marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

casibom

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

Uncategorized

RC SENYAMULE ATAKA WANAWAKE KUSIMAMA KATIKA NAFASI ZAO

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza katika Kongamamo na ibaada ya maombi ya wanawake dunia nzima iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Dodoma mwishoni mwa wiki. Umoja huo wa wanawake unaundwa na akina mama kutoka makanisa ya KKKT, Roman Catholics, Anglikana, Moravian na TAC.

Sehemu ya washiriki wa Kongamamo na ibaada ya maombi ya wanawake dunia nzima wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule (hayupo pichani) katika Ibaada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Dodoma mwishoni mwa wiki.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikabidhi zawadi kwa wachungaji waliohudhuria Kongamamo na ibaada ya maombi ya wanawake dunia katika Wilaya ya Kongwa mwishoni mwa wiki.

Sehemu ya washiriki wa Kongamamo na ibaada ya maombi ya wanawake dunia nzima wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule (hayupo pichani) katika Ibaada iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa Katoliki – Wilaya ya Kongwa mwishoni mwa wiki.


UMOJA wa Wanawake wa Madhehebu ya Kikristo Mkoa wa Dodoma hii leo tarehe 3 Machi 2023 umeadhimishi Kongamamo na ibaada ya maombi ya wanawake dunia nzima iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania,  Dayosisi ya Dodoma na katika Viwanja vya Kanisa Katoliki Kongwa.

Akifungua kongamano hilo la maombi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema wanawake ni nguzo katika jamii na chachu ya maendeleo hivyo ni muhimu kwa kundi hili kusimama katika nafasi zao katika kuliombea Taifa, Kanisa na familia ili kuwa kizazi chenye maadili, uzalendo na hofu ya Mungu.

Aidha, Senyamule amewakumbusha jukumu lao kama wanawake na walezi kwa kusisitiza kuwa kila mmoja ana mchango mkubwa katika kufanikisha ustawi katika ngazi ya jamii. “Kumekuwa na  mmonyoko wa maadili katika jamii zetu, kila mmoja ana mchango katika kusimamia maadili na makuzi ya vijana huku tukikemea kwa dhati suala la ukatili wa kijinsia ” alisisitiza Mhe. Senyamule. 

Amewataka akina mama hao kuwa na moyo wa kujiamini, kuthubutu na kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali kupitia miradi ya maendeleo na kujiunga katika vikundi ili kunufaika na mikopo inayotolewa na Serikali.

 

Serikali imefanya makubwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vituo vya afya kwa lengo la kupunguza vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na changamoto za uzazi. Amesema Serikali imetoa kipaumbele katika ujenzi wa Hospitali, Zahanati na ununuzi wa Vifaa na vifaa tiba katika kuimarisha sekta ya afya nchini.

Akizungumzia elimu Mhe. Senyamule amesema Mkoa wa Dodoma umepiga hatua kubwa katika kuimarisha miundombinu ya elimu kwa kukamilisha ujenzi wa madarasa, vituo shikizi na upatikanaji wa madawati kwa wanafunzi

“Mkoa wa Dodoma tumependelewa katika sekta ya elimu kuna Shule za kutosha, Vyuo vya kati na vile Vikuu, kazi iliyobaki ni kwetu wazazi kuhakikisha watoto wetu wanaenda shule, Serikali imetimiza wajibu wake, na sisi wazazi tutumize wajibu wetu” Amesisitiza Mhe. Senyamule.


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Fatuma Mganga ametoa rai kwa wanawake wa Dodoma kuwa na malengo mahsusi katika maombi yao ambayo kwayo watajipima mwaka ujao.

“Tuchague mambo ya kuombea na mwaka ujao tuje hapa na shuhuda tukimshukuru Mungu kwa kufanikisha. Tusimame katika nafasi zetu ili tuweze kufanikiwa pia katika kukuza uchumi kwa maendeleo endelevu” Alisisitiza Dkt. Mganga.

Katika kuadhimisha siku hiyo ya maombi, Umoja wa Wanawake Wilaya ya Kongwa umetoa vyakula na zawadi mbalimbali kwa wahitaji. Umoja wa Wanawake wa Madhehebu ya Kikristo Mkoa wa Dodoma unaundwa na akina mama kutoka makanisa ya KKKT, Roman Catholics, Anglikana, Moravian na TAC.

About the author

Alex Sonna