Written by Alex Sonna

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman amesema Nchi hii imeanzia mbali katika Mfumo Rasmi wa Utumishi wa Umma wa kujivunia, ambao unahitaji kulindwa na kuenziwa, ili kujenga ufanisi na maendeleo.

Mheshimiwa Othman ameyasema hayo leo akifungua Mafunzo juu ya Maadili ya Utumishi wa Umma na Usalama Kazini, kwa Watendaji na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, hapo katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil, Kikwajuni Mkoa wa Mjini-Magharibi, Unguja.

Amesema, hiyo ni kutokana na ukweli kwamba Mfumo wa Utumishi wa Umma Nchini, ambao umepita katika Vipindi muhimu tofauti, uliasisiwa tangu na tangu, katika zama ambazo Mataifa Mengi, kuanzia Kusini mwa Jangwa la Sahara na hata Afrika yote, hawakuwa nao.

Amebainisha Mwaka 1890 kuwa ndipo ulipoasisiwa Mfumo huo kupitia kile kilichoitwa ‘Departmental System, kabla ya kupita Marekebisho, katika Awamu za 1906, 1924, 1960, 1965, na hatimaye kufikia kuja kwa Katiba ya Awali mnamo Mwaka 1979, na kisha Katiba ya Sasa ya 1984.

Mheshimiwa Othman amefahamisha kwa kusema, “wapo ambao wanapenda turudi katika Mfumo ule wa Kimapinduzi lakini ni vyema kuzingatia kwamba kila jambo lina wakati wake, kwa mujibu wa Kanuni, Miongozo na Sheria”.

“Licha ya kuwepo Mfumo huo, suala ni jee kwa kiasi gani misingi ya maadili ya utumishi wa umma na usalama kazini imetekelezwa’, ameeleza na kuhoji Mheshimiwa Othman.

Mheshimiwa Othman amebainisha baadhi ya mambo ambayo yamekuwa ni chanzo cha kudhoofika kwa Mfumo wa Utumishi wa Umma wenye ufanisi, yakiwemo ya ukosefu wa ‘meritocracy’ na uajiri unaojali vigezo.

Akifafanua mambo hayo, Mheshimiwa Othman amesema kuwa uajiri usiozingatia vigezo; wenye upendeleo, na upambe wa kisiasa, kwa namna fulani umeporomosha Mfumo wa Utumishi wa Umma Nchini, na kwamba “mchongoma hauwezi kuzaa zabibu”.

Aidha ametoa wito kwa Viongozi, Watendaji na Watumishi wa Umma, pamoja na kila mmoja kuheshimu pahala sahihi pa kuiweka elimu na taaluma yake, kuzingatia nguvu ya maadili, ili kujenga ufanisi katika jamii, Nchi na Taifa kwa ujumla.

Akiongelea juu ya Usalama Kazini, Mheshimiwa Othman amewataka Viongozi kuzingatia Miongozo, Kanuni, pamoja na Kuangalia Mazingira Yaliyosalama Pahala pa Kazi, ili kujenga Ufanisi.

Kwa upande wake , Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Mhe. Harusi Said Suleiman, amesema Semina hiyo Elekezi ni katika fursa muhimu kwa Watendaji na Wafanyakazi Nchini, ili kujenga ufanisi katika kuutumikia Umma.

Naye, Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dokta Omar Dadi Shajak, ameeleza kwamba lengo la Semina hiyo ni kutekeleza kwa Vitendo, Agizo la Mheshimiwa Rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Ali Mwinyi, kwamba Watendaji na Wafanyakazi wote hapa Visiwani, wapate Mafunzo juu ya Haki, Wajibu na Usalama Wao, katika Utumishi wa Umma na Pahala pa Kazi.

Mafunzo hayo ambayo ni ya Siku Mbili, kwa Unguja na Pemba, yamewajumuisha Wafanyakazi na Watendaji wote wa Idara na Taasisi ziliopo chini ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais zikiwemo Baraza la Taifa la Watu wenye Ulemavu; Tume ya UKIMWI; Mamlaka ya Usimamizi wa Mazingira; na Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya.

Kumekuwepo na Uwasilishaji wa Mada mbali mbali za Mafunzo hayo, zikiwemo za Maadili ya Watumishi wa Umma; na Usalama na Afya Kazini, ambazo zimewasilishwa na Nd. Maulid Shaib Ahmada na Bw. Ame Faki, kutoka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, ambao kwa ujumla wamesisitiza umuhimu wa kuzingatia taaluma, heshima, nidhamu, haki na usawa bila upendeleo katika utoaji wa huduma.

About the author

Alex Sonna