slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

tipobet

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

Hacklink panel

Casibom

matbet

Featured Kitaifa

GGML,HALMASHAURI ZA GEITA ZASAINI MAKUBALIANO YA CSR YA THAMANI YA SH BILIONI 19

Written by Alex Sonna
Mwanasheria Mkuu wa GGML, David Nzaligo (kulia) akisaini makubaliano hayo kwa niaba ya kampuni hiyo huku upande wa Halmashauri ya Mji Geita ukisainiwa na Mwanasheria wake na chini ya  Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Zahara Michuzi.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Geita Gold Mining Limited, Elder Damon pamoja (kulia) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi (kushoto) wakionesha makubaliano waliyosaini kwa ajili ya utekeleza wa mpango huduma kwa jamii (CSR). GGML imetoa jumla ya Sh bilioni 19 kutekeleza makubaliano hayo ya CSR kwa mwaka 2022/2023. Anayeshuhudi katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela na maofisa wengine wa GGML na mkoa huo.
Mwanasheria Mkuu wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), David Nzaligo (kulia) akisaini makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa huduma kwa jamii (CSR) kwa niaba ya kampuni hiyo leo Jumanne mjini Geita ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Geita imepata Sh bilioni 8.6 kati ya Sh bilioni 19 zilizotolewa kwa wilaya za mkoa huo. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Geita, Cornel Maghembe akimshuhudia mwanasheria wa wilaya hiyo akitia saini makubaliano hayo.
Mwanasheria Mkuu wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), David Nzaligo (kulia) akisaini makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa huduma kwa jamii (CSR) kwa niaba ya kampuni hiyo leo Jumanne mjini Geita ambapo Wilaya ya Mbogwe imepata Sh 200 kati ya Sh bilioni 19 zilizotolewa kwa wilaya za mkoa huo. Kulia ni wawakilishi wa wilaya hiyo wakisaini makubaliano hayo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Geita Gold Mining Limited, Elder Damon pamoja (kulia) na wawakilishi wa wilaya ya Bukombe wakionesha mikataba ya makubaliano waliyosaini leo Jumanne mjini Geita kutekelezaji wa mpango wa huduma kwa jamii (CSR) wa GGML. Bukombe pia imepata Sh 200 kati ya Sh bilioni 19 zilizotolewa kwa wilaya za mkoa huo.
Mwanasheria Mkuu wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), David Nzaligo (kulia) akisaini makubaliano ya utekelezaji wa mpango wa huduma kwa jamii (CSR) kwa niaba ya kampuni hiyo leo Jumanne mjini Geita ambapo Wilaya ya Chato imepata Sh 200 kati ya Sh bilioni 19 zilizotolewa kwa wilaya za mkoa huo. Kulia ni wawakilishi wa wilaya hiyo wakisaini makubaliano hayo.
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja na Halmashauri za jirani za wilaya za Chato, Bukombe na Mbogwe kutekeleza Mpango wa Uwajibikaji wake kwa Jamii (CSR) kwa mwaka 2022/2023 wenye thamani ya Sh bilioni 19.
Jumla ya Sh bilioni 9.8 zimetengwa kwa ajili ya Halmashauri ya Mji wa Geita ambapo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, bajeti ya Sh bilioni 8.6 imetengwa.
Katika makubaliano hayo GGML pia itatoa jumla ya Sh milioni 600 kutekeleza miradi ya maendeleo kwa halmashauri tatu za Mbogwe, Chato na Bukombe mkoani Geita ambapo kila moja itapata shilingi milioni 200. 
Makubaliano hayo yametiwa saini jana Machi 21, 2023 mjini Geita na kushuhudiwa na Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela, wakuu wa wilaya za mkoa huo na wadau wengine.
Akizungumza katika hafla hiyo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Geita Gold Mining Limited, Elder Damon alisema kutiwa saini kwa makubaliano hayo ni jambo muhimu na linathibitisha dhamira njema ya kampuni hiyo kwa jamii iliyowakaribisha, Serikali ya Tanzania na watu wake kwa kufuata matakwa ya Sheria ya Madini ambayo yanazingatia Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii.
 Alisema mpango wa CSR wa mwaka huu ni mwendelezo wa mipango ya awali unaolenga kujumuisha maendeleo yaliyofikiwa na GGML hadi sasa katika maeneo ya mazingira, miundombinu, afya, elimu na biashara ndogondogo na za kati (SMEs) katika jamii ya mwenyeji wa Geita. 
“Binafsi inanipa furaha kubwa kushuhudia matokeo ya miradi yenye mafanikio katika maisha ya Watanzania, hasa wale wanaoishi karibu na mgodi. GGML inajitahidi kuunga mkono matarajio ya Serikali ya Tanzania ya maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi katika jamii zinazowapokea. 
“Hii inaendana na thamani yetu ya msingi ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kuzipatia jamii, tunamofanyia kazi, maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi ambayo shughuli za uchimbaji madini zinafanyika.
Kwa hiyo, ninajivunia kwamba kutiwa saini kwa Makubaliano haya kunatokana na mchakato unaojumuisha pande zote kati ya Serikali, jamii mwenyeji na GGML. Ninaamini kuwa mchakato endelevu wa kufanya kazi pamoja utaimarisha umiliki wa mpango huu wa CSR na ule wa siku zijazo na hivyo utahakikisha mafanikio na uendelevu kwao,” alisema.
Aidha, Makamu Rais wa AngloGold Ashanti- GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo alisema watu wengi hawafahamu kwamba kabla ya sheria ya madini ya mwaka 2010 kufanyiwa marekebisjo mwaka 2017, tayari GGML ilikuwa inatekeleza mpango wa CSR kwa kutoa zaidi ya Sh bilioni 9 kugharamia miradi mbalimbali ya kijamii mkoani Geita.
“Hata baada ya kuingiza kipengele hicho cha uwajibikaji wa kampuni kwa jamii -CSR, sisi tulikuwa wa kwanza kufanya hivyo kwani kila mwaka tunatumia walau Sh bilioni 9.2 hadi 10,” alisema Simon Shayo.
“Kipindi cha mwaka 2015 hadi 2017 tuliona ni muhimu kuongeza kwa kiasi kikubwa fedha tunazowekeza kwenye jamii ili kutengeneza uchumi mbadala hata mgodi ukifungwa,” alisema Shayo.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela, alisema ni furaha kushuhudia tukio hilo likifanyika kipindi ambacho wanaadhimisha miaka miwili tangu Serikali ya Awamu ya Pili chini ya Rais Dkt. Samia Suluh Hassan kuanza kazi ya kuongoza taifa maendeleo yake ikiwemo ya sekta ya madini. 
“Nichukue pia fursa hii kuipongeza sana kampuni ya GGML kwa kuwa kinara wa uchimbaji endelevu wa madini. Nawashukuru pia kwa kuwa na subira na uungwana wa kutuvumilia kukamilisha mchakato wa utiliaji saini hii ya makubaliano ambao umekuwa ukisogezwa mbele mara kwa mara.Majadiliano na mapendekezo ambayo tumekuwa tukiyafanya baina ya pande zote mbili yaani sisi serikali na Uongozi wa GGML yameonyesha ukomavu mkubwa na wenye afya katika aina ya uwekezaji tunaoutaka katika taifa letu,” alisema.
Aidha, alitoa wito kwa wana-Geita kuchangamkia fursa za miradi hiyo kwa kuhakikisha mahitaji ya wakandarasi yanapatikana ndani ya mkoa huo.
Pia aliagiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa ufanisi ili kutoacha mapungufu yoyote.

About the author

Alex Sonna