Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

HOSPITALI YA JIJI TANGA YAIPONGEZA SERIKALI KUWASOGEZEA VIFAA TIBA

Written by Alex Sonna

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Tanga Jiji (DMO) Dkt. Charles Mkombe akizungumza na maafisa kutoka Bohari ya Dawa (MSD) na waandishi wa habari leo Julai 18,2022 mkoani Tanga.Mashine ya ultrasound ambayo imekabidhiwa katika Hospitali ya Wilaya Tanga Jiji ambayo ni ya kisasa kwa ajili ya kutoa huduma katika hospitali hiyo Mteknolojia wa Mionzi wa Hospitali ya Wilaya Tanga Jiji Dkt.Mohamed Ally akionesha mashine mpya ya ultrasound waliyoipokea hivi karibuni, kwa ajili ya kuongeza nguvu za kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya katika hospitali hiyo ambayo ina miaka miwili tangu ifunguliwe Baadhi ya Vifaa tiba kwa ajili ya upasuaji vikiwa vimehifadhiwa kwenye chumba maalumu hospitali ya Wilaya Tanga jiji. Hospitali hii ni miongoni mwa vituo vipya 67 vilivyojengwa na kukarabatiwa na serikali.

***********************

NA MWANDISHI WETU

HOSPITALI ya jiji la Tanga inatarajia kuanza upasuaji wa uzazi pingamizi na kupokea wagonjwa wa rufaa ifikapo Septemba mwaka huu, baada ya kupokea vifaa tiba vya kisasa kutoka Bohari ya Dawa (MSD).

Akizingumza leo Julai 18,2022 Mkoani humo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Tanga Jiji (DMO) Dkt. Charles Mkombe, amesema hospitali hiyo ya Jiji ni kati ya vituo vya kutolea huduma za afya 67 vipya na vilivyofanyiwa ukarabati na serikali.

“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imelenga kuziwezesha hospitali hizo kupokea wagonjwa wa rufaa na tayari tumepokea vifaa tiba vya kisasa vilivyotolewa na serikali kutoka MSD ambapo hivi karibuni tutaanza upasuaji,”amesema.

Dkt.Charles, ameeleza kuwa lengo la maboresho hayo katika sekta ya afya hususani  huduma ya mama na mtoto ni kuimarisha sekta hiyo na kuchochea uchumi.

Ameongeza kuwa, hospitali hiyo inayohudumia wananchi 260,000 ilikuwa haifanyi upasuaji na kwa maelekezo ya Rais Samia Suluhu maandalizi yote yamekamilika ikiwemo watumishi wa kutosha, mazingira wezeshi yenye majengo 10 ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa.

Naye Mteknolojia wa Mionzi wa hospitali hiyo Dkt.Mohamed Ally, amesema vifaa tiba na mashine zilizopokelewa kutoka MSD ni pamoja na vifaa vyote vya wodi ya kujifungua ikiwemo mashine ya ultrasound yenye uwezo wa kupima moyo na kuchapa picha.

Aidha inaweza kupima afya ya mtoto iwapo amezaliwa salama bila tatizo, mfumo wa damu wa mama, matarajio ya kujifungua, mtoto amefikisha muda gani akiwa tumboni na namna alivyokaa kabla ya kujifungua.

Pia ina mfumo wa mawasiliano kwa kutuma taarifa za mgonjwa moja kwa moja kwa daktari bila ulazima wa kuchapa picha kwenye karatasi.

“Kwetu sisi watoa huduma tukiwa na vifaa kama hivi na mazingira wezeshi tunaona raha hata kufanya kazi, tunamshukuru sana Rais Samia na serikali yake kwa maboresho ya huduma za dharula mama na mtoto,”amesema.

Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt.Rashid Said, amesema hospitali ipo nje ya jiji la Tanga, ambapo inawasaidia wananchi wa pembezoni kutofuata huduma hizo mjini.

Amesema hatua ya kukamilika kwa utoaji huduma ikiwemo chumba cha upasuaji na  wodi ya wagonjwa mahututi itawezesha ipasavyo utekelezaji wa sera za sekta ya ipasavyo.

About the author

Alex Sonna