Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casinowon

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

matadorbet

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

spinco

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

jojobet

mercurecasino

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

paribahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

İmajbet

İmajbet

banka hesabı kiralama

Featured Kitaifa

BANDARI DAR ES SALAAM KUWA DUBAI YA AFRIKA

Written by Alex Sonna


Mwandishi Wetu

DAR ES SALAAM inaweza kuwa Dubai ya Afrika na kuvutia biashara kubwa ya kimataifa iwapo Serikali itashirikiana na sekta binafsi kutatua tatizo sugu la ufanisi mdogo wa Bandari ya Dar es Salaam, linalochangiwa na utendaji finyu wa kampuni binafsi ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania (TICTS), imebainika.

 

Ripoti mpya ya Bandari za Afrika Mashariki iliyotolewa na shirika la GBS Africa imesema kuwa ni lazima Bandari ya Dar es Salaam iongeze ufanisi kama inataka kushindana na bandari za Kenya, Afrika Kusini na Msumbiji.

 

TICTS, ambayo imekuwa inaendesha eneo la makontena la Bandari ya Dar es Salaam imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa bandari hiyo kwa zaidi ya maka 20 kutokana na kushindwa kuongeza ufanisi na kukuza uchumi wa nchi.

 

Iwapo bandari ya Dar es Salaam itaongeza ufanisi, Tanzania itaweza kupunguza mfumuko wa bei, kwani waagizaji wa bidhaa huongeza bei za rejareja za bidhaa sokoni hapa nchini ili kufidia gharama kubwa inayotokana na ucheleweshaji wa upakuaji wa makontena kwenye eneo la TICTS.

 

“Bandari ya Dar es Salaam inahudumia zaidi ya asilimin 90 ya mzigo wa nchi,” ilisema ripoti hiyo ya GSA Africa.

 

“Ingawaje ni ndogo kuliko bandari za Duban (Afrika Kusini) na Maputo (Msumbiji), bandari ya Dar es Salaam inaikamata kwa kasi bandari ya Mombasa kwenye ushindani wa biashara ya mzigo unaopitia Bahari ya Hindi,” ilisema ripoti hiyo.

 

Kwa sasa, Bandari ya Dar es Salaam haijaweza kunufaika na changamoto za ufanisi wa Bandari ya Mombasa kwa kuvutia biashara zaidi kutoka nchi za ukanda huu wa Afrika ambazo hazina baharı, ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,  Malawi, Uganda, Zambia, Rwanda, na Zimbabwe.

 

Wadau mbalimbali wanasema kuwa Bandari ya Dar es Salaam ingeweza kuzipiku Bandari za Kenya, Msumbiji na Afrika Kusini na kuwa kitovu cha kusafirisha mazao ya biashara na madani ya nchi za Afrika kama isingekuwa ni ufanisi duni wa upakuaji na ushushaji wa makontena.

 

Hivi karibuni, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kutishia kuvunja mkataba wa TICTS kutokana na changamoto hizo za ufanisi.

 

Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza hadharani kuwa ufanisi duni wa Bandari ya Dar es Salaam hauwezi kuvumiliwa na Serikali yake ya Awamu ya 6 ambayo inafanya jitihada kubwa kuifungua nchi.

 

Rais Samia tayari amemtoa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari, Eric Hamissi, na kumteua Plasduce Mbossa kama bosi mpya wa kuongoza mageuzi ya Bandari nchini.

 

Sasa hivi serikali iko kwenye mazungumzo na kampuni ya TICTS kuhusu uwezekano wa kuwaongezea miaka mitano zaidi mkataba wao unapoisha mwezi Septemba mwaka huu.

 

Hata hivyo, wadau mbalimbali wamejitokeza kuishauri serikali kutoiongezea TICTS mkataba wake kutokana na kushindwa kuleta ufanisi unaotakiwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

 

Chama cha ACT -Wazalendo kimeitaka Serikali kutoongeza mkataba na kampuni hiyo, huku Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Gabriel Migire, akinukuliwa akisema kuwa Serikali bado iko kwenye majadiliano na TICTS ili kuona kama iwaongezee mkataba au isiendelee.

 

“Timu yetu ya wataalamu iliyoundwa na Serikali bado ina muda wa kutosha wa kujadiliana na TICTS na hatimaye tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuamua kama tunaingia mkataba mwingine au hapana,” alisema Migire.

 

Hata hivyo, Msemaji wa sekta ya mawasiliano, teknolojia, habari na uchukuzi wa ACT Wazalendo, Ally Salehe, alisema suala la TICTS kukodishwa tena au la, linapaswa kuchukuliwa kwa umakini na kufikiwa uamuzi wenye kujali na kulinda uzalendo.

 

“Serikali isitishe nyongeza ya mkataba wa kukodisha kitengo cha makasha kati yake na TICTS, kwa kuwa ni wazi imeshindwa kukidhi matarajio ya Serikali yanayolenga kuongeza tija kwenye bandari yetu,” alisema Salehe.

 

Badala yake, ACT wameitaka Serikali kuiwezesha Mamlaka ya Bandari Tanzania kusimamia kitengo cha makasha kwenye Bandari ya Dar es Salaam katika wakati wa mpito, huku ikiendelea na mchakato wa kutafuta mwekezaji mwingine mwenye uwezo zaidi.

About the author

Alex Sonna