Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

mavibet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WADAU SEKTA YA UMMA NA BINAFSI WATAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WANASAYANSI WANAWAKE NA WASICHANA

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga,akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, Prof.Maulilio Kipanyula,,akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo,akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga (hayupo pichani),wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI wa Ushauri na Usaidizi wa Vyuo vya Ufundi Mhandisi Dkt. Gemma Kishari Modu,akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi  Naibu  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga (hayupo pichani)  mara baada ya kuhutubia hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga,akiwa katika picha ya pamoja na washiriki mara baada ya kuhutubia hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu yaliyofanyika leo Februari 11,2023 jijini Dodoma.

……………………………………

Na.Alex Sonna-DODOMA

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga,amewataka wadau wa sekta ya umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za wanasayansi wanawake na wasichana kuimarisha mchango wa utafiti na ubunifu wenye tija kwa ustawi wa uchumi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Kauli hiyo ameitoa leo Februari 11,2023 jijini Dodoma wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi mwaka 2023 yaliyoandaliwa na wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau wa Sayansi,Teknolojia na ububifu.

Kipanga amesema kuwa maadhimisho hayo yana umuhimu wa kuhamasisha wanawake na wasichana kuwa wanasayansi ili kuchochea maendeleo ya nchi.

“Ubunifu wa wanawake na wasichana ni unahitajika na unachangia kikamilifu katika maendeleo hayo, tunafarijika sana kuona watanzania hasa wanawake na wasichana wanazalisha bunifu nzuri,”amesema Kipanga

Aidha amesema kuwa serikali inaendelea kuwekeza na kuwezesha kwenye miundombinu ya rasilimali watu itakayowezesha kufanyika utafiti wa kisayansi wa kuzalisha bunifu zinazojibu kero za watanzania ili kukuza sekta ya viwanda na za kipaumbele ifikapo 2025.

Hata hivyo wito kwa wazazi na jamii kuhamasisha watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi na ubunifu kwa ajili ya maendeleo ya taifa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo,amesema kuwa bunge linatambua umuhimu wa kumkomboa mtoto wa kike katika kumpatia elimu hasa elimu ya sayansi, hesabu na ubunifu.

Awali, Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, Prof.Maulilio Kipanyula amesema kuwa takwimu zinaonesha kuwa ni asilimia 24 pekee ya wanafunzi wa kike waliopo vyuoni wanasoma masomo ya Sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati.

About the author

Alex Sonna