Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

casibom

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

bets10

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

palacebet

holiganbet

jojobet

cashwin

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

jojobet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

galabet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

bibubet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Pusulabet

Starzbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

betsat

jojobet

cratosroyalbet

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Mariobet

Mariobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

Featured Michezo

NAIBU WAZIRI MWINJUMA AFANYA ZIARA TaSUBa, AZUNGUMZIA MFUKO WA SANAA, UTAMADUNI

Written by Alex Sonna


Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe.Hamis Mwinjuma maarufu kwa jina la Mwana FA amefanya ziara ya kutembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) huku akitumia nafasi hiyo kueleza mipango inayoendelea katika kuongeza hadhi ya taasisi hiyo na wanaopata mafunzo waone fahari.

Aidha ametumia nafasi hiyo kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kutoa fedha za moja kwa moja kwa watu wanaojishughulisha na shughuli za Sanaa na utamaduni kupitia mikopo inayotolewa kwa kutumia Mfuko wa Utamaduni na Saaa ambapo hadi sasa zaidi ya Sh.Bilioni 1.07 zimetolewa.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufanya ziara hiyo Naibu Waziri Mwinjuma amesema amefurahi kufanya ziara hiyo kwani ni miongoni mwa ziara alizozifuahia zaidi kwa sababu kazi za utamaduni na Sanaa ambazo ameziona tangu amefika amevutiwa navyo vikiwemo vifaa vinavyotumika kufundishia wanafunzi.

“Vifaa ambavyo vinatumika kufundishia hatusemi haviwezi kutuzalishia watu tunawaowahitaji kwenye utamaduni na Sanaa lakini nafikiri nguvu kubwa inahitajika kuongezeka, na hicho ndicho nimekuja kukiangalia, tumekaa na kujadiliana na Mkuu wa taasisi kwa muda na tumejadiliana namna ya kustawisha mafunzo yanayotolewa

“Na hili la vifaa ni miongoni mwa mambo tuliyojadili kwa hiyo ni mambo ambayo nimepita niyaone kwa macho yangu kwasababu nimepanga kuyafanyia kazi kwa kiwango kikubwa,tunataka kuzalisha mameneja kwa ajili ya muziki , waongoza filamu, watengeneza filamu, waigizaji na vyote hivi vinahitaji vifaa na miundombinu inayoeleweka ili tupate watu wanaoweza kushindana na kasi ya Sanaa na utamaduni.

“Ujumbe wangu kwa (TaSUBa),tunatamani watu wote wanaofanya shughuli za utamaduni na Sanaa wawe wanaokaa maofisini ,wakufunzi,waigizaji,wanamuziki waone fahari kupita TaSUBa na kwa hivyo sisi tunachakata hapa namna ambavyo tutafanya taasisi hiii iingiliane kabisa na kiwanda cha muziki na filamu ambacho tunakifanya sasa hivi kwa mfano ili iwe sehemu ya mafanikio ya filamu na mziki wa nchi hii,”amesema.

Kuhusu fedha za mikopo, Naibu Waziri Mwinjuma amesema mfuko wa utamaduni na Sanaa haukulenga wasanii peke yake ,kwa hiyo sio waigizaji na wanamuziki peke yao bali watu wote ambao wanaweza kujihusisha na shughuli za Sanaa wanaweza kukopeshwa ilimradi miradi yao inamashiko.

“Kwasababu wanaokopeshwa hayakopeshwi majina bali inakopeshwa miradi ya utamaduni na sanaa na Mfuko umeshatoa Sh. Bilioni 1.07 mpaka sasa hivi na sisi hapa tunahangaika kuupatia fedha zaidi ili watu wengi zaidi wanaofanya shughuli za utamaduni na Sanaa wafaidike.

“Na lengo hasa lilikuwa na watu wengi wanaojishughulisha na shughuli hizi mtaani ambao wana mawazo makubwa lakini na unayaona kabisa haya mbele yanaenda kugeuka kuwa fedha lakini hawana Mitaji kwa ajili ya kufanyia kazi hayo mawazo yao.

“Kwa hivyo mama Samia akaona kwamba vijana wangu wanahitaji kuungwa mkono , tunashukuru sana Rais kwa jambo hili, ni miongoni mwa mambo makubwa kabisa yaliyotokea kwenye utamaduni na Sanaa toka mimi nianze kukumbuka kwamba fedha moja kwa moja fanyieni kazi mawazo yenu igeuke miradi na muingize kipato.

“Sikumbuki kama nimewahi kusoma au kuona sehemu nyingine kwamba kuna nchi Rais amefanya kama alivyofanya Rais Samia Suluhu ya kutoa fedha moja kwa moja kwa watu wanaojishughulisha na shughuli hizi ili watekeleze mawazo yao.”

Ameongeza kwa hivyo lengo ni kupandisha viwango, kuhakikisha mawazo kwenye vichwa vyetu yanafanyika lakini yanafanyika watu wakiwa huru,wakiwa na fedha.”Wanaokopeshwa wanapewa na muda wa kurudisha fedha, ambapo mradi utakuwa umekamilika na umeshaanza kutoa fedha.

“Kwa hiyo mimi nimshukuru Rais kwa kutuanzishia mfuko huu ambao ulijifia zake muda mrefu uliopita ,tunamshukuru sana lakini niwaombe wasanii na makundi mengine ambayo yanafaidishwa na mfuko huu kuhahakikisha wanapeleka miradi ya kweli inayoeleweka na wanafanya marejesho ili iweze kunufaisha wengi zaidi ambao wanajihusisha na shughuli hizo na wanahitaji mitaji.”

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe.Hamis Mwinjuma maarufu kwa jina la Mwana FA akisaliamiana na mwenyeji wake Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Dkt. Herbert Makoye mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanya ziara ya kutembelea na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika ndani ya taasisi hiyo,Bagamoyo mkoani Pwani. PICHA ZOTE NA MICHUZI JR

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe.Hamis Mwinjuma akitambulishwa kwa wenyeji wa taasisi hiyo

 

About the author

Alex Sonna