marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

deneme bonusu veren siteler

king-royal

Featured Kitaifa

TABIA YA WATUMISHI KUTOTUNZA NYARAKA ZA SERIKALI INA HATARISHA USALAMA WA TAIFA.

Written by Alex Sonna

 

 NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde,akizungumza  wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Naibu  Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde (hayupo pichani) wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali leo Februari 23,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

IMEELEZWA kuwa tabia ya baadhi ya watumishi wa Umma kutokuzingatia utunzaji wa nyaraka za Serikali hali hiyo husababisha heshima ya nyaraka za Serikali kutozingatiwa, na kuhatarisha usalama wa Taifa.

Hayo yameelezwa leo FEBRUARI 23,2023 jijini Dodoma na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde wakati akifungua Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Sekretarieti za Mikoa na Mmlaka za Serikali.

Mhe. Silinde amesema uzoefu unaonyesha utunzaji wa nyaraka za serikali hauzingatiwi kama inavyotakiwa hasa maeneo yanayosimamiwa na Makatibu tawala wasaidizi.

“Watu wanatembea na nyaraka hadharani bila kufunikwa, wengine wanaenda nazo nyumbani pia na kuzitoa wanapokuwa kwenye kumbi za starehe na hivyo kusababisha heshima ya usalama wa nyaraka za serikali kutokuzingatiwa na kuhatarisha ustawi wa taifa letu,”amesema Silinde.

Amewataka kwenda kudhibiti uvujishwaji wa siri za Serikali katika zama hizi za utandawazi mnatakiwa  muwe mstari wa mbele katika kuzitunza.

Hata hivyo amesema ofisi hiyo imeanza kupima utendaji kazi wa wakuu wote wa idara na haitosita kuchukua hatua kwa yeyote mwenye utendaji usio ridhisha.

”Kila halmashauri ihakikishe inaandaa mpango wa kutathimini utendaji kazi, mpango wa mafunzo, utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu na mpango wa Rasilimali watu na kuongeza kuwa hayo ndiyo mambo wanayohitaji kila halmashauri kupanga.”amesema

Pia amewataka watendaji hao kusimamia suala la maadili hasa mavazi kwa kuwaelekeza watumishi kuzingatia Waraka wa Utumishi wa Umma Na.3 wa mwaka 2007 unaohusu mavazi.

Kwa upande wake ,Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI  (Elimu), Dk Charles Msonde.  amesema kikao hicho kitakachofanyika kwa siku tatu kuanzia leo Feb 23-25 kikafanye kasi ya kuwakumbusha na kuelekezana umuhimu wa malengo waliyo yaweka kama nchi ili kuwahudumia wananchi katika maeneo mbalimbali ya Utumishi wao.

Awali  Mkurugenzi wa Idara ya Serikali za Mitaa TAMISEMI Bi. Angelista Kihaga amesema kikao hicho kitawasaidia maafisa hao kubadilishana uzoefu, kupata mafunzo yatakayo ongozwa na wataalum kutoka Wizara na Taasisi za Serikali na kuamini kuwa watakapotoka hapo wataenda kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa Umma.

About the author

Alex Sonna