Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

TABIA YA WATUMISHI KUTOTUNZA NYARAKA ZA SERIKALI INA HATARISHA USALAMA WA TAIFA.

Written by Alex Sonna

 

 NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde,akizungumza  wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Naibu  Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde (hayupo pichani) wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

IMEELEZWA kuwa tabia ya baadhi ya watumishi wa Umma kutokuzingatia utunzaji wa nyaraka za Serikali hali hiyo husababisha heshima ya nyaraka za Serikali kutozingatiwa, na kuhatarisha usalama wa Taifa.

Hayo yameelezwa leo FEBRUARI 23,2023 jijini Dodoma na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali.

Mhe. Silinde amesema uzoefu unaonyesha utunzaji wa nyaraka za serikali hauzingatiwi kama inavyotakiwa hasa maeneo yanayosimamiwa na Makatibu tawala wasaidizi.

“Watu wanatembea na nyaraka hadharani bila kufunikwa, wengine wanaenda nazo nyumbani pia na kuzitoa wanapokuwa kwenye kumbi za starehe na hivyo kusababisha heshima ya usalama wa nyaraka za serikali kutokuzingatiwa na kuhatarisha ustawi wa taifa letu,”amesema Silinde.

Amewataka kwenda kudhibiti uvujishwaji wa siri za Serikali katika zama hizi za utandawazi mnatakiwa  muwe mstari wa mbele katika kuzitunza.

Hata hivyo amesema ofisi hiyo imeanza kupima utendaji kazi wa wakuu wote wa idara na haitosita kuchukua hatua kwa yeyote mwenye utendaji usio ridhisha.

”Kila halmashauri ihakikishe inaandaa mpango wa kutathimini utendaji kazi, mpango wa mafunzo, utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu na mpango wa Rasilimali watu na kuongeza kuwa hayo ndiyo mambo wanayohitaji kila halmashauri kupanga.”amesema

Pia amewataka watendaji hao kusimamia suala la maadili hasa mavazi kwa kuwaelekeza watumishi kuzingatia Waraka wa Utumishi wa Umma Na.3 wa mwaka 2007 unaohusu mavazi.

Kwa upande wake ,Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI  (Elimu), Dk Charles Msonde.  amesema kikao hicho kitakachofanyika kwa siku tatu kuanzia leo Feb 23-25 kikafanye kasi ya kuwakumbusha na kuelekezana umuhimu wa malengo waliyo yaweka kama nchi ili kuwahudumia wananchi katika maeneo mbalimbali ya Utumishi wao.

Awali  Mkurugenzi wa Idara ya Serikali za Mitaa TAMISEMI Bi. Angelista Kihaga amesema kikao hicho kitawasaidia maafisa hao kubadilishana uzoefu, kupata mafunzo yatakayo ongozwa na wataalum kutoka Wizara na Taasisi za Serikali na kuamini kuwa watakapotoka hapo wataenda kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa Umma.

About the author

Alex Sonna