Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE BADO WANGALI KATIKA MADHILA YA UKATILI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wananchi wa katika soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es salaam tarehe 22 Novemba, 2022, kuelekea uzinduzi wa Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia utakaofanyika tarehe 25 Novemba, 2022

Mbunge wa Jimbo la Ukonga Mhe. Jerry Slaa akizungumza na wananchi wa soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kigogo Freshi Emmanuel Tarimo akizungumza kwa niaba ya wananchi wa eneo hilo wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Mkurugenzi wa Shirika la WILDAF Anna Kulaya akitoa salaam za shirika hilo kwa wakazi wa Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es Salaam wakati Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipofika kutoa taarifa kwa Umma kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

Wananchi na wafanyabiashara wa eneo la soko la Kigogo Freshi, kata ya Pugu, jijini Dar es salaam wakifuatilia taarifa kwa Umma iliyotolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili wa kijinsia Novemba 22,2022 ambapo uzinduzi utafanyika tarehe Novemba 25, 2022.

…………………………………..

Na WMJJWM, DSM

Imeelezwa kwamba asilimia 40 ya wanawake wenye umri wa miaka 15-49 wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono mara moja au zaidi katika kipindi cha maisha yao.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, ameyasema hayo akizungumza na waandishi wa Habari pamoja na wananchi katika soko la Kigogo Fresh, Pugu jijini Dar es Salaam tarehe 22 Novemba, 2022 kuelekea siku 16 za kupinga ukatili.

Waziri Dkt. Gwajima amesema taarifa hizo za Utafiti wa Afya ya uzazi na Viashiria vya Malaria inaonesha pia kwa mwaka 2015/16 kwamba asilimia 20 ya wanawake wa umri huo wameingiliwa kimwili bila ridhaa yao.

“Katika kupambana na tatizo la Mauaji na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, jamii yote tunatakiwa kuunganisha nguvu kwenye kubuni mikakati ya kijamii ambayo italeta tija na suluhisho la kudumu. Kwenye maeneo mengi ya nchi kuongezeka kwa uelewa juu ya masuala ya ukatili na madhara yake ni kutokana na utekelezaji wa mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili wa Mwaka 2017/18-2021/22 (MTAKUWWA)” amesema Dkt. Gwajima.

Amebainisha kuwa katika mpango wa MTAKUWWA wa miaka mitano, matokeo chanya yamepatikana kwa kuwashirikisha wananchi wenyewe na hasa kuwahusisha viongozi wa kijamii wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa kimila, wazee maarufu na watu wengine ambao wana sauti ndani ya jamii.

Ameongeza kwamba, katika kukabiliana na vitendo vya Ukatili wa Kijinsia hapa nchini, Serikali kwa kushirikian na wadau, imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuzuia na kukabiliana na vitendo vya ukatili.

Waziri Dkt. Gwajima amewataka wanaume kujitokeza kushiriki kutokomeza vitendo vya ukatili hasa kwa upande wao badala ya kuchukua maamuzi ambayo yana madhara kwa familia na jamii kwa ujumla.

“Serikali kupitia Wizara hii inashughulikia jinsia zote kwa ngazi zote kuanzia Polisi, Magereza, Halmashauri na pia namba 116, elezeni changamoto zenu” ameongeza Waziri Gwajima.

Ameendelea kusema kuwa, kuelekea Siku 16 za Kupinga Ukatili ambapo uzinduzi utafanyika tarehe 25 Novemba, 2022 Serikali kwa pamoja na Wadau itafanya Kampeni katika ngazi zote kuanzia Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata na ngazi za Vijiji/Mitaa kulingana na mazingira na taratibu za maeneo husika.

Aidha, amewaasa Wakuu wa Mikoa kutoa Tamko kwa Umma kuhusu uwepo wa Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto na Wizara kwa ushirikiano na Wadau wake itafanya ufuatiliaji na kutangaza waliofanya vizuri katika maeneo husika kuhusu mbinu na mikakati ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia katika maeneo yao.

Halikadhalika, Waziri Dkt. Gwajima amesema ngazi zote zinazotekeleza zitaainisha baadhi ya Viongozi wa Serikali, Dini na Kimila, Wataalamu na Watu wenye Ushawishi katika Jamii ambao watakwenda katika vyombo vya habari; luninga na redio hasa redio za kijamii kuzungumzia vitendo vya ukatili wa kijinsia na hasa ukatili dhidi ya watoto katika kipindi chote cha siku 16 za kupinga ukatili.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Kigogo Freshi Emmanuel Tarimo amesema kwa sasa wananchi wa eneo hilo wengi wana uelewa kuhusu vitendo vya ukatili lakini changamoto ni kutotoa taarifa.

“Serikali inashirikiana vizuri na madawati ya jinsia ya polisi, Pugu, Chanika na Sitakishari, viongozi wa Dini, masuala ya haya yamepungua” amesema Emmanuel

Akitoa salaam za Shirika linaloshughulika na kupambana ukatili wa kijinsia WILDAF Mkurugenzi wa Shirika hilo Anna Kulaya amesema chimbuko la kampeni hiyo ni mauaji ya kinyama ya wanawake wa Mirabelle yaliyofanyika nchini Dominica mwaka 1960.

Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili mwaka huu inaadhimishwa kwa kaulimbiu isemayo “Kila Uhai Una Thamani: Tokomeza Mauaji na Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto” na itazinduliwa Mkoani Dar Es Salaam tarehe 25 Novemba, 2022.

About the author

Alex Sonna