Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

WAKUFUNZI MASUALA YA WENYE ULEMAVU WANOLEWA STADI ZA MAISHA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana, Dkt. Mwiga Mbesi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika leo Disemba 12, 2022 koani Mwanza.

Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana, Dkt. Mwiga Mbesi (hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa mafunzo ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika mkoani Mwanza.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Rasheed Maftah akieleza jambo wakati wa mafunzo hayo kuhusu Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu yaliyofanyika mkoani Mwanza.

Mwezeshaji Bw. Robert Semkiwa (aliyesimama kushoto) akifafanua jambo kuhusu stadi za maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu. Kulia ni Mwezeshaji wa Stadi za Maisha kitaifa, Bi. Rhoda Kagogo (aliyesimama).

Afisa Maendeleo ya Vijana Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Godfrey Massawe akitoa elimu wakati wa mafunzo hayo.

Afisa Maendeleo ya Vijana Mwandamizi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Diana Kasonga akitoa elimu wakati wa mafunzo hayo.

********************

Na: Mwandishi Wetu – MWANZA

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeendelea kutoa elimu ya Stadi za Maisha kwa wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu ili kuwezesha vijana wenye Ulemavu nchini kuelewa njia sahihi za kushughulikia changamoto na mahitaji yao.

Akizungumza, wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo mkoani Mwanza, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka ofisi hiyo, Dkt. Mwiga Mbesi ameeleza kuwa Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya vijana nchini ikiwemo kuwapatia mafunzo ya stadi za maisha yatakayo wawezesha kujitambua, kuhimili mihemko, kutatua matatizo na kufanya maamuzi.

“Vijana ndio nguvu kazi ya taifa na serikali inatambua mchango mkubwa walionao katika kukuza uchumi wa nchi, hivyo Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu ilianzisha programu ya stadi za maisha ili kuwezesha vijana kujitambua,”

Ameeleza kuwa, vijana wenye Ulemavu wapo kwenye hatari zaidi ya kukabiliwa na matendo mbalimbali ya ukatili, hivyo mafunzo hayo yatajikita katika kuhakikisha elimu ya stadi za maisha inajumuishwa kwenye afua na programu za kushughulikia changamoto za vijana wenye Ulemavu.

Ameongeza kuwa, awali mwongozo huo wa stadi za maisha umetumika katika kuwajengea uwezo wawezeshaji wa kitaifa wa stadi za maisha 142 kwa kushirikiana na mamlaka za mikoa na serikali ambao wameweza kutoa mafunzo kwa waelimishaji rika 16,390 katika mikoa yote Tanzania bara. Waelimishaji rika hao wametoa mafunzo kwa vijana wapatao 655,600.

“Wakufunzi 26 mliopo katika mafunzo haya kama kila mmoja wenu atatoa elimu kwa waelimishaji rika 100 wenye ulemavu tutaweza kuwa na waelimishaji rika 2600, hivyo waelimishaji rika hao wakiweza pia kuwafikia vijana 50 kila mmoja tutakuza uelewa na elimu wa stadi za maisha kwa vijana 130,000 wenye Ulemavu,”

Amefafanua kuwa, Wawezeshaji wa kitaifa hivi sasa wapo 379 ikiwemo Maafisa vijana wa halmashauri (185), Maafisa Vijana wa Mkoa (26), Wakufunzi na watendaji kutoka taasisi zanazoshughulikia Watu wenye Ulemavu (26) ambapo idadi ya wawezeshaji hao watatoa mafunzo kwa waelimishaji rika na pia watatoa mafunzo kwa vijana ili ifikapo 2023 vijana wapatao 2,960,000 waweze kunufaika na mafunzo hayo.

Vile vile, Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa mwaka 2017 Ofisi ya Waziri Mkuu ilianza kufanya mapitio ya Mwongozo wa stadi za maisha wa mwaka 2009 lengo ikiwa ni kuhakikisha masuala mapya yaliyojitokeza katika duru za kitaifa, kikanda na kitaifa kwa ajili ya maendeleo ya vijana yanahuishwa kwenye Mwongozo.

Aidha, amewataka wakufunzi na watendaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu kuhakikisha elimu ya stadi za maisha inawafikia vijana wenye ulemavu ili waweze kujitambua, kuwa na uthubutu na kufanya maamuzi sahihi.

Pia, amewataka vijana kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo mikopo inayotolewa kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana unaoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na mikopo inayotolewa na halmashauri 4% kwa Vijana, 4% Wanawake na 2% kwa Watu wenye Ulemavu.

Naye, Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Rasheed Maftah alieleza kuwa, mafunzo watakayopatiwa wakufunzi na watendaji kutoka kwenye taasisi zinazoshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu yatawezesha kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto zinazokabili Watu wenye Ulemavu nchini.

Kwa upande wa washiriki wa mafunzo hayo wameshukuru kupata elimu hiyo na wameahidi kutoa elimu hiyo kwa walengwa ili waweze kuwezesha kundi hilo kujitambua na kuona umuhimu walionao katika ujenzi wa maendeleo ya taifa.

About the author

Alex Sonna