Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

DKT.SHEKALAGHE:WAUGUZI NA WAKUNGA NI TASWIRA MUHIMU SEKTA YA AFYA KATIKA KUHUDUMIA WAGONJWA.

Written by Alex Sonna

Na.Elimu ya Afya kwa Umma.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt.Seif Shekalaghe amesema watumishi wote sekta ya afya hususan wauguzi ni watu na taswira muhimu kwa sekta ya afya katika kuhudumia wagonjwa hivyo amehimiza kuzingatia maadili katika utumishi wao.

Dkt.Shekalaghe amebainisha hayo leo Machi.13.2023 jijini Dodoma katika ufunguzi wa mkutano wa jukwaa la Wauguzi na Wakunga viongozi hapa nchini ulioandaliwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI .

Dkt. Shekalaghe amesema watumishi wote sekta ya Afya wana mchango mkubwa katika kuwahudumia wananchi hivyo kuna mchango mkubwa kuweka nguvu za pamoja katika utoaji wa huduma bora.

“Hakuna mtu yeyote anayejihisi kuona yeye ni bora kuwahudumia wagonjwa kuliko wengine, mgonjwa anaanzia getini kupima anapataje huduma hivyo ninyi nyote ni taswira muhimu katika sekta ya afya katika kuwahudumia wagonjwa fanyeni kazi kwa kuzingatia maadili” amesema Dkt.Shegalaghe.

Aidha, Dkt. Shekalaghe amewakumbusha wauguzi na wakunga kuzingatia utoaji wa huduma bora kwa wananchi(Customer Care) kwani ndio kipimo cha msingi kwa mteja.

“Kazi mnayofanya ni ibada hivyo ni muhimu sana kuzingatia na kujipima ubora wa huduma unayotoa , unaweza ukafanikiwa kwa vitu vingi sana kwa sababu wagonjwa unaowahudumia wanakuombea kwa mwenyezi Mungu,narudia kuwakumbusha ninyi ni jeshi kubwa na mnaotoa taswira kubwa kwa sekta ya afya”amesema.

Kuhusu utoaji wa huduma Dkt.Shekalaghe amewataka Wauguzi na Wakunga Viongozi kutoa huduma kwa upendo kwani kuna matokeo makubwa katika sekta ya Afya.

“Upendo unasaidia sana kujenga umoja kwani mgonjwa anapohitaji huduma hasaidiwi na mtoa huduma mmoja tu,hivyo ninyi mnapokuwa na upendo ninyi kwa ninyi lazima huduma inakuwa bora, na penye uongozi mzuri pana mabadiliko”amesisitiza.

Kwa upande wake Muuguzi Mkuu wa Serikali Ziada Sellah amesema katika mkutano huo utasaidia kuweka mikakati endelevu katika uboreshaji wa huduma za Afya katika ngazi zote na kujifunza masuala mbalimbali ikiwemo uongozi na kujadili changamoto mbalimbazi zinazowakumba wauguzi.

“Tutatumia mkutano huu kujadili mambo mbalimbali ikiwemo utoaji wa huduma zenye staha, zinazojali utu, heshima na upendo ikiwemo maadili na Customer Care(ubora wa huduma)”amesema.

Ikumbukwe kuwa, Mkutano wa Wauguzi na Wakunga Viongozi umeanza leo Machi.13-17/2023 na unahusisha wauguzi kutoka Hospitali ya Taifa, Hospitali ya Kanda, Hospitali za Rufaa za mikoa, Hospitali Maalum, Wauguzi Wakuu wa Mikoa, Wauguzi Wakuu wa Halmashauri lengo ni kuwajengea uwezo katika masuala ya uongozi na Usimamizi wa Huduma za Afya ili waweze kusimamia na na kuimarisha utoaji wa Huduma bora za Afya ambapo umekwenda sambamba na kaulimbiu isemayo ‘’ Mchango wa Wauguzi na Wakunga ni Muhimu katika Kuimarisha Utoaji wa Huduma Bora za Afya nchini”

About the author

Alex Sonna