WATUMISHI Wanawake Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, wakikabidhi Godoro kwa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi ambapo wamesheherekea siku ya wanawake duniani kwa kukata keki,kupanda miti na kuwapatia mahitaji muhimu wanafunzi hao.

Kiongozi wa Msafara wa Watumishi Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,Bi.Sylvia Lupembe,akimkabidhi Keki Mkuu wa Shule Kigwe Viziwi Thadei Mhwagila kwa ajili Kukata Keki hiyo pamoja na kusherekea na wanafunzi wenye mahitaji maalum.
WATUMISHI Wanawake Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,wakifurahi pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi wakati wakikata keki katika kusheherekea siku ya wanawake Duniani.
WATUMISHI Wanawake Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,wakigawa Keki pamoja na Juice kwa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi wakati wa kusheherekea siku ya wanawake Duniani.
WATUMISHI Wanawake Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, wakikabidhi Vifaa mbalimbali kwa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi ambapo wamesheherekea siku ya wanawake duniani kwa kukata keki,kupanda miti na kuwapatia mahitaji muhimu wanafunzi hao.
Kiongozi wa Msafara wa Watumishi Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,Bi.Sylvia Lupembe,akiwa na Wanawake Wizara ya Elimu ,Mkuu wa Shule na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi wakipanda mti katika shule hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
Kiongozi wa Msafara wa Watumishi Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,Bi.Sylvia Lupembe,akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi vifaa mbalimbali pamoja na kukata keki,Kupanda Miti katika Shule ya Msingi Kigwe Viziwi iliyopo wilayani Bahi Mkoani Dodoma wakati wa kusherekea siku ya wanawake Duniani .
Mkuu wa Shule Kigwe Viziwi Thadei Mhwagila,akitoa pongeza kwa Watumishi Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,kwa kwenda kuwafariji Wanafunzi wake kwa kula Keki pamoja na kugawa Misaada ya vifaa mbalimbali wakati wa kusherekea siku ya wanawake Duniani .
WATUMISHI Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kigwe Viziwi wakati wakisheherekea siku ya wanawake duniani ambapo wamekata keki,kupanda miti na kuwapatia mahitaji muhimu wanafunzi hao.
Na.Alex Sonna-BAHI
WATUMISHI Wanawake wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, wamesheherekea siku ya wanawake duniani kwa kukata keki,kupanda miti na kuwapatia mahitaji muhimu wanafunzi wa shule ya msingi Kigwe Viziwi wilayani Bahi mkoani Dodoma.
Amesema kuwa pamoja na kukata keki wamekabidhi vifaa mbalimbali katika shule hiyo ambavyo ni Simtank lita 4000, Mashuka, Mipira ,Taulo za kike,Magodoro, Juice, Biscuit ,keki