slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

WIZARA ZAKUBALIANA KUWEKA MIKAKATI THABITI KUBORESHA HUDUMA ZA MAKAZI YA WAZEE NCHINI

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, akikagua eneo la Kilimo cha mbogamboga lililopo katika Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Wizara ya Maji katika Makazi hayo.

……………………………………………

Na WMJJWM Tanga

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Wizara ya Fedha na Wizara ya Maji zimekubaliana kuweka mikakati thabiti ya kuhakikisha wanashirikiana katika kuweka mazingira wezeshi ya kuwahudumia Wazee nchini.

Hayo yamebainika wakati wa ziara ya Viongozi hao Agosti 27, 2022 katika Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga.

Akizungumza wakati qa ziara hiyo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amesema lengo la Wizara ni kushirikiana Wizara za kisekta ili kuweka mazingira mazuri ya kuwahudumia Wazee nchini na kufanya Makazi ya Wazee yaliyochini ya Wizara kuwa na tija ya uzalishaji na kuhudumia Wazee.

Ameongeza kutokana na ziara ya Viongozi wa Wizara hizo katika Makazi ya Wazee yanayohudumiwa na Serikali inaonesha umuhimu wa kuwepo na Wizara za kisekta ili kupata hali halisi ya kuona namba bora ya kutatua changamoto zilizopo.

“Sisi kama Wizara tupo tayari kutembea pamoja na Wizara zingine na kuhakikisha Wazee wanapata huduma bora katika Makazi na jamii nzima” alisema Mpanju

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashir Abdalah amesema Wizara hiyo itapeleka Maafisa wake kwenye eneo hilo la Makazi ya Wazee Misufini ili kutathimimi hali ya sasa ya Uwekezaji katika eneo husika kwa manufaa ya Wazee na Ustawi wa Jamii kwa ujumla.

“Tutahakikisha jambo lolote linalohusu Uwekezaji Viwanda na Biashara ndani ya maeneo ya Makazi ya Wazee nchini linatekelezwa kwa kasi na kwa matokeo chanya” alisema Dkt. Hashir

Naye Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Kaspar Mmuya amefafanua kuwa, suala la huduma kwa Wazee ni mtambuka na linashirikisha Sekta zote hivyo Ofisi ya Waziri Mkuu itaendelea kusimamia Uratibu wa Sera ambazo zinasimamia Wazee nchini ili kuboresha utoaji huduma kwa wazee.

Awali akitoa taarifa ya Makazi ya Wazee Misufini Afisa Mfawidhi wa Makazi hayo Mwamvita Kilima amesema Makazi hayo yanachangamoto ya mgogoro wa ardhi kwa wananchi kuvamia maeneo ya Makazi hayo, uchakavu wa miundombinu iliyopo hivyo amewaomba viongozi hao kusaidia kutatua changamoto hizo.

Ambapo katika hatua za awali za kutatua changamoto za kuwahudumia Wazee nchini ameiomba Wizara kuongeza watumishi wengine kwenye Makazi ya Wazee hasa ya Misufini ili kuongeza nguvu katika kutoa huduma bora kwa wazee.

Kwa upande wake Kamishna Msaidizi Tullo Masanja akitoa taarifa ya Mpango wa Wizara kwenye kuboresha huduma ya Makazi ya Wazee Misufini, amesema Wizara imeaanda andiko la mradi wa ujenzi wa Majengo ikiwemo nyumba tatu za kuhudumia Wazee 60 kwa pamoja na kuboresha miundombinu mengine.

Amefafanua kuwa lengo la Wizara ni kuweka mazingira mazuri ya kuwahudumia Wazee kwa kuhakikisha Makazi ya Wazee yanakuwa na miundombinu mbinu bora na nyenzo zingine kwajili kuwahudumia Wazee.

Nao baadhi ya Wazee wanaohudumiwa ndani ya Makazi ya Wazee Misufini wameishukuru Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika kufanikisha kutoka huduma kwa wazee wasio na ndugu na jamaa wa kuwatunza.

Ziara hiyo imejumuisha pia wadau kutoka WHO, SIDO TASAF na wadau wengine wa maendeleo nchini ikiwa ni muendelezo wa Wizara kutembelea na kufanya tathmini ya kina na kuja na mbinu mbadala yakuhudumia makazi ya Wazee.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, akizungumza wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Wizara ya Maji kwenye Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Kaspar Mmuya akizungumza wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Wizara ya Maji katika Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, akisalimiana na Wazee wanaohudumiwa katika Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Wizara ya Maji katika Makazi hayo

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, akikagua eneo la Kilimo cha mbogamboga lililopo katika Makazi ya Wazee Misufini yaliyopo mkoani Tanga wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Wizara ya Maji katika Makazi hayo.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

About the author

Alex Sonna