Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO ATOA MAAGIZO MRADI WA EBARR MPWAPWA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo akitoa maelekezo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya uchimbaji wa lambo la maji katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma wakati wa ziara yake ya kukagua ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo akitangalia maji yaliyopo katika lambo ambalo endapo lingechimbwa vizuri yangepatikana maji safi tofauti na yaliyopo, hali hiyo ilitokea wakati wa ziara yake katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma kukagua ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Kazani wakichota maji ambayo bado lambo lake halijaweza kuwa na uwezo wa kujaza maji inavyotakiwa na ili yaweze kupatikana maji safi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo alishauri ijengwe mifereji ili maji yajae.

 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.Dkt.Selemani Jafo ameagiza kufanyika kwa marekebisho katika lambo lililochimbwa katika Kijiji cha Kazania Halmashauri ya Mpwapwa mkoani Dodoma ili liweze kuzalisha maji kwa kiwango kikubwa kama ilivyotarajiwa.

 

Ametoa agizo hilo alipofanya ziara ya kushtukiza katika kijiji hicho kukagua lambo hilo lililochimbwa kupitia Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa Kutumia Mfumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Dkt. Jafo ambaye alikuwa lambo hilo halijajaa maji inavyotakiwa pamoja na kunyesha kwa mvua katika siku kadhaa zilizopita akirejea ziara aliyofanya Desemba 22, 2022 ambapo alionesha wasiwasi wa namna lambo hilo lilivyokuwa likichimbwa.

 

Wakati wa ziara ile alionesha wasiwasi lisijae maji akisema japo sio mtaalamu alitoa ushauri kwa wataalamu wa Tume ya Umwagiliaji ambao ndio wanafanya usanifu wa malambo kuzingatia kujenga mifereji ili kujaza maji kwa haraka.

 

Ofisi ya Makamu wa Rais imetoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hii ya mazingira na tume hiyo ndio inaelekeza maeneo sahihi ambayo uchimbaji wa malambo unaweza kufanyika lakini hapa tume mmetuangusha nilitegemea katika mvua hizi lingekuwa limejaa na hapa naona wananchi wanachota maji yenye rangi hii ya udongo na yangekuwa meupe kama yangekuwa yamejaa kwenye lambo,“ alisema.

 

Kutokana na hali hiyo amewaagiza wataalamu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kufanya marekebisho ya lambo ikiwemo kutengeneza mifereji ifikapo Juni 2023 ili maji yaweze kupita kwa urahisi tofauti na ilivyo sasa.

 

Waziri Jafo alisema maeneo mengi ya Dodoma yanakabiliwa na ukame kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi hivyo wananchi hawana budi kuendelea kupanda miti kwa wingi ili kukabiliana na hali hiyo.

 

Katika hatua nyingine Dkt. Jafo alielekeza ifikapo Mei 2023 kazi ya uchimbaji wa visima ili wananchi waepukane na adha ya ukosefu wa maji safi akisema kuwa dhamira ya Serikali ni kuona wananchi wananufaika. Alisema Ofisi ya Makamu wa Rais ni mtambuka hivyo inatekeleza miradi katika sekta mbalimbali zikiwemo Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Maji 

 

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Mpwapwa Bi.Sarah Komba aliishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kutekeleza mradi huo wilayani hapo na kusema wananchi wameupokea vizuri.

 

Alisema lambo hilo limejengwa kimkakati na kuwa wananchi litatunzwa na kutumika vizuri kama inavyotarajiwa ili liweze kuwanufaisha wananchi na kuondokana na adha ya uhaba wa maji unaowakabili.

 

Bi.Sarah aliahidi kuwa Serikali ya Wilaya itatekeleza maelekezo aliyotoa Waziri jafo na kuwa itasimamia kazi ya maboresho itakayofanyika.

 

Naye Diwani wa Kata ya Nghambi Richard Milimo alitoa wito kwa wataalamu kuzingatia ushauri aliotoa Waziri Jafo kuhusu kujenga mifereji ili kuongeza ujazo wa maji kuingia katika lambo hilo.

 

Mratibu wa Mradi wa EBARR Halmashauri ya Mpwapwa Bw. Aziz Bilu alisema uhaba wa mvua umechangia pia kutojaa kwa lambo hilo kwa wakati ambapo imenyesha kwa siku saba katika miezi minne.

 

Hivyo, mratibu huyo alisema wameyapokea maelekezo ya Mheshimiwa Waziri na kuahidi kuwa watafanya marekebisho katika lambo hilo ili liweze kujaa maji.

About the author

Alex Sonna