Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

kingroyal

jojobet

holiganbet

jojobet

meritking

meritking giriş

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

piabellacasino

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino giriş

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

mavibet

piabellacasino giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

mavibet giriş

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

mariobet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin

sahabet

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

betixir

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

casibom

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

maxwin

betpark

sahabet

vdcasino

jojobet

casibom

matbet

Jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

betwoon

giftcardmall/mygift

royalbet

pashagaming

artemisbet

sahabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

Featured Kitaifa

TAEC YATAJA SABABU ZA KUDHIBITI MIONZI KWENYE MNYORORO WA BIDHAA

Written by Alex Sonna

Mtafiti wa Tume ya Nguvu za Atomic Bw. Vitus Abel akitoa maelezo Kwa wananchi mbalimbali waliotembelea katika banda la taasisi hiyo kwenye maonesho ya 46 ya biashara ya Kimataifa viwanja wa Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Mtafiti wa Tume ya Nguvu za Atomic Bw. Alex  Muhulo  akitoa maelezo Kwa wananchi mbalimbali waliotembelea katika banda la taasisi hiyo kwenye maonesho ya 46 ya biashara ya Kimataifa viwanja wa Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), Peter Ngamilo amesema, kuna sababu nyingi na faida za kudhibiti mionzi kwenye mnyororo wa bidhaa kwa kuwa matumizi ya bidhaa hizo zenye viasili vya mionzi ni hatari kwa afya.

Ameyasema hayo akiwa katika Maonesho ya 46 ya Kimaiafa ya Dar es Salaam maarufu sabasaba yanayoendelea, viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam ambapo TAEC inashiriki kutoa elimu kwa Umma juu ya namna inavyotekeleza majukumu yake kisheria hapa nchini.

Bw. Ngamilo amebainisha kuwa TAEC wamejizatiti katika udhibiti wa matumizi salama ya mionzi, uhamasishaji na uendelezaji wa teknolojia ya nyuklia katika baadhi ya sekta za afya, mifugo, maji, kilimo, madini, viwanda.

Akibainisha sababu za msingi za kudhibiti mionzi kwenye mnyororo wa bidhaa Bw. Ngamilo amesema wanatoa elimu hiyo,kwa sababu wananchi walio wengi wamekuwa na shauku ya kujua kwa nini TAEC wanadhibiti mionzi kwenye mnyororo wa bidhaa.

“Amesema, mionzi ina faida nyingi na inachangia mambo mengi muhimu katika ustawi wa jamii lakini ikitumika ndivyo sivyo madhara yake kiafya ni makubwa hivyo udhibiti wa hali ya juu ili kuhakikisha matumizi salama ni lazima uzingatiwe.

Katika sekta ya afya mionzi hutumika katika uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali, kwenye Sekta ya Kilimo mionzi huwa inatumika katika kutafuta upatikanaji wa mbegu bora za mazao mbalimbali na kwenye Sekta ya Mifugo hutumika kutokomeza wadudu waharibifu kama ambavyo ilifanyika katika kuteketeza mbung’o kule Zanzibar.

Pia amesema, mionzi hutumika kwenye sekta za ujenzi kama vile ujenzi wa barabara, ujenzi wa reli, ujenzi wa mindombinu ya bomba la mafuta na katika suala zima la utafiti kwenye vyuo vikuu na maeneo mengine yanayofanya utafiti
Amesema, kuna sababu nyingi za kudhibiti mionzi kwenye mnyororo wa bidhaa kama safirishaji holela wa vyanzo vya mionzi unaweza kupelekea uchafuzi wa mionzi kwenye mnyororo wa bidhaa na endapo wananchi wakizitumia bidhaa hizo zenye viasili vya mionzi matokeo ni kupata magonjwa ya saratani na kuharibu mfumo wa Vinasaba (DNA).

“Hivyo kama taasisi yenye jukumu la kudhibiti matumizi ya mionzi lazima tuhakikishe wananchi, mazingira, wagonjwa na wafanyakazi wanaotumia vyanzo vya mionzi kutoa huduma mbalimbali wanakuwa salama dhidi ya madhara yanayoweza kujitokeza kupitia mionzi.

“Sababu nyingine ya uwepo wa mionzi ya asili kwenye udongo na mazingira yetu kwa sababu nchi yetu katika maeneo mengi ina madini ya urani, hivyo ni jukumu letu kama taasisi ya kudhibiti na kuweza kuchukua sampuli mbalimbali za kimazingira na mimea ili kupima na kuangalia viasili vya mionzi vilivyomo, hii yote ni katika kuhakikisha tunawalinda watanzania dhidi ya madhara mabaya ya mionz,”amesema.

Ametaja sababu nyingine kuwa, ni wajibu wa Serikali kulinda wananchi dhidi ya uchafuzi wa mnyororo wa bidhaa.

Bw.Ngamilo amesema kutokana na majukumu hayo, kwasasa TAEC ina ofisi 30 nchi nzima huku lengo ni kuhakikisha wananchi wanalindwa dhidi ya madhara yatokanayo na mionzi lakini pia kurahisisha biashara kwa wafanyabiashara wote nchini.

Sababu nyingine, Bw.Ngamilo amesema kuwa, ni kuhakikisha wanalinda soko la bidhaa nje ya nchi kwani kwa sasa kuna vita kubwa ya kiuchumi hivyo ni jukumu la serikali kulinda masoko ya bidhaa za Tanzanaia nje ya nchi ili isije ikatokea mtu mwenye nia ovu kuweka viasili vya mionzi kwenye bidhaa na hatimaye tukapoteza soko la bidhaa zetu nje ya nchi.

Sababu nyingine ni kutimiza matakwa ya Sheria namba 7 ya Nguvu za Atomiki ambayo inawataka kudhibiti, Sheria za kimataifa kama Sheria ya Shirika la Afya Duniani (WHO),Shirika la Kilimo na Chakula Duniani (FAO) na Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) ambapo Tanzania ni wanachama.
“Hizi ni baadhi ya sababu za msingi zinazotufanya sisi kama Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania tuweze kudhibiti mionzi katika mnyororo wa bidhaa,”amesema Ngamilo.

About the author

Alex Sonna