Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

KATAMBI AWAHIMIZA WAWEZESHAJI STADI ZA MAISHA KUTOA ELIMU KWA VIJANA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati hafla ya kufunga mafunzo ya stadi za maisha (Life Skills) kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu katika ukumbi wa Midland hoteli, mkoani Mwanza, Disemba 17, 2022.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo ya stadi za maisha (Life Skills) wakimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akikabidhi cheti kwa Mkufunzi wa Chuo cha VETA – Mwanza, Bw. Bakari Mahundu (kulia) wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo.

Afisa Maendeleo ya Vijana Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Godfrey Massawe akieleza jambo wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya stadi za maisha (Life Skills) kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika katika ukumbi wa Midland hoteli, mkoani Mwanza, Disemba 17, 2022.

********************

Na: Mwandishi Wetu – MWANZA

 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amewataka wawezeshaji stadi za maisha kuhakikisha elimu hiyo inawafikia vijana wasio na Ulemavu na wenye Ulemavu ili waweze kutambua uwezo wao wa kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za ujenzi wa Taifa.

Naibu Waziri Katambi ametoa agizo hilo leo Disemba 17, 2022 wakati akifunga mafunzo ya stadi za maisha (Life Skills) kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu katika ukumbi wa Midland hoteli, mkoani Mwanza huku akieleza lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha kuwa elimu ya stadi za maisha inajumuishwa kwenye afua na programu za kushughulikia changamoto za vijana ikiwemo vijana wenye Ulemavu.

Amesema kuwa, elimu ya stadi za maisha ni muhimu kwa kuwa inawajenga vijana na kuwapatia mbinu na maarifa ambayo yatawasaidia kutambua fursa zilizopo, namna ya kuweza kuzifikia na kujikwamua kiuchumi.

“Vijana wakipatiwa elimu ya stadi za maisha watahamasika kuwa na mabadiliko chanya ya tabia, mienendo na mitazamo. Natumaini mtatumia elimu hii kuhakikisha kwamba kunakuwa na mafunzo ambayo yatawasaidia vijana kuwa na mbinu na maarifa mbalimbali zitakazo wawezesha kujitambua, kuwa na uthubutu na kufanya maamuzi sahihi,”

Ameongeza kuwa, ifikapo mwaka 2023 idadi ya waelimishaji wa stadi za maisha kitaifa inatarajiwa kufika 352 kutoka idadi ya wawezeshaji 142 waliopo kwa takwimu za mwaka 2022, ongezeko hilo itakuwa sawa na 60.2% ya lengo lililokusudiwa, hivyo kutakuwa na ongezeko kubwa la idadi ya waelimishaji rika wanaotarajiwa kutoa elimu ya stadi za Maisha kwa vijana wengi zaidi.

Aidha, Naibu Waziri katambi amesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Serikali katika kushughulikia masuala mbalimbali ya Watu wenye Ulemavu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeendelea kusimamia na kutekeleza maagizo yanayotolewa na viongozi mbalimbali ikiwemo Mheshimiwa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu katika kuimarisha ustawi wa Watu wenye Ulemavu nchini, ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya stadi za maisha kwa vijana wenye Ulemavu ili waweze kujitambua, kuwa na uthubutu, kufanya maamuzi sahihi na kuepuka vishawishi pamoja na mazingira hatarishi.

Sambamba na hayo ameeleza hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kuboresha Vyuo vya Ufundi Stadi na Marekebisho kwa Watu wenye Ulemavu sita ikiwemo Yombo – Dar es Salaam, Luanzari – Tabora, Mtapika – Mtwara, Sabasaba – Singida, Mirongo – Mwanza na Masiwani – Tanga. Sambamba na ujenzi wa vyuo vipya 3 katika mkoa wa Songwe, Ruvuma na Kigoma.

“Ni wajibu wetu kuwatambua Watu wenye Ulemavu, kuwasikiliza na kuwahudumia,” amesema

Pia, ameshukuru Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu katika kuwezesha kutoa mafunzo hayo ya stadi za maisha (Life Skills) kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu.

Naye, Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Mwanza, Bw. Daniel Machunda ameishukuru Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Idara ya Maendeleo ya Vijana kwa kutoa mafunzo hayo katika mkoa huo ikiwa ni pamoja na zoezi la majaribio ya Mwongozo wa Stadi za Maisha kwa vijana wa halmashauri ya Nyamagana na Ilemela ambapo mafunzo hayo yalifanyika disemba 5 hadi 9, 2022.

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo cha Ufundi Stadi na Marekebisho Sabasaba, mkoani Singida, Bi. Fatuma Malenga amesema kuwa elimu ya stadi za maisha waliyopata wataitumia vyema kwa kuwajengea vijana uwezo ili waweze kujitambua, kuwa na uthubutu na kufanya maamuzi sahihi.

About the author

Alex Sonna