Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Kitaifa

SERIKALI YAVIAGIZA VYUO VYA UALIMU KUTUNZA MAZINGIRA 

Written by Alex Sonna

KAIMU  Katibu Mkuu  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe akizungumza wakati akifungua mafunzo  ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu (TESP)  leo Februari 23,2023,Wilayani Mpwapwa ,Mkoani Dodoma.

MKURUGENZI  msaidizi wa Elimu ya Ualimu kutoka Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Bw.Huruma Mageni, akitoa taarifa ya  mafunzo ya siku nne ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu  (TESP)leo Februari 23,2023,Wilayani  Mpwapwa , Mkoani Dodoma.

MRATIBU Mshauri Elekezi wa Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP) kutoka nchini Canada Bi.Alix Yule, akizungumza wakati ya  mafunzo ya siku nne ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu  (TESP)leo Februari 23,2023,Wilayani  Mpwapwa , Mkoani Dodoma.

MRATIBU wa Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu  (TESP) Bw.Cosmas Mahenge,akizungumza wakati ya  mafunzo ya siku nne ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu  (TESP)leo Februari 23,2023,Wilayani  Mpwapwa , Mkoani Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Kaimu  Katibu Mkuu  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo  ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu (TESP)  leo Februari 23,2023,Wilayani Mpwapwa ,Mkoani Dodoma.

MWENYEKITI wa Wakuu wa Vyuo Taifa Bw.Agustino Sahili,akitoa neno la shukrani kwa Mgeni rasmi Kaimu Katibu Mkuu  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe (hayupo pichani) mara baada ya kufungua mafunzo  ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu (TESP)  leo Februari 23,2023,Wilayani Mpwapwa ,Mkoani Dodoma.

KAIMU  Katibu Mkuu  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe akiwa katika picha ya pamoja na washiriki mara baada ya kufungua mafunzo  ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu (TESP)  leo Februari 23,2023,Wilayani Mpwapwa ,Mkoani Dodoma.

 

KAIMU  Katibu Mkuu  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe,akipanda mti katika chuo cha ualimu Mpwapwa mara baada ya kufungua mafunzo  ya utunzaji wa mazingira endelevu na ujanishaji kwa wakufunzi na menejimenti ya vyuo vya ualimu ,yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu  kupitia Mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu (TESP)  leo Februari 23,2023,Wilayani Mpwapwa ,Mkoani Dodoma.

Na.Alex Sonna-MPWAPWA

SERIKALI imevitaka vyuo vya ualimu nchini kutunza mazingira na kuangalia namna bora ya matumizi ya  nishati ya kupikia ikiwemo utumiaji wa kuni.

Hayo yameelezwa leo Februari 23,2023 Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma na Kaimu  Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia,Prof.James Mdoe,wakati akifungua mafunzo ya utunzaji mazingira endelevu na  ujanishaji kwa wanafunzi na Menejimenti ya Chuo cha Ualimu Mpwapwa.

Prof. Mdoe, amesema kutokana na matumizi ya teknolojia wanatakiwa kutoka katika matumizi ya kuni ama kuanzisha mashamba maalum katika vyuo kwa ajili ya kuvuna kuni lengo likiwa ni kutunza mazingira.

“Matumaini yangu tutatumia namna ya kupunguza bajeti ya matumizi ya nishati aidha kwa kuboresha au kuangalia aina ya majiko tunayotumia lakini kupunguza bajeti ya matumizi ya nishati,mimi matamanio yangu tudhibiti uharibifu wa mazingira.

“Mnakuwa na shamba lenu ambalo mnavuna hapa hapa kama tumeamua kutumia kuni,kuna wengine wanafanya watupe uzoefu na tuwe tayari kuuchukua.

“Baadhi hatupo tayari kubadilika tunafanya kwa nadharia tu, tuwe tayari kubadilika,”amesema Prof. Mdoe, 

Aidha amewataka kujifunza namna ya kuandaa mpango kazi  wa muongozo na unatekelezwaje  kulingana na mahitaji ya rasilimali fedha kwani  kuna utofauti kulingana na chuo na chuo.

Prof. Mdoe, amesema vyuo vinatakiwa kuhamasisha upandaji wa mti hasa katika mzimu wa mvua ili kutunza mazngira.

 Amesema wazee wa zamani bado wana kasumba ya kupanda miti kila inapofika msimu wa mvua hivyo wakufunzi hao wanatakiwa kuhakikisha wanasimamia zoezi la upandaji wa mti.

Pia amewapata kuhakikisha  wanatoe elimu ya utunzaji wa mazingira kwa walimu watarajiwa ili na wao wakafundishe wanafunzi watakaokuwa wakiwafundisha.

“Wangapi bado tunaendelea kupanda miti hapa Mpwapwa sina malalamiko lakini Je wote mnafanya hivyo? Ili tuweze kutunza  mazingira na kuboresha mandhari,”amesema Prof. Mdoe

Amesema mafunzo hayo yanatolewa kwa siku nne na yatagusa maeneo manne ikiwa ni pamoja na ukijanishaji  katika vyuo.

Amesema mafunzo hayo yanahusu vyuo 35 vya ualimu ambapo jumla ya vyuo  14 vimeishapata mafunzo hayo.

“Sasa  ni zamu yenu sasa napenda niwakaribishe sana na nichukue fursa hii kuwapongeza walioandaa mafunzo haya.Mimi binafsi ninamatumani makubwa kwamba mafunzo haya yatatujenga kwa sababu sisi ni wakufunzi tutapata kitu na tutawaanda vizuri walimu tunaowandaa.

“Lengo tunapojifunza mbinu mbalimbali ukijanishaji ni lazima ziingie katika vichwa vyetu na wakufunzi wetu na walimu wanafunzi ili wakienda kule wawasaidie wanafunzi wao,”amesema Prof. Mdoe,

Amesema Serikali inatambua umuhimu  wa utunzaji wa mazingira na katika kuhakikisha hilo limeweka mikakati ikiwemo kulinda  vyanzo  vya maji pamoja na uzuiaji wa ukataji  wa  miti hovyo

Amesema makakati huo utasaidia kupunguza gharama za uendelsahaji wa vyuo huku akidai suala la nishati ya kuni linakula fedha nyingi.

Kwa upande wake Mkurugenzi msaidizi wa Elimu ya Ualimu kutoka Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Huruma Mageni  amesema Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na Serikali ya Canada inatekeleza mradi wa kuendeleza elimu ya ualimu nchini kwa kuboresha mazingira ya kujifundishia na kujifunzia.

Amesema mafunzo  hayo yanalenga kuhakikisha  kunakuwa na mkakati wa utunzaji wa mazingira katika vyuo vya uliamu na usimamaizi wa taka ngumu pamoja na ujenzi rafiki na utunzaji  wa mazingira asili.

“Mafunzo haya yanajumuisha wakuu wa vyuo 35 na wakufunzi ambao watakuwa na jukumu la kusimamia hii program katika vyuo vyao”amesema Mageni

About the author

Alex Sonna