Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

grandpashabet

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AFANYA MABORESHO KWENYE MIUNDOMBINU YA BARABARA

Written by Alex Sonna

Meneja wa Mfuko wa Barabara Tanzania Bara Eliud Nyauhenga akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kuandaa Mwongozo wa Utumiaji Barabara Zanzibar pamoja na Kamati ya Mapitio ya Mpango Mkakati wa Mfuko wa Barabara Zanzibar (hawapo pichani) walipomtembelea ofisini kwake jijini DodomaWajumbe wa Kamati ya Kuandaa Mwongozo wa Utumiaji Barabara Zanzibar pamoja na Kamati ya Mapitio ya Mpango Mkakati wa Mfuko wa Barabara Zanzibar wakimsikiliza Meneja wa Mfuko wa Barabara Tanzania Bara Eliud Nyauhenga (hayupo pichani), walipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma.

Picha na RFB

Meneja wa Mfuko wa Barabara Tanzania Bara Eliud Nyauhenga, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imefanya maboresho makubwa kwenye miundombinu ya barabara hapa nchini kwa kuongeza fedha za kugharamia ujenzi na matengenezo ya barabara.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na ujumbe kutoka Mfuko wa Barabara Zanzibar uliomtembelea ofisini kwake mtaa wa Ammar, Jijini Dodoma.

“Kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022, Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa ikitenga zaidi ya Shilingi bilioni 440 kila mwaka mahsusi kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara za mijini na vijijini.  Hatua hii imepelekea kuimarika kwa kiwango kikubwa kwa mtandao wa barabara za vijijini.  Hii ni pamoja na kufungua barabara nyingi ambazo zilikuwa hazipitiki hapo awali.  Maboresha haya yanawawezesha wananchi kufikia na kunufaika na huduma za kijamii na kiuchumi zinazopatikana kutokana na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ” amesema  Nyauhenga.

Nyauhenga, ambaye pia ni Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Mifuko ya Matengenezo ya Barabara Afrika (Kanda ya Afrika Mashariki), ameuambia ujumbe huo kuwa makusanyo ya fedha za kugharamia matengenezo ya barabara yameongezeka kwa asilimia 27 kutoka Shilingi bilioni 806.7 mwaka wa fedha 2019/20 hadi Shilingi bilioni 1,027 mwaka wa fedha 2021/22.  Aidha, kwa miaka yote mitatu iliyopita, Serikali imekuwa ikitoa fedha zote za kugharamia matengenezo ya barabara kama zinavyoidhinishwa na Bunge.  Hatua hii imewezesha kutekeleza kazi nyingi za matengenezo ya barabara na hivyo kulinda thamani ya uwekezaji wa Serikali kwenye miundombinu yake na kuwawezesha watumiaji wengi wa barabara kupata huduma nzuri za usafiri na usafirishaji.

Ameongeza kuwa Serikali ilianzisha Mfuko wa Barabara Tanzania mwaka 2000 kupitia Sheria ya Ushuru wa Barabara na Mafuta Sura ya 220 ili kugharamia kikamilifu matengenezo ya barabara zote za Tanzania Bara.  Chanzo kikuu cha mapato ya Mfuko huo ni tozo za mafuta, kiasi cha shilingi 363 kwa kila lita ya dizeli na petrol.  Alitaja vyanzo vingine kuwa ni tozo kwa magari ya kigeni yanayotumia barabara nchini pamoja na faini zinazotozwa kutokana na uzidishaji uzito wa magari.

Nyauhenga amechukua fursa hiyo kuwaasa wananchi kutunza miundombinu ya barabara kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuzilinda samani za barabara, kutupa takataka kwenye mifereji ya barabara, kutokutiririsha maji na kutopitisha mifugo barabarani.  Hii ni kwa sababu Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye miundombinu ya barabara na pia ndiyo njia ya usafiri na usafirishaji inayotumiwa zaidi hapa nchini.  Hivyo uharibifu wake huleta hasara kubwa kwa Serikali na kuwafanya wanachi wengi kukosa huduma za usafiri na usafirishaji.

– Advertisement –

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Kuandaa Mwongozo wa Utumiaji Barabara Zanzibar, CPA Bakari Rashid, amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Kamati hiyo ili kuboresha matumizi ya barabara za Zanzibar na kwamba Kamati yake tayari imetembelea barabara zote za Unguja na Pemba kabla ya kuamua kutembelea Mfuko wa Barabara Tanzania Bara.

Naye Omar Makame ambae ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mapitio ya Mpango Mkakati wa Mfuko wa Barabara Zanzibar, amemshukuru Meneja wa Mfuko wa Barabara Tanzania kwa kukutana nao kuwa Kamati zao zimejifunza mambo mengi kuhusu uendeshaji wa Mfuko wa Barabara na kwamba Mfuko wa Barabara Zanzibar utaendeleza ushirikiano madhubuti uliopo baina ya Mifuko hii miwili nchini.

Kamati ya Kuandaa Mwongozo wa Utumiaji Barabara Zanzibar pamoja na Kamati ya Mapitio ya Mpango Mkakati wa Mfuko wa Barabara Zanzibar zipo mkoani Dodoma kwa ziara ya siku mbili, ili kujifunza na kujionea utendaji kazi wa Mfuko wa Barabara Tanzania Bara.

About the author

Alex Sonna