Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

HISTORIA YAANDIKWA IKUNGI.

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki mahafali ya kwanza ya darasa la saba ya Shule ya Msingi ya Mbwanjiki na kuwahakikishia wananchi kuwa serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia ili watoto wapate elimu bora kama ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),2020/2025, ilivyoahidi.

Shule ya Mbwanjiki awali ilikuwa shikizi kwa miaka 35,ambapo Januari 2022,kwa jitihada za serikali,wananchi na mbunge ilikamilisha majengo na kukidhi vigezo vya kusajiliwa kuwa shule ili kuondoa adha iliyokuwa inawakabili wanafunzi kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita saba.

Akizungumza Novemba 17,2022, katika mahafali hayo Mtaturu aliyekuwa mgeni rasmi amesema kukamilika kwa shule hiyo kumeondoa adha waliyokuwa wanaipata wanafunzi hasa kipindi cha masika.

“Kila mmoja anafahamu historia ya eneo hili,watoto wetu walikuwa wanatembea zaidi ya kilomita saba kwenda shule ya msingi Ikungi,na kipindi cha masika walipata shida kwani kuna mto mkubwa unakatiza kati ya Kijiji cha Ikungi na Mbwanjika,”

“Changamoto hizo zilikuwa zinachangia utoro wa wanafunzi na kuepelekea kushuka kwa taaluma,kama kiongozi nililiona hili na nashukuru serikali imetuunga mkono tumefanikisha ujenzi wa shule hii na matunda yake tunayaona leo,niwapongeze wananchi kwa kupata shule mpya baada ya kusubiri kwa zaidi ya miaka 30,”amesema.

Amewashukuru wazee waanzilishi wa wazo Mchungaji Naftal Ngughu na Philipo Ntandu kwa kutoa ardhi ilipojengwa shule hiyo na wananchi kushiriki kwa nguvu zao kuanzisha ujenzi na baadae serikali kuja kutuunga mkono.

“Nawashukuru na kuwapongeza kwa moyo wenu huu,natamani huu moyo wa kushiriki maendeleo mlionao Mbwanjiki usambae jimbo zima,niwaombe wananchi kuitunza shule hii mpya ili iwanufaishe wananchi kwa ujumla,pandeni miti,tunzeni mazingira ya shule ili kuleta madhari nzuri zaidi,”amesema.

“Niwaase wanafunzi wanaoagwa kujitunza wakati mnasubiri matokeo ya mitihani yenu ,wazazi nao mnaowajibu wa kuendelea kuwatunza wanafunzi hawa ili waendelee kupata haki yao ya elimu,”amesisitiza.

Ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapelekea Shilingi Milioni 80 na kuwezesha kujenga madarasa manne na hatimaye kuruhusu shule mpya ya msingi Mbwanjiki kuanzishwa.

“Kama haitoshi tumeletewa Shilingi Milioni 11 za kujenga matundu 10 ya choo,lakini mimi niliwaletea Shilingi Milioni 3 kusaidia kujenga matundu 6 ya vyoo kupitia mfuko wa jimbo,”amesema.

Akizungumzia kuhusu maji Mtaturu amesema tayari kisima kirefu kimechimbwa wanachotafuta ni fedha za kujenga miundombinu ya maji na katika swala la umeme mkandarasi amesambaza nguzo anaelekea kufunga nyaya ili umeme uwashwe.

Mtaturu ametumia hadhara hiyo kuwajulisha wananchi kuwa wamepokea mahindi tani 75 kwenye ghala la Ikungi kutoka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA,ambapo chakula kinauzwa kwa bei nafuu ili kupunguza makali ya bei sokoni na makali ya upungufu wa chakula.

“Niwasihi wananchi kuzitumia vizuri mvua zinazoanza kunyesha ili kujipatia chakula cha kutosha tofauti na msimu uliopita haukuwa mzuri kabisa na kulazimika kuiomba serikali kupitia Waziri wa Kilimo kutuletea chakula cha bei nafuu,”.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya shule Joel Isingo amemshukuru sana Mbunge Mtaturu kwa kupambania kuanzishwa kwa shule hiyo tangu akiwa mkuu wa wilaya hadi sasa amekuwa Mbunge.

“Awali alichangia mifuko 50 ya saruji na matofali 750 na baadae Shilingi Milioni 3 za mfuko wa jimbo ili kuunga mkono juhudi za wananchi.,”amesema.

Nae Mchungaji wa Kanisa la KKKT Melkizedeki Mundu amempongeza Mbunge kwa juhudi anazozifanya kuleta maendeleo kwenye kijiji chao,Kata ya Ikungi na Jimbo la Singida Mashariki na kwa ujumla maendeleo yanaonekana kwa macho na sio ndoto.

“Mbunge wetu umekuwa baraka sana toka umeingia ubunge tupelekee salaam kwa Mhe Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwa kusikia kilio chetu kupitia wewe,”amesema.

Akisoma risala ya wahitimu Nasma Mghenyi ameipongeza serikali kwa jitihada zake na kueleza mafanikio yaliyopelekea kuondokana na changamoto mbalimbali zilizopo shuleni kama upungufu wa matundu ya vyoo, madarasa,walimu,nyumba za walimu, umeme na maji shuleni.

About the author

Alex Sonna