Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking giriş

meritking

meritking

mavibet giriş

meritking telegram

marsbahis giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

kingroyal

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

bodrum escort

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

İmajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE BADO WANGALI KATIKA MADHILA YA UKATILI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wananchi wa katika soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es salaam tarehe 22 Novemba, 2022, kuelekea uzinduzi wa Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia utakaofanyika tarehe 25 Novemba, 2022

Mbunge wa Jimbo la Ukonga Mhe. Jerry Slaa akizungumza na wananchi wa soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kigogo Freshi Emmanuel Tarimo akizungumza kwa niaba ya wananchi wa eneo hilo wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Mkurugenzi wa Shirika la WILDAF Anna Kulaya akitoa salaam za shirika hilo kwa wakazi wa Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es Salaam wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Wananchi na wafanyabiashara wa eneo la soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es salaam wakifuatilia taarifa kwa Umma iliyotolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

…………………………………..

Na WMJJWM, DSM

Imeelezwa kwamba asilimia 40 ya wanawake wenye umri wa miaka 15-49 wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono mara moja au zaidi katika kipindi cha maisha yao.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, ameyasema hayo akizungumza na waandishi wa Habari pamoja na wananchi katika soko la Kigogo Fresh, Pugu jijini Dar es Salaam tarehe 22 Novemba, 2022 kuelekea siku 16 za kupinga ukatili.

Waziri Dkt. Gwajima amesema taarifa hizo za Utafiti wa Afya ya uzazi na Viashiria vya Malaria inaonesha pia kwa mwaka 2015/16 kwamba asilimia 20 ya wanawake wa umri huo wameingiliwa kimwili bila ridhaa yao.

“Katika kupambana na tatizo la Mauaji na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, jamii yote tunatakiwa kuunganisha nguvu kwenye kubuni mikakati ya kijamii ambayo italeta tija na suluhisho la kudumu. Kwenye maeneo mengi ya nchi kuongezeka kwa uelewa juu ya masuala ya ukatili na madhara yake ni kutokana na utekelezaji wa mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili wa Mwaka 2017/18-2021/22 (MTAKUWWA)” amesema Dkt. Gwajima.

Amebainisha kuwa katika mpango wa MTAKUWWA wa miaka mitano, matokeo chanya yamepatikana kwa kuwashirikisha wananchi wenyewe na hasa kuwahusisha viongozi wa kijamii wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa kimila, wazee maarufu na watu wengine ambao wana sauti ndani ya jamii.

Ameongeza kwamba, katika kukabiliana na vitendo vya Ukatili wa Kijinsia hapa nchini, Serikali kwa kushirikian na wadau, imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuzuia na kukabiliana na vitendo vya ukatili.

Waziri Dkt. Gwajima amewataka wanaume kujitokeza kushiriki kutokomeza vitendo vya ukatili hasa kwa upande wao badala ya kuchukua maamuzi ambayo yana madhara kwa familia na jamii kwa ujumla.

“Serikali kupitia Wizara hii inashughulikia jinsia zote kwa ngazi zote kuanzia Polisi, Magereza, Halmashauri na pia namba 116, elezeni changamoto zenu” ameongeza Waziri Gwajima.

Ameendelea kusema kuwa, kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili ambapo uzinduzi utafanyika tarehe 25 Novemba, 2022 Serikali kwa pamoja na Wadau itafanya Kampeni katika ngazi zote kuanzia Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata na ngazi za Vijiji/Mitaa kulingana na mazingira na taratibu za maeneo husika.

Aidha, amewaasa Wakuu wa Mikoa kutoa Tamko kwa Umma kuhusu uwepo wa Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto na Wizara kwa ushirikiano na Wadau wake itafanya ufuatiliaji na kutangaza waliofanya vizuri katika maeneo husika kuhusu mbinu na mikakati ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia katika maeneo yao.

Halikadhalika, Waziri Dkt. Gwajima amesema ngazi zote zinazotekeleza zitaainisha baadhi ya Viongozi wa Serikali, Dini na Kimila, Wataalamu na Watu wenye Ushawishi katika Jamii ambao watakwenda katika vyombo vya habari; luninga na redio hasa redio za kijamii kuzungumzia vitendo vya ukatili wa kijinsia na hasa ukatili dhidi ya watoto katika kipindi chote cha siku 16 za kupinga ukatili.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Kigogo Freshi Emmanuel Tarimo amesema kwa sasa wananchi wa eneo hilo wengi wana uelewa kuhusu vitendo vya ukatili lakini changamoto ni kutotoa taarifa.

“Serikali inashirikiana vizuri na madawati ya jinsia ya polisi, Pugu, Chanika na Sitakishari, viongozi wa Dini, masuala ya haya yamepungua” amesema Emmanuel

Akitoa salaam za Shirika linaloshughulika na kupambana ukatili wa kijinsia WILDAF Mkurugenzi wa Shirika hilo Anna Kulaya amesema chimbuko la kampeni hiyo ni mauaji ya kinyama ya wanawake wa Mirabelle yaliyofanyika nchini Dominica mwaka 1960.

Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili mwaka huu inaadhimishwa kwa kaulimbiu isemayo “Kila Uhai Una Thamani: Tokomeza Mauaji na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto” na itazinduliwa Mkoani Dar Es Salaam tarehe 25 Novemba, 2022.

About the author

Alex Sonna