marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

alobet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

ngsbahis

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

casinoroyal

bets10 güncel giriş adresi

Featured Kitaifa

TPHPA YATAJA MALENGO YAKE

Written by Alex Sonna

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru,akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 1,2023 jijini Dodoma (hawapo pichani) wakati  akieleza utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita.

Na.Alex Sonna-DODOMA

Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viatilifu  Tanzania (TPHPA) imejipanga  kuendelea kufanya ukaguzi wa viwatilifu  mara kwa mara kwa watengenezaji, wasambazaji, wauzaji na watumiaji ili kupunguza athari ya kuwepo kwa viuatilifu bandia.

Hayo yameelezwa leo Machi 1,2023Jijini na  Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo,Prof. Joseph Ndunguru wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya mamlaka hiyo katika kipindi cha serikali ya awamu ya sita.

Prof,Ndunguru  amesema bado wanakabiliwa  changamoto ya viatilifu bandia kuingia nchini  kupitia maeneo ya mipakani na njia za panya.

Amesema kutokana na hali hiyo wamejipanga kuendelea kufanya ukaguzi wa viwatilifu  mara kwa mara kwa watengenezaji, wasambazaji, wauzaji na watumiaji ili kupunguza athari ya kuwepo kwa viuatilifu bandia.

Prof Ndunguru amesema  jumla ya viuatilifu vipya 409 na kampuni za ufukizaji 198 vilisajiiliwa katika maeneo mbalimbali nchini na mamlaka imeendelea kufanyika kaguzi ili kupunguza uwepo wa viuatilifu bandia.

Amesema chunguzi za sampuli 103 za shehena za mimea zilifanyika katika maabara na vitalu nyumba ambapo jumla ya maombi 762 ya vibali vya kuingiza vipando nchini Tanzania yalipokelewa.

“Tumefanya Kaguzi 7 zilifanyika katika karantini za wazi,miwa na viazi mviringo na matunda ya Sapodilla .Vipando vyote kwenye Karantini hizo vilikidhi matakwa ya afya ya mimea ya Tanzania,”amesema Prof,Ndunguru

Prof. Ndunguru amesema mamlaka imeweza kukusanya jumla ya sampuli 400 za nasaba za mimea ya aina mbalimbali na kuhifadhi katika benki ya mbegu.

Katika kukabiliana na viwavi jeshi,Prof,Ndunguru amesema jumla ya  lita 81,563 za Profenofos zimesambazwa katika Halmashauri 57 za mikoa lengo likiwa ni  kudhibiti uharibifu  katika mazao ya nafaka.

Ameitaja mikoa hiyo ni   Lindi, Pwani, Morogoro, Tanga, Geita, Manyara, Kilimanjaro, Dodoma, Singida, Dar es salaam, Katavi na Arusha.

Prof Ndunguru amesema mamlaka imekagua tani 5,343,380.59 za mazao ya nafaka, bustani, mizizi, mbegu za mafuta katika vituo vya mipakani, bandari na viwanja vya ndege.

Amesema  jumla ya vyeti 29,033 vya usafi wa mimea kwa ajili ya kuruhusu mazao kusafirishwa nje ya nchi na vyeti 3359 vya kuruhusu mazao kuingia nchini vimetolewa.

Amesema mamlaka imedhibiti ndege aina ya kwelea kwelea milioni 227.4 na kufanikiwa kuokoa tani 1056.3 za mazao ya nafaka.

Hata hivyo amesema wanakabiliwa na changamoto ya uelewa mdogo wa wakulima na wadau wengine juu ya matumizi sahihi ya viuatilifu  pamoja na uwepo wa  wauuzaji wa viuatilifu na mazao ya mimea wasio waaminifu.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa Karantini  ya Mimea ya Taifa kutoka TPHPA Dk.Benjamini  Ngowi amesema kuna karantini za wazi ambazo kazi zake ni kukagua mimea inayoingizwa kama ina changamoto yoyote.

Amesema  kaguzi 7 zilifanyika katika karantini za wazi  za miwa na viazi mviringo  na  vilikidhi matakwa ya afya ya mimea ya Tanzania.

“Tumekuwa tukiwaita  maafisa ugani tunawapa elimu na tunakutana na viongozi wa wakulima ili kuweka mikakati ya pamoja kukabiliana na changamoto ya wadudu waharibifu na jinsi ya kulima kisasa,”amesema  Dk Ngowi.

About the author

Alex Sonna