Featured Kitaifa

RAIS DKT.MWINYI AFUNGUA MASJID ISTIQAMA MKWAJUNI MKOA KASKAZINI UNGUJA.

Written by mzalendoeditor

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa nne kulia) akifungua pazia kama ishara ya Uzinduzi wa Masjid Istiqama leo,Msikiti   uliojengwa  Mkwajuni  Mkoa wa Kaskazini Unguja, kwa nguvu za wananchi na ufadhili wa  Bw.Suleiman Mohamed Yahya (wa nne kushoto)  katika sherehe iliyofanyika sambamba na    Swala ya Ijumaa .

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kushoto) alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati waliokaa mbele) kuzungumza na Waumini baada ya kiufungua Masjid Istiqama,Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja hafla iliyokwenda sambamba  na Swala ya Ijumaa leo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Bw.Suleiman Mohamed Yahya akiwa Mfadhili wa Ujenzi wa Masjid Istiqama katika Kijiji cha Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja,ambapo ujenzi wake umefanyika kwa kushirikiana na Nguvu za Wananchi na Mfadhili huyo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  alipokuwa akisisitiza jambo wakati alipotoa  hutuba yake leo mara baada ya Swala ya Ijumaa sambamba na Ufunguzi wa Masjid Istiqama  katika Kijiji cha Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja,ambapo ujuenzi wake ulifanyika kwa ufadhili wa Sheikh,Suleiman Mohamed Yahya na Nguvu za Wananchi na Waumini wa Dini ya Kiislamu. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  (katikati) pamoja na Viongozi wengine na Waumini wakiitikia dua iliyosomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kushoto)baada ya hafla ya  Swala ya Ijumaa sambamba na Ufunguzi wa Masjid Istiqama  katika Kijiji cha Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  (kulia) alipokuwa kimpongeza Ramadhan Omar Mcha Wanamadrasa waliokuwa wakisoma Qaswida kwa Kumshindikiza Rais baada ya hafla ya   Ufunguzi wa Masjid Istiqama  katika Kijiji cha Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja, hafla iliyofanyika leo ambapo Viongozi mbali mbali na Waumini walihudhuria katika sherehe hiyo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikata utepe kama ishara ya Uzinduzi wa Masjid Istiqama ,Msikiti   uliojengwa  Mkwajuni  Mkoa wa Kaskazini Unguja, kwa nguvu za wananchi na ufadhili wa  Bw.Suleiman Mohamed Yahya (wa pili kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kushoto) katika sherehe iliyofanyika sambamba na Swala ya Ijumaa leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Mfadhili wa Ujenzi wa Masjid Istiqama Bw.Suleiman Mohamed Yahya mara alipowasili na kufungua Msikiti huo leo,uliojengwa  Mkwajuni  Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Picha na Ikulu

About the author

mzalendoeditor