Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

gameofbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark güncel giriş

porno izle

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

pashagamingg

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat güncel giriş

jojobet

holiganbet

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

bets10 sorunsuz giriş

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

imajbet

holiganbet

Featured Michezo

WAZIRI MKUU AWATAKA VIONGOZI WA DINI WAHIMIZE MAADILI

Written by Alex Sonna
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza waumini na viongozi wa dini ya Kiislam wakati alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Asha Sururu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Juzuu  (30) upande wa wavulana,   Mussa Hamad Hamad, namba ya usajili ya pikipiki ya kubebea mizigo, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Asha Sururu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Juzuu  (30) upande wa wavulana, Suleiman Omar Ally, Pikipiki, baada ya kuibuka mshindi wa pili wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Asha Sururu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa akimkabidhi mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Juzuu (30) upande wa wanawake, Asma Rubea Salehe, namba ya usajili ya pikipiki ya kubebea mizigo, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa akimkabidhi mshindi wa pikipiki wa kuhifadhi Juzuu  (30) upande wa wanawake,    Rabia Abdalah Qassim, Pikipiki, baada ya kuibuka mshindi wa pili wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Asha Sururu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally Mbwana akizungumza wakati wa  mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Asha Sururu yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Aprili 02, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa dini kila wanapopata nafasi kwenye mimbari wakemee kuhusu ukatili wa kijinsia pamoja na wale wanaoenda kinyume na maadili na desturi za Kitanzania.

“Nitoe rai kwa viongozi wetu wa dini muendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu umuhimu wa kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania hususan katika kipindi hiki tunachokabiliwa na wimbi kubwa la mmomonyoko wa maadili,” amesema.

Ametoa wito huo leo (Jumapili, Aprili 2, 2023) wakati akizungumza na viongozi na waumini waliohudhuria mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran tukufu yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yaliandaliwa na taasisi ya Aisha Sururu Foundation (ASF).

“Sasa hivi Tanzania inakabiliwa na tatizo la mmomonyoko wa maadili na pia kumeibuka wimbi la vitendo vingine ambavyo vinakwenda kinyume kabisa na dini zetu pamoja na mila, desturi na tamaduni za kitanzania. Ninampongeza sana Dkt. Aboubakar bin Zubeir, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania kwa kulisimamia kidete suala hili ikiwa ni pamoja na kutoa maelekezo mahsusi kwa viongozi wote wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania kulikemea na kutolifumbia macho.”

 Amesema licha ya kukithiri kwa vitendo hivyo vya mmomonyoko wa maadili, Waislamu wanajivunia uwepo wa Quran tukufu ambayo katika sura ya 33 aya ya 21 (Quran 33:21) wanakumbushwa kwamba wanacho kiigizo chema kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu. “Kwa lugha nyingine Quran inapaswa kuwa chanzo cha kutegemewa cha mafunzo sahihi ya tabia njema, utii na kuheshimu mamlaka zilizopo,” amesisitiza.

“Tunapowahifadhisha Quran vijana wetu, tuhakikishe jambo hilo jema linakwenda sambamba na ujenzi wa misingi imara ya malezi itakayowafanya wawe raia wema, waadilifu na wazalendo kwa nchi yao. Tukiwa wazazi, walezi na walimu wa Quran, nitoe rai kwamba tunapotoka hapa hebu tujiulize ni kwa kiasi gani tunaizingatia hii Quran tukufu katika mwenendo mzima wa maisha yetu ya kila siku.”

Waziri Mkuu amesema kwa kufanya hivyo watakuwa wanamsaidia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye mara zote amekuwa akiguswa na suala zima la maadili hususan kwa vijana. “Pia tutamsaidia Mheshimiwa Rais kupata wasaidizi wacha Mungu na waadilifu katika kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi.”

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwaomba waumini hao waendelee kuiombea amani Tanzania kwani ikipotea mikusanyiko kama hiyo haitoweza kufanyika. Amesema Quran sura ya pili aya ya 126 (Quran 2:126) inawakumbusha umuhimu wa kuiombea nchi amani kupitia dua ya Nabii Ibrahimu alipouombea mji wake na wakazi wake amani na neema.

“Nasi tuendelee kuiombea nchi yetu na viongozi wake ili waendelee kuliongoza vema Taifa letu ikiwa ni pamoja na kujenga umoja na mshikamano, kudumisha amani na kuimarisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii,” amesisitiza.

Mapema, Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Dkt. Aboubakar bin Zubeir alimpongeza Mwenyekiti wa taasisi ya ASF, Bi. Aisha Sururu kwa kuandaa mashindano hayo kwa miaka 22 na akamuelezea kwamba ni mwanamke pekee Tanzania na Afrika Mashariki ambaye anafanya kazi hiyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Amana ambao ni wadhamini wakuu wa mashindano hayo, Bw. Aboubakar Athuman Ally alisema kwa mwaka huu wametenga sh. bilioni 40 kwa ajili ya uwezeshaji wa vikundi na wafanyabiashara wadogo, wa kati na wakubwa.

Akisoma risala ya ASF, Bi. Zainab Matitu Vulu alisema washiriki wa mashindano hayo wanatoka maeneo tofauti nchini ambao jumla yao walikuwa 600 kutoka mikoa 20 ya Tanzania bara na visiwani na baada ya mchujo waliofanikiwa kuingia fainali ni 77.

Aliyataja baadhi ya majukumu yao ni kuwaunganisha vijana wa shule za sekondari na vyuo vikuu, kutoa ufadhili kwa baadhi ya vijana, kuwafundisha stadi za maisha na kuwasaidia wajane.

Alisema wana kiwanja walichonunua ambacho kipo Kiparang’anda wilayani Mkuranga, lakini wanahitaji fedha za kujenga chuo cha kuwafundisha vijana stadi za maisha na kuwahifadhisha Quran tukufu

About the author

Alex Sonna