marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAISHAURI SERIKALI KUBORESHA UPATIKANAJI WA DAWA NA BIDHAA MUHIMU ZA AFYA

Written by Alex Sonna

Na Englibert Kayombo – WAF, Bungeni – Dodoma.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuboresha hali ya upatikanaji wa dawa nchini na kuhakikisha bidhaa muhimu zinapatikana kwa urahisi katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo inayoongozwa na Mheshimiwa Stanslaus Nyongo (Mbunge) kwenye kikao kilichoikutanisha Kamati hiyo, Viongozi na Watendaji wa Wizara Pamoja na Bohari ya Dawa (MSD) katika kumbi za mikutano ya Bunge Jijini Dodoma.

“Kilio cha wananchi ni ukosefu wa dawa kwenye vituo vya huduma za afya, tunaamini kupitia viongozi hawa wapya wa MSD watakuja na mikakati mizuri ya kutatua changamoto zilizopo na kuhakikisha dawa zinapatikana kwa kiwango kizuri” amesema Mhe. Nyongo

Aidha Kamati imeshauri wataalam wa afya kufanya maoteo sahihi ya mahitaji ya dawa ili kuiwezesha Serikali kufanya manunuzi sahihi ya dawa kulingana na mahitaji yaliyopo.

Kwa upande wake Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema katika kipindi hiki cha robo ya kwanza ya Mwaka huu wa Fedha 2022/23 Bohari ya Dawa imeshapokea kiasi cha shilingi Bilioni 40 kwa ajili ya ununuzi wa dawa.

Waziri Ummy amesema kuwa bado kuna maboresho yanafanyika ndani ya MSD na kuhakikisha wanatatua changamoto zilizokuwepo awali ili kuiwezesha MSD kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.

“Sambamba na kuweka miundombinu na kuwa na watumishi, kama dawa hakuna, vipimo hakuna, hakuna maana” amesisitiza Waziri Ummy Mwalimu na kuwataka watendaji ndani ya MSD kufanyia kazi changamoto za MSD na kuboresha utendaji kazi.

Bw. Mavere Tukai, Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa akiwasilisha taarifa amesema MSD itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutatua changamoto zinzoathiri mnyororo wa ugavi ili kuimarisha hali ya upatikanaji wa bidhaa za afya nchini.

Bw. Tukai amesema kuwa MSD inahitaji mtaji wa Fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 421 ili iweze kujiendesha yenyewe na kusema kuwa andiko kuhusiana na maombi ya mtaji huo limeshawasilishwa Wizara ya Fedha na Mipango Mwezi Julai 2022.

“MSD imeendelea kufanya juhudi za kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya huku kwa mwezi Julai hali ya upatikanaji wa bidhaa za afya muhimu 290 umeborshwa hadi kufikia asilimia 53” amesema Bw. Tukai.

Kuhusu upatikanaji wa dawa za miradi misonge (malaria, kifua Kikuu,/Ukoma Uzazi wa Mpango na Dawa za kufubaza Makali ya Virusi vya Ukimwi) Bw. Tukai amesema kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 dawa zilikuwa zinapatikana kwa wastani wa asilimia 90.

About the author

Alex Sonna