Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

radissonbet

betbey

jojobet

cashwin

gameofbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

grandpashabet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

holiganbet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

queenbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

betsat

extrabet giriş

gameofbet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Featured Kitaifa

MAKAMISHNA TUME YA WATUMISHI WA UMMA WAFANYA ZIARA WILAYANI BAHI

Written by Alex Sonna

 

MWENYEKITI wa Tume ya Watumishi wa Umma Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola,akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw.Athuman Masasi,wakati wa ziara ya Makamishna kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma.

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw.Athuman Masasi,akitoa taarifa ya miradi inayofanywa na halmashauri hiyo wakati wa ziara ya Makamishna ya  kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika.

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Balozi Adadi Rajabu,akiwasisitiza jambo watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Bahi wakati wa ziara ya Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma waliofanya ziara  katika Wilaya hiyo.

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw.Athuman Masasi,akiwaeleza jambo Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma waliofanya ziara ya kutembelea Miradi inayotekelezwa pamoja na Kujifunza na kuona namna Mashine za Kieletroniki za Ukusanyaji Mapato (POS) zinavyotumika na Mikakati iliyopo katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vyao.

MWENYEKITI wa Tume ya Watumishi wa Umma Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola,akiwa na wajumbe wakiangalia namna Mashine za Kieletroniki za Ukusanyaji Mapato (POS) zinavyotumika katika Stendi ya Bahi wakati wa ziara ya Makamishna wa Tume hiyo katika Halmashauri ya Bahi.

MWENYEKITI wa Tume ya Watumishi wa Umma Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Kujifunza na kuona namna Mashine za Kieletroniki za Ukusanyaji Mapato (POS) zinavyotumika katika Stendi ya Bahi wakati wa ziara ya Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma.

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw.Athuman Masasi,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupokea maelekezo kutoka kwa Makamishna wa Tume ya Watumishi wa Umma walipofanya ziara ya katika Halmashauri ya Bahi kutembelea na Kujifunza na kuona namna Mashine za Kieletroniki za Ukusanyaji Mapato (POS) zinavyotumika katika Vituo vyao.

KAMISHNA wa Tume ya Utumishi wa Umma Balozi Adadi Rajabu,akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Makamishna wa Tume ya Watumishi wa Umma walipofanya ziara katika Halmshauri ya Wilaya ya Bahi.

…………………………………….

Na.Alex Sonna-BAHI

TUME ya Watumishi wa Umma imewakumbusha watendaji nchini kuwa waaminifu katika utendaji kazi hasa katika suala la kutumia Mashine za kielektroniki za Ukusanyaji Mapato   ili kuepukana na changamoto za upotevu wa Mapato ya Serikali .

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola,wakati wa ziara ya Makamishna ya kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma ambapo amesema changaomoto hizo za upotevu wa mapoto umepelekea kufukuzwa kazi kwa baadhi ya watumishi wa umma.

Jaji Mstaafu Kalombola amesema kuwa  mtumishi wa umma ni lazima aweke mbele  maslahi ya nchi kwamba hizi fedha wanazokusanya siziwe kwa matumizi binafsi ni kwa matumizi ya nchi nzima.

 “Tumekuwa tukipambana na hali hiyo kwani kuna mashine ambazo zinatumika sasa kumekuwa na kasoro tumekuja kuzigundua.

“Unakuta wamefikishwa kwenye mamlaka ya nidhamu kutokana na kasoro ambazo zingeweza kuzuilika  na hii  inatokana  na makusanyo yanakusanywa.

“Halafu fedha zinabakia kwa mkusanyaji wengine siku tatu mpaka nne kama binadamu wanajikuta wanaingia katika matatizo

“Kwa sababu anaingia katika vishawishi kwa kujisahau kwamba fedha hizo ni za Serikali na ni mali ya Serikali na inazitumia kwa maendelea,”amesema Jaji Mstaafu Kalombola

Amesema kuwa wamekuja katika Halmashauri ya Bahi kuwasisitizia watumishi kuhusu  matumizi ya fedha za serikali yanaweza kuwapeleka katika shida.

“Tumekuja kusisitiza kuja kuhimiza cha msingi ni kuwa mwaminifu na huu ni wito kwa ajili ya wakusanya mapato wote Tanzania nzima,”amesema.

Aidha amezikumbusha Halmashauri pale ambapo mtumishi amefanya kosa basi taratibu sheria na kanuni ni lazima zifuate

“Nasisitiza taasisi na halmashauri wanapomshughulikia mtumishi inatakiwa wafuate taratibu na kanuni.Na inatakiwa ifanywe hivyo hata sisi tusibaki kuwa na majalada mengi ambayo yalikuwa hayana haja ya kufika kwetu.

“Waajiri wazingatie hizo taratibu  kanuni na sheria na watumishi wafanye kazi sio kwa mazoea wafanye kwa kufuata taratibu na kanuni,”amesema

Kwa upande wake,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw.Athuman Masasi amesema wanaendelea na ukusanyaji wa mapato na kazi yao kubwa ni kuhakikisha wanathibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato hayo.

“Kwa mfano ukusanyaji wa mapato kwa kutumia mashine unahitaji uaminifu na uadilifu mtu anaweza asikate kama ambavyo amepaswa kukata.

“Na akakosa uaminifu kazi yetu kubwa tunafanya ukaguzi  mara tunapokutana na watu wa namna hiyo hana risiti sahihi sisi tunapiga faini lakini huyu ambaye hakukata risiti nae tunaweka utaratibu wa kuwachukulia hatua,”amesema Bw.Masasi

Masasi amesema wanaishukuru Serikali kwa kufanya jitihada za kuhakikisha kunakuwa na mifumo ya ukusanyaji mapato.

“Jukumu letu sio kulala  na kusubiri mtu akusanye pia ni na kwenda kumfuatilia huko huko,”amesema

Naye Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Balozi Adadi Rajabu amesema kumekuwa na rufaa  nyingi ambazo watumishi wamefukuzwa kutokana na mfumo wa POS  Mashine.

“Sisi kama Tume tumeona ngoja tungalie hili tatizo na Tamisemi wamegundua hilo lakini wanakuja na mfumo mwingine wa Tausi utatatua haya matatizo ambayo yameonekana,”amesema Balozi Rajabu

Katika Ziara hiyo wamezungumza na watumishi pamoja na kutembelea  Miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Bahi na kuwatembelea Watendaji wa Vijiji kwa lengo la Kujifunza na kuona namna Mashine za Kieletroniki za Ukusanyaji Mapato (POS) zinavyotumika na Mikakati iliyopo katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vyao.

About the author

Alex Sonna