Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

MKURUGENZI WA MPIMBWE AIPONGEZA WIZARA YA AFYA KWA KUWA MSTARI WA MBELE UHAMASISHAJI CHANJO YA SURUA

Written by Alex Sonna

Na.Elimu ya Afya Kwa Umma.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mpimbwe Wilayani Mlele Mkoani Katavi Catherine Mashalla ameiopongeza Wizara ya Afya,Idara ya Kinga,Elimu ya Afya Kwa Umma Kwa kuweka Kambi katika Halmashauri hiyo Kwa ajili ya kuelimisha Kuhusu umuhimu wa chanjo ya Ugonjwa wa Surua.

Akizungumza ofisini kwake mapema leo Februari 22,2023 baada ya kutembelewa na wawakilishi kutoka Wizara ya Afya Bi.Mashalla amesema hatua hiyo ya timu ya Wizara kuweka Kambi itasaidia kuongeza nguvu katika utoaji wa Elimu juu ya ungonjwa WA Surua unaowakumba watoto.

Hivyo amesema wao kama Halmashauri Kwa kushirikiana na timu za uhamasishaji watashirikiana vyema na Wizara.

“Naishukuru sana Wizara ya Afya Kwa kulibeba hili katika kuhakikisha tunashirikiana Kwa pamoja Elimu na Uhamasishaji Kwa jamii,sisi kama wenyeji tunaungana nanyi hasa kwa kutumia magari ya Matangazo”amesema.

Nae Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Dkt.Martin Laay ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya Kutuma Wataalamu wa Wa Elimu ya Afya kwa Umma na ambao wamekuwa na mchango mkubwa katika kusaidia kazi ya kuelimisha na kuongeza kuwa ni muhimu zaidi Timu hiyo ya Wataalamu kutoka Wizara ya Afya , Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma kuendelea kuwepo katika maeneo hayo ili kuendelea kutoa Elimu na kuwajengea uwezo zaidi katika kujifunza namna ya kutumia mbinu mbalimbali katika kuelimisha Jamii pindi Magonjwa yanapotokea .

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya,Idara ya Kinga, Elimu ya Afya Kwa Umma Simon Nzilibili amesema wao kama Wizara watahakikisha Elimu inatolewa zaidi Kwa makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo wafugaji,watu wenye ushawishi Ili kuondoa dhana potofu kuwa mtoto mwenye Surua amelogwa.

“Tuna wajibu wa kuhakikisha tunashirikiana zaidi katika utoaji wa Elimu,tutatumia magari ya Matangazo na mbinu nyingine za uhamasishaji”amesema Nzilibili.

Ikumbukwe kuwa Ugonjwa wa Surua husababishwa na Virusi na huambukiza rika lolote lakini huathiri zaidi watoto na moja ya dalili zake ni kukohoa,koo kuuma,madoa ya rangi ya Kijivu na nyeupe sehemu ya ndani ya mashavu,upele mwekundu na macho kuwa mekundu.

Hivyo,baada ya kuripotiwa visa vya Ugonjwa wa Surua katika Mkoa wa Katavi Wizara ya Afya imeshatuma timu ya wataalam Kwa ajili Elimu ya uhamasishaji Chanjo ya Surua huku Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitarajia kuwasili Februari 23.2023 na siku ya Ijumaa Februari 24,2023 atafanya Mkutano na wananchi katika eneo la Majimoto Halmashauri ya Mpimbwe Mkoani Katavi.

About the author

Alex Sonna