marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO ATOA MAAGIZO MRADI WA EBARR MPWAPWA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo akitoa maelekezo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya uchimbaji wa lambo la maji katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma wakati wa ziara yake ya kukagua ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo akitangalia maji yaliyopo katika lambo ambalo endapo lingechimbwa vizuri yangepatikana maji safi tofauti na yaliyopo, hali hiyo ilitokea wakati wa ziara yake katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma kukagua ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Kazani wakichota maji ambayo bado lambo lake halijaweza kuwa na uwezo wa kujaza maji inavyotakiwa na ili yaweze kupatikana maji safi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo alishauri ijengwe mifereji ili maji yajae.

 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.Dkt.Selemani Jafo ameagiza kufanyika kwa marekebisho katika lambo lililochimbwa katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa.

 

Ametoa agizo hilo alipofanya ziara ya kushtukiza katika kijiji hicho kukagua lambo hilo lililochimbwa kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Dkt. Jafo ambaye alikuwa lambo hilo halijajaa maji inavyotakiwa pamoja na kunyesha kwa mvua katika siku kadhaa zilizopita akirejea ziara aliyofanya Desemba 22, 2022 ambapo alionesha wasiwasi wa namna lambo hilo lilivyokuwa likichimbwa.

 

Wakati wa ziara ile alionesha wasiwasi lisijae maji akisema japo sio mtaalamu alitoa ushauri kwa wataalamu wa Tume ya Umwagiliaji ambao ndio wanafanya usanifu wa malambo kuzingatia kujenga mifereji ili kujaza maji kwa haraka.

 

Ofisi ya Makamu wa Rais imetoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hii ya mazingira na tume hiyo ndio inaelekeza maeneo sahihi ambayo uchimbaji wa malambo unaweza kufanyika lakini hapa tume mmetuangusha nilitegemea katika mvua hizi lingekuwa limejaa na hapa naona wananchi wanachota maji yenye rangi hii ya udongo na yangekuwa meupe kama yangekuwa yamejaa kwenye lambo,“ alisema.

 

Kutokana na hali hiyo amewaagiza wataalamu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kufanya marekebisho ya lambo ikiwemo kutengeneza mifereji ifikapo Juni 2023 ili maji yaweze kupita kwa urahisi tofauti na ilivyo sasa.

 

Waziri Jafo alisema maeneo mengi ya Dodoma yanakabiliwa na ukame kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi hivyo wananchi hawana budi kuendelea kupanda miti kwa wingi ili kukabiliana na hali hiyo.

 

Katika hatua nyingine Dkt. Jafo alielekeza ifikapo Mei 2023 kazi ya uchimbaji wa visima ili wananchi waepukane na adha ya ukosefu wa maji safi akisema kuwa dhamira ya Serikali ni kuona wananchi wananufaika. Alisema Ofisi ya Makamu wa Rais ni mtambuka hivyo inatekeleza miradi katika sekta mbalimbali zikiwemo Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Maji 

 

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Mpwapwa Bi.Sarah Komba aliishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kutekeleza mradi huo wilayani hapo na kusema wananchi wameupokea vizuri.

 

Alisema lambo hilo limejengwa kimkakati na kuwa wananchi litatunzwa na kutumika vizuri kama inavyotarajiwa ili liweze kuwanufaisha wananchi na kuondokana na adha ya uhaba wa maji unaowakabili.

 

Bi.Sarah aliahidi kuwa Serikali ya Wilaya itatekeleza maelekezo aliyotoa Waziri jafo na kuwa itasimamia kazi ya maboresho itakayofanyika.

 

Naye Diwani wa Kata ya Nghambi Richard Milimo alitoa wito kwa wataalamu kuzingatia ushauri aliotoa Waziri Jafo kuhusu kujenga mifereji ili kuongeza ujazo wa maji kuingia katika lambo hilo.

 

Mratibu wa Mradi wa EBARR Halmashauri ya Mpwapwa Bw. Aziz Bilu alisema uhaba wa mvua umechangia pia kutojaa kwa lambo hilo kwa wakati ambapo imenyesha kwa siku saba katika miezi minne.

 

Hivyo, mratibu huyo alisema wameyapokea maelekezo ya Mheshimiwa Waziri na kuahidi kuwa watafanya marekebisho katika lambo hilo ili liweze kujaa maji.

About the author

Alex Sonna