Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

TAA INATHAMINI MICHEZO KWA WATUMISHI-DG MBURA

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu wa Klabu ya Michezo ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Bw. Mbura Tenga (kulia), akimkabidhi kombe la ushindi wa jumla , Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA) walilolipata kutoka kwenye michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), pia michezo ya Mei Mosi na mabonanza.

 

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania, Bw. Mussa Mbura (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu wa Klabu ya Michezo ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Utamaduni), Bw. Mbura Tenga (kulia), akitoa historia fupi ya klabu hiyo, kwenye hafla ya kukabidhiwa vikombe vya ushindi wa michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za serikali (SHIMIWI), Mei Mosi na mabonanza.

 

Baadhi ya wanamichezo wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Bw. Mussa Mbura (watano kutoka kulia), baada ya kukabidhi vikombe vya ushindi wa michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), Michezo ya Mei Mosi na bonanza.
****

Na Mwandishi Wetu

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imesema inathamini michezo mahala pa kazi na itaendelea kuwaruhusu watumishi wake kushiriki kwenye michezo mbalimbali inayoandaliwa na mashirikisho yanayotambuliwa.
 

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Bw. Mussa Mbura alipokuwa akipokea vikombe zaidi ya 10 vya ushindi wa michezo ya mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI),  michezo ya Mei Mosi iliyofanyika mwaka 2022 mkoani Morogoro na Dodoma na bonanza lililofanyika kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 
Bw. Mbura amesema TAA inathamini michezo kwa kuwa inawaweka watumishi wake katika afya njema ya mwili na akili, ambapo husaidia huongeza ufanisi wa majukumu yao ya kazi.
 
“TAA tunaahidi kutoa ushirikiano mkubwa kwa kuendelea kutoa wachezaji wengi kama sasa wanaounda timu yetu ya Sekta ya Uchukuzi, inayoshiriki kwenye michezo mbalimbali, sote tunajua michezo ni afya, upendo na inajenga mahusiano na watu wengine na inajenga afya ya mwili na akili vinakaa vizuri, kwa hiyo muendelee kushiriki na msiache kutimiza majukumu yenu,” amesema Bw. Mbura.
 
Pia amesema pamoja na klabu hiyo kuwa na kupewa kipaumbele na menejimenti yote, bado TAA wamepokea maelekezo ya Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Bw, Gabriel Migire kwa watumishi kushiriki kwenye michezo, ili waendelea kuleta vikombe zaidi na kuheshimisha Wizara na hata kuongeza ufanisi na tija makazini.
 
Hatahivyo, ameahidi kuongeza bajeti ya michezo na kununua vifaa stahiki, ambavyo TAA watapangiwa na Wizara kununua kwa ajili ya michezo mbalimbali, ikiwemo baiskeli zitakazotumika kwenye mashindano.
Halikadhalika, ameahidi kutembelea kambi ya Klabu ya Sekta ya Uchukuzi, itakayoshiriki kwenye michezo ya Mei Mosi itakayoanza tarehe 14 hadi 29 April, 2023 mkoani Morogoro.
 
Awali Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Bw. Mbura Tenga ameishukuru TAA kwa ushirikiano wao mkubwa wa kutoa wachezaji wengi wanaoshiriki kwenye michezo mbalimbali.
 
“TAA mmekuwa mfano wa kuigwa kwa kutoa wachezaji wengi wenye vipaji ambao wamekuwa chachu ya kuleta ushindi kwenye klabu yetu ikiwa ni moja ya taasisi kubwa tano kati ya 14 zinazounda Sekta ya Uchukuzi, ambapo wapo wachezaji wanaocheza mchezo ya mtu mmoja mmoja na pia kama timu ambayo inatuletea makombe mengi, pamoja na kombe na ushindi wa jumla, hivyo tunawapongeza sana” amesema Bw. Tenga.
 
Bw. Tenga amesema Uchukuzi inatarajia kushiriki kwenye michezo ya soka, netiboli, kamba, riadha, kuendesha baiskeli, karata, bao, draft na mpira wa wavu.

About the author

Alex Sonna