Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

TUCHANGAMKIE FURSA ZITOKANAZO NA MIRADI YA KIMKAKATI-MAJALIWA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi  Nyegezi jijini Mwanza akiwa katika  ziara ya siku tatu Mkoani humo,

…………………………..

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wajipange kikamilifu kutumia fursa zitokanazo na miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Oktoba 17, 2022) baada ya kukagua miradi ya ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi Nyegezi pamoja na ujenzi wa Meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu akiwa katika ziara ya kikazi ya siku tatu ya kukagua miradi ya kimkakati inayotekelezwa mkoani Mwanza.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwahakikishia wananchi kuwa hakuna mradi wowote wa kimkakati utakaokwama kwani Serikali imejipanga kikamilifu kwa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuikamilisha. “Endeleeni kuiamini Serikali yenu.”

Ujenzi wa mradi wa Stendi Kuu ya Mabasi Nyegezi unatarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni 15 na utakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu utachukua mabasi makubwa 120 na magari[m1]  madogo 80, pia unategemea kuiingizia Halmashauri ya Jiji la Mwanza shilingi bilioni 2.5 kwa mwaka. Kwa sasa mradi huo umefikia asilimia 98.

Akizungumzia kuhusu mradi wa ujenzi wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu, Mheshimiwa Majaliwa amesema kwa sasa ameridhishwa na kazi inayoendelea na kwamba ameendelea kumsisitiza mkandarasi ahakikishe mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyohitajika. “Nimefurahi kuona meli imefikia hatua hii.”

Mei 7, 2022 Mheshimiwa Majaliwa alifanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu na aliliagiza Jeshi la Uhamiaji mkoani Mwanza kuchukua hati za kusafiria za wakandarasi wa kampuni ya Gas Entec Building Engineering wanaojenga meli hiyo kutokana na kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba.

Waziri Mkuu baada ya ukaguzi huo alibalini kuwa kampuni ambayo Serikali iliingia nayo mkataba ya GAS Entec iliuza share zake bila Serikali kuarifiwa na waliouziwa walipokuja walishangaa kuona ujenzi wa meli kwa sababu suala la ujenzi liko nje ya mauziano yao.

Mheshimiwa Majaliwa alisema Serikali imeshalipa asilimia 80 ya gharama za ujenzi wa meli hiyo lakini kazi iliyofanyika kwa mujibu wa mkataba ni asilimia 55 tu. Alisema taarifa alizonazo zinaonesha kuwa wafanyakazi walikuwa 118 lakini sasa wamebakia 22 tu.

“Haiwezekani tuwalipe hela hiyo, kazi haiendi kama ilivyopaswa. Tena wamepunguza Wafanyakazi kutoka 118 hadi 22, tunajuaje kama kesho watawaondoa hao 22 na wao wenyewe wapande ndege kurudi kwao, au waende Nairobi kupanda ndege,” alisema.

Naye, Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema mkandarasi alirejea tena Mei 16, 2022 na kuendelea na utekelezaji wa mradi huo kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu aliyoyatoa Mei 7, 2022, ambapo wafanyakazi wote waliokuwa wamesitishiwa mikataba yao waliendelea na kazi.

Amesema kwa sasa ujenzi huo umefikia asilimia 73 na Novemba 30, 2022 itashushwa majini ili kumalizia kazi za mifumo ikiwa inaelea na kwamba ujenzi huo unatarajiwa kukamilika Mei 30, 2023. Meli hiyo inajengwa katika Ziwa Victoria kwa gharama ya shilingi bilioni 108, itakuwa na uwezo wa kuchukua abiria 1,200 na tani 400 za mizigo.

Kwa upande wake, Mbunge wa jimbo la Sumve, Kasalali Mageni akizungumza kwa niaba ya Wabunge wa mkoa wa Mwanza, ametumia fursa hiyo kumshukuru Mheshimiwa Rais Samia kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa miradi mbalimbali  ya maendeleo anayoitekeleza mkoani hapa ikiwemo ujenzi wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi  Nyegezi jijini Mwanza akiwa katika  ziara ya siku tatu Mkoani humo,

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata  maelezo  kutoka kwa mhandisi wa mradi wa ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi Nyegezi jijini Mwanza, Mhandisi Henry Joseph (kushoto ) wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo jijini, Oktoba 17, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna