Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

vdcasino

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

pusulabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

ultrabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

casino siteleri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

cratosroyalbet

betpark

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

jojobet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

imajbet

holiganbet

marsbahis

matbet

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

galabet

bets10

betpark

casibom

marsbahis

betpark

runtobet

runtobet giriş

Featured Kitaifa

SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA BAJETI YA USIMAMIZI WA USALAMA NA AFYA NCHINI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako (aliyesimama) akimkaribisha Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi Khadija Mwenda (hayupo pichani) ili atoe mada kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Waziri wake, Patrobas Katambi na kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Ofisi yake, Prof. Jamal Adam Katundu.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mada kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda (hayupo pichani) aliyewasilisha mada inayohusu kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA.

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda akiwasilisha mada kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Fatuma Toufiq akiongoza majadiliano ya wajumbe wa Kamati hiyo mara baada ya Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda kuhitimisha mada aliyowasilisha katika kikao cha Kamati hiyo.

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na Wajumbe wa Kamati Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu masuala mbali mbali yanayohusu usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini.

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Athumani Maige, akiuliza swali kutokana na mada ya Muundo na Majukumu ya OSHA iliyowasilishwa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, katika Kikao cha Kamati hiyo Bungeni jijini Dodoma.

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri serikali kuongeza bajeti ya usimamizi wa masuala ya usalama na afya ili kuuwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuzuia ajali, magonjwa na uharibifu wa mali katika shughuli za uzalishaji hususan miradi mikubwa ya maendeleo jambo ambalo litaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi nchini.

Ushauri huo umetolewa mara baada ya OSHA kuwasilisha randama ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 pamoja na taarifa ya muundo na majukumu yake mbele ya Kamati hiyo Bungeni Jijini Dodoma. Kamati ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii ndiyo inayoisimamia Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi chini yake ikiwemo OSHA kwasasa.

Akizungumza mara baada ya kuhitimisha kikao hicho, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Riziki Saidi Lulida, amesema OSHA ina jukumu kubwa la kusimamia mifumo ya kuzuia ajali na magonjwa katika maeneo ya kazi hivyo kupelekea shughuli za uchumi kufanyika kwa ufanisi mkubwa zaidi.

Kiongozi huyo wa Kamati ameongeza kuwa kutokana na jukumu hilo zito la OSHA, serikali haina budi kutenga bajeti ya kutosha ili kuiwezesha OSHA kufanya kazi yake ipasavyo hususan katika miradi mikubwa ya mafuta na gesi ambayo inahitaji kushughulikiwa kwa umakini mkubwa ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kutokea endapo ajali zitatokea katika maeneo husika.

“Uwepo wa OSHA ni mkakati wa maendeleo ya wafanyakazi na usalama wa nchi lakini watu wengi wanakwepa kutekeleza taratibu za usalama na afya kwenye maeneo ya kazi. Hivyo, sisi tunaishauri serikali isimame imara na iwape OSHA bajeti ya kutosha ili waweze kufanya kazi ya kuisaidia nchi katika eneo la usalama wa wafanyakazi katika viwanda vyetu, Taasisi zetu, mabomba yetu ya mafuta na gesi, mashirika ya umma na makampuni binafsi,” ameeleza Mbunge Lulida.

Aidha, Kamati hiyo imebainisha kwamba OSHA imeleta mabadiliko makubwa katika usimamizi wa masuala ya usalama na afya katika shughuli mbali mbali za uzalishaji mali ikiwemo sekta ya mafuta na gesi.

“Mafanikio ya OSHA ni makubwa sana endapo tukiangalia tulikotoka ambapo wafanyakazi walikuwa hawajui haki zao za msingi kuhusiana na masuala ya usalama na afya mahali pa kazi. Mathalani katika vituo vingi vya mafuta tulikuwa tunaona vijana wakitoa huduma bila kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa kinga kama vile viatu maalum vya usalama (safety boots) badala yake walikuwa wanavaa ndala au lakini sasa hali imebadilika na vituo vingi wanazingatia taratibu muhimu za usalama na afya,” amesema Mariamu Kisangi, Mjumbe wa Kamati.

“Uwasilishaji wa leo wa OSHA umetufanya tuelewe kuwa Taasisi hii ina kazi kubwa sana, majukumu yake ni mazuri na inatekeleza majukumu yake kwa weledi na viwango vya hali ya juu. Taasisi hii inaishauri serikali vizuri kuhusiana na masuala ya usalama na afya na ni chombo ambacho waajiri na wafanyakazi wanakitegemea sana,” ameeleza Athumani Almas Maige ambaye ni Mjumbe Kamati.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda, amesema wamefarijika kuona kwamba wawakilishi hao wa wananchi wanatambua kazi kubwa inayofanywa na OSHA katika kusimamia uzingatiaji wa taratibu za usalama na afya kwenye maeneo ya kazi nchini.

OSHA ikiwa ni miongoni mwa Taasisi chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu yenye jukumu la kusimamia utekelezaji wa Sheria Na. 5 ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi, ilipata fursa ya kuwasilisha randama ya bajeti yake ya mwaka wa fedha ujao (2023/2024) pamoja na kueleza majukumu yake kwa Kamati hiyo ambayo ni mpya kwao kutoka Kamati ya Katiba na Sheria iliyokuwa ikiwasimamia hapo awali.

About the author

Alex Sonna