marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

parmabet giriş

jojobet

kulisbet giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

celtabet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO AWATAKA WACHIMBAJI KUFUATA SHERIA YA MAZINGIRA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewaasa wachimbaji wadogo wa dhahabu kutumia teknolojia mbadala wa miti katika shughuli zao.

 

Dkt. Jafo ametoa kauli hiyo wakati akishiriki katika kipindi cha Dakika 45 kilichorushwa na Kituo cha Runinga cha ITV Aprili 10, 2023 jijini Dar es Salaam.

 

Amesema ni kweli uchumi unaotokana na uchimbaji wa madini ni muhimu lakini wachimbaji katika maeneo mbalimbali nchini wanapaswa kuzingatia Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004.

 

Dkt. Jafo amesema kumekuwa na uharibifu wa mazingira katika maeneo ambayo shughuli hizo zinafanyika ambapo wachimbaji wadogo wanakata miti kwa ajili ya kujengea mashimo hivyo ni wakati sasa kwa wachimbaji hao kuanza kutumia chuma.

 

Pamoja na changamoto hiyo ya ukataji miti ametoa pongeza kwa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kushiriki kikamilifu katika kuhamasisha zoezi la upandaji miti kwa wachimbaji na wananchi kwa ujumla.

 

Pia, Waziri Jafo amezungumzia suala la uchimbaji wa mchanga hususan katika mkoa wa Dar es Salaam ambapo amesema una changamoto ya wachimbaji kufanya shughuli bila kufuata utaratibu hali inayosababisha uharibifu wa mazingira.

 

“Ni kweli tuna changamoto kubwa ya uchimbaji wa madini ya mchanga na watu wanaacha makorongo baada ya kuchimba kwa mfano kule Kigamboni wanaharibu mazingira, wapo baadhi ya watu tunashukuru wanafukia mashimo baada ya uchimbaji.

 

Hata hivyo, Dkt. Jafo amefafanua kuwa shughuli yoyote ya uchimbaji lazima ipate kibali cha Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM) kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).

 

 “Baadhi ya watu wanaharibu kingo za mito kwa kuchimba mchanga bila kufuata utaratibu sasa wanatakiwa kuunda vikundi wapewe utaratibu rasmi wa kusafisha mito ili kupeuka kuharibu mazingira,” amefafanua.

 

About the author

Alex Sonna