Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

DKT. MSONDE:’UKISHINDWA KUSIMAMIA KUSOMA, KUANDIKA NA KUHESABU JITATHMINI HAUTOSHI

Written by Alex Sonna

Asila Twaha, TAMISEMI

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka viongozi wanaosimamia elimu katika Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa kujitathmini katika ufuatiliaji wa mwenendo wa elimu kwa watoto kwa kujua kusoma,kuandika na kuhesabu wanaomaliza elimu ya msingi.

Dkt. Msonde ameeleza hayo tarehe 4 Januari, 2023 katika Kikao kazi cha Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Taaluma na Watu Wazima kilichofanyika Dodoma.

Amesema kutokana na tabia ya baadhi ya viongozi kusahau majukumu yao kwa kutowafuatilia walimu sehemu zao za kazi na kushindwa kufanya kazi kwa waledi, inapelekea kutokuwepo kwa ufanisi katika kazi na matokeo yake kusababisha kutopatikana kwa elimu bora na watoto kumaliza elimu ya msingi kushindwa kusoma, kuhesabu na kuandika.

Aidha, amewataka viongozi hao kutokubali kukabidhiwa watoto kuanzia darasa la awali kutoka kwa wazazi/walezi na kisha mtoto huyo amalize darasa la saba kwa kutokujua kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK).

“Hilo halitakubalika baadhi ya watu waharibu mipango na malengo ya Serikali, haiwezekani mtoto anamaliza darasa la saba hawezi kusoma, kuhesabu na kuandika ingelikuwa ni mtoto wako kama mzazi utajisikiaje kama kiongozi uliyepewa dhamana ikitokea hivyo maanake jitathmini hutoshi” amesisitiza Dkt. Msonde

Amewataka viongozi hao kutojikweza kwa uongozi na madaraka sababu sio lengo la Serikali bali lengo ni kwenda kushirikiana na walimu kwa kuwafuatilia na kujua changamoto kwa pamoja na kuzipatia ufumbuzi na sio kuwakatisha tamaa walimu.

Dkt. Msonde amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga na kuboresha elimu nchini pamoja na kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia Januari, 2023 watoto wengi wataingia shule fedha zilizotolewa za ujenzi wa madarasa 8000 asilimia 96 yamekamilika tushirikiane na jamii ili watoto hao waliochaguliwa waingie shuleni.

“Tuna walimu wazuri wakihamasishwa kwa kupewa motisha, ari na hamasa ya kufanya kazi tutakuwa na taifa bora sababu wataalamu wetu wengi wanatokana na walimu ” Dkt. Msonde

Kwa upande wake Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Bi. Paulina Nkwama amewataka viongozi hao kusimamia misingi ya utumishi wa walimu katika kuwafuatilia maadili na utekelezwaji wa majukumu yao ikiwemo suala la ufuatiliaji wa utoro wa walimu ambao unazorotesha elimu na kama walimu watakuwa vizuri kwa kutekeleza kwa ufanisi, waledi na ubunifu tutakuwa na watu wenye elimu bora nchini.

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Elimu Ofisi ya Rais- TAMISEMI Bw. Vicent Kayombo ametoa rai kwa viongozi hao kwenda kuyasimamia na kuyatekeleza maelekezo waliyopangiwa na viongozi hao sababu wameaminiwa na ni jukumu lao kusema wanaenda kuleta mabadiliko ya elimu kwa maslahi ya taifa.

Katika hatua nyingine, Dkt. Msonde amewataka viongozi hao kusimamia kwa kuwaandaa watoto kuanzia darasa la Awali ili wanapofika darasa la nne na saba wafanye vizuri zaidi na sio kuwaacha mpaka wafike madarasa hayo ndio watumie nguvu kubwa.

About the author

Alex Sonna