Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

mislibet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

tarafbet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

galabet giriş

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

zirvebet

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

mobilbahis

marsbahis giriş

kingroyal

jojobet

jojobet

trust score weak 3

pusulabet

Canlı Casino Siteleri

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

casibom

realbahis

ikimisli

queenbet

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

jojobet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

galabet giriş

galabet

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

google

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

sonbahis

amgbahis

esbet

casinowon

mercurecasino

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

ikimisli

queenbet

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

casibom giriş

casibom

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

goldenbahis

holiganbet

galabet

holiganbet

mislibet

casibom

tambet

Hacklink panel

betturkey

meritking

google giir

Marsbahis

madridbet

realbahis

casibom giriş

royalbet

jojobet giriş

royalbet

casibom giriş

casibom giriş

casibom

merit

bahsegel

bahsegel giriş

galabet

galabet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

galabet

robinbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

betvole

betvole

betkolik

betkolik

betplay

betplay

aresbet

aresbet

alfabahis

alfabahis

gobahis

gobahis

livebahis

livebahis

atlasbet

atlasbet

ultrabet

ultrabet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

coinbar

coinbar

elitcasino

elitcasino

bahisfair

bahisfair

gonebet

gonebet

betovis

betovis

Featured Kitaifa

WAKUFUNZI MASUALA YA WENYE ULEMAVU WANOLEWA STADI ZA MAISHA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana, Dkt. Mwiga Mbesi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika leo Disemba 12, 2022 koani Mwanza.

Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana, Dkt. Mwiga Mbesi (hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa mafunzo ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika mkoani Mwanza.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Rasheed Maftah akieleza jambo wakati wa mafunzo hayo kuhusu Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika mkoani Mwanza.

Mwezeshaji Bw. Robert Semkiwa (aliyesimama kushoto) akifafanua jambo kuhusu stadi za maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu. Kulia ni Mwezeshaji wa Stadi za Maisha kitaifa, Bi. Rhoda Kagogo (aliyesimama).

Afisa Maendeleo ya Vijana Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Godfrey Massawe akitoa elimu wakati wa mafunzo hayo.

Afisa Maendeleo ya Vijana Mwandamizi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Diana Kasonga akitoa elimu wakati wa mafunzo hayo.

********************

Na: Mwandishi Wetu – MWANZA

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeendelea kutoa elimu ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu ili kuwezesha vijana wenye Ulemavu nchini kuelewa njia sahihi za kushughulikia changamoto na mahitaji yao.

Akizungumza, wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo mkoani Mwanza, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka ofisi hiyo, Dkt. Mwiga Mbesi ameeleza kuwa Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya vijana nchini ikiwemo kuwapatia mafunzo ya stadi za maisha yatakayo wawezesha kujitambua, kuhimili mihemko, kutatua matatizo na kufanya maamuzi.

“Vijana ndio nguvu kazi ya taifa na serikali inatambua mchango mkubwa walionao katika kukuza uchumi wa nchi, hivyo Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu ilianzisha programu ya stadi za maisha ili kuwezesha vijana kujitambua,”

Ameeleza kuwa, vijana wenye Ulemavu wapo kwenye hatari zaidi ya kukabiliwa na matendo mbalimbali ya ukatili, hivyo mafunzo hayo yatajikita katika kuhakikisha elimu ya stadi za maisha inajumuishwa kwenye afua na programu za kushughulikia changamoto za vijana wenye Ulemavu.

Ameongeza kuwa, awali mwongozo huo wa stadi za maisha umetumika katika kuwajengea uwezo wawezeshaji wa kitaifa wa stadi za maisha 142 kwa kushirikiana na mamlaka za mikoa na serikali ambao wameweza kutoa mafunzo kwa waelimishaji rika 16,390 katika mikoa yote Tanzania bara. Waelimishaji rika hao wametoa mafunzo kwa vijana wapatao 655,600.

“Wakufunzi 26 mliopo katika mafunzo haya kama kila mmoja wenu atatoa elimu kwa waelimishaji rika 100 wenye ulemavu tutaweza kuwa na waelimishaji rika 2600, hivyo waelimishaji rika hao wakiweza pia kuwafikia vijana 50 kila mmoja tutakuza uelewa na elimu wa stadi za maisha kwa vijana 130,000 wenye Ulemavu,”

Amefafanua kuwa, Wawezeshaji wa kitaifa hivi sasa wapo 379 ikiwemo Maafisa vijana wa halmashauri (185), Maafisa Vijana wa Mkoa (26), Wakufunzi na watendaji kutoka taasisi zanazoshughulikia Watu wenye Ulemavu (26) ambapo idadi ya wawezeshaji hao watatoa mafunzo kwa waelimishaji rika na pia watatoa mafunzo kwa vijana ili ifikapo 2023 vijana wapatao 2,960,000 waweze kunufaika na mafunzo hayo.

Vile vile, Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa mwaka 2017 Ofisi ya Waziri Mkuu ilianza kufanya mapitio ya Mwongozo wa stadi za maisha wa mwaka 2009 lengo ikiwa ni kuhakikisha masuala mapya yaliyojitokeza katika duru za kitaifa, kikanda na kitaifa kwa ajili ya maendeleo ya vijana yanahuishwa kwenye Mwongozo.

Aidha, amewataka wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu kuhakikisha elimu ya stadi za maisha inawafikia vijana wenye ulemavu ili waweze kujitambua, kuwa na uthubutu na kufanya maamuzi sahihi.

Pia, amewataka vijana kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo mikopo inayotolewa kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana unaoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na mikopo inayotolewa na halmashauri 4% kwa Vijana, 4% Wanawake na 2% kwa Watu wenye Ulemavu.

Naye, Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Rasheed Maftah alieleza kuwa, mafunzo watakayopatiwa wakufunzi na watendaji kutoka kwenye taasisi zinazoshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu yatawezesha kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto zinazokabili Watu wenye Ulemavu nchini.

Kwa upande wa washiriki wa mafunzo hayo wameshukuru kupata elimu hiyo na wameahidi kutoa elimu hiyo kwa walengwa ili waweze kuwezesha kundi hilo kujitambua na kuona umuhimu walionao katika ujenzi wa maendeleo ya taifa.

About the author

Alex Sonna