Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet

jojobet

holiganbet

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

meritking

jojobet

jojobet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betpark

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

VIONGOZI BEBENI AJENDA YA UKATILI KWENYE VIKAO VYENU-WAZIRI GWAJIMA

Written by Alex Sonna

Na WMJJWM, DSM

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ametoa wito kwa viongozi hasa wa Kata, Vijiji na Mitaa kuifanya Ajenda ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto kuwa ya kudumu katika majukumu yao.

Waziri Dkt. Gwajima ametoa wito huo alipozungumza na wananchi wa Kata ya Chamazi, Wilaya ya Temeke, Mkoani Dar es salaam ambapo ameshiriki na wananchi hao kuhitimisha madhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kwa watoto yaliyofanyika kwenye Kata hiyo, Desemba 13, 2022.

Amefafanua kwamba viongozi wana wajibu wa kujadili na kutafuta ufumbuzi kuhusu masuala ya ukatili kama ilivyo kwa masuala mengine ya muhimu kwenye maeneo yao.

Aidha, ameupongeza uongozi wa Kata ya Chamazi chini ya uongozi wa Diwani wa Kata hiyo Mhe. John Gama, kwa kuwa wa kwanza nchini kutekeleza wito wa kuunganisha nguvu za wadau wote pasipo itikadi za kiimani wala kisiasa katika kujipanga kuimarisha mapambano.

“Ndiyo maana Kiongozi namba moja Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema suala la ajenda ya ukatili wa kijinsia, uwezeshaji kiuchumi tulibebe. Hivyo kila kiongozi wa kijamii huko aliko hahitaji kuandikiwa barua ya kutekeleza. Twendeni na Ajenda ya kijamii, twendeni tukayachambue haya mambo tujue tunaishi vipi” amesema Waziri Dkt Gwajima

Ameendelea kusisitiza kuwa bila kujadili Masuala ya kijamii, ukatili haiwezi kuisha. Hivyo amesisitiza mwaka 2023 uwe ni mwaka wa kufanya mapinduzi kwenye vipaumbele vya ajenda za vikao ngazi zote kuanzia mtaa/kata na Halmashauri hadi Taifa.

Waziri Gwajima amesisitiza kuwa, ajenda ya kutokomeza ukatili wa kijinsia na kwa watoto ikipewa kipaumbele sambamba na kutumika kwa haki ya kisheria ya Halmashauri kutunga sheria ndogo ni Dhahiri mambo mengi yanayochochea ukatili huu wa kijinsia na kwa watoto yanaenda kukoma.

Amehimiza kuwa, pamoja na kuhitimisha siku 16, za Kampeni hiyo inaanza Kampeni endelevu ya siku 365 hivyo, majeshi yote ya jamii ikiwemo SMAUJATA, SKAUTI, GIRLS GUIDE, Majukwaa ya Wanawake, Wajane, wenye Ulemavu, Vijana, Wazazi, Mabaraza ya Wazee na Watoto, Polisi Kata na Dawati la Jinsia, Wasaidizi wa Kisheria, Viongozi wa Dini, Mashirika yasiyo ya kiserikali, Watoa huduma za Tiba Asili na wengine kwa pamoja chini ya uongozi wa Kamati za MTAKUWWA wakaandae mpango kazi kulingana na mazingira yao kisha taarifa ya utekelezaji iwe inawasilishwa kwenye vikao vyote vya Halmashauri.

Ameongeza pia Halmashauri zione uwezekano wa kutunga sheria ndogo kudhibiti vichocheo vya ukatili huu kwani halmashauri hizo zinayo mamlaka hayo kisheria. Aidha, ametoa wito kila mmoja kuwajibika kwa sababu ufuatiliaji utafanyika ngazi zote.

Afisa Mtendaji wa Kata ya Chamazi Dafrosa Peter akitoa taarifa ya utekelezaji ya Kata amebainisha kuwa, mwezi Januari hadi Desemba mwaka huu, kata hiyo kwa kushirikiana wadau imepokea mashauri ya ukatili wa watoto 58 yakiwemo ya kingono 12,ya kudhuru mwili 19, utumikishwaji majumbani na maeneo mengine 15 ambapo, mashauri 12 kati ya hayo ymeshughulikiwa, 6 yanaendelea mahakamani na 3 tayari yamepatiwa hukumu.

Kwa upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsia kituo cha Polisi mkoa wa Temeke Meckridige Mwingira amesema
Dawati hilo linafanya kazi na asasi za Serikali na zisizo za Serikali kutoa elimu katika shule za msingi na sekondari katika kata 10 za Wilaya hiyo na kubainisha makosa yanayoripotiwa hasa ni ubakaji, ulawiti, shambulio ya aibu, kutekeleza familia, ukatili wa watoto, ukatili dhidi ya wanaume.

Naye mmoja wa wananchi aliyeshiriki hitimisho hilo amewaasa wazazi kukaa karibu na watoto wao pamoja na changamoto zote za shughuli za kiuchumi wanazokumbana nazo.

About the author

Alex Sonna