Featured Kitaifa

MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI JIJINI DODOMA

Written by mzalendoeditor

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 1, 2022. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hai, Saasisha Mafuwe, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exhaud  Kigahe, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 1, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor