marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

Featured Kitaifa

MISA TANZANIA YATOA MAFUNZO YA SHERIA KWA WAHARIRI WA HABARI

Written by Alex Sonna
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu Haki na Uhuru wa Kujieleza kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA leo Ijumaa Julai 8,2022 jijini Dar es salaam. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA leo Ijumaa Julai 8,2022 jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA leo Ijumaa Julai 8,2022 jijini Dar es salaam.
Afisa Programu kutoka MISA-TAN, Jacqueline Jones akizungumza kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Afisa Programu kutoka MISA-TAN, Jacqueline Jones akizungumza kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Mkurugenzi wa TAMWA, Dkt. Rose Reuben akitoa mada kuhusu masuala ya kijinsia kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Mkurugenzi wa TAMWA, Dkt. Rose Reuben akitoa mada kuhusu masuala ya kijinsia kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Mshauir wa Vyombo vya Habari/ Mkufunzi, Rose Haji Mwalimu akizungumza kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Mwenyekiti wa MISA – Tanzania , Salome Kitomari akizungumza wakati wa semina kwa wahariri wa habari kuhusu sheria mbalimbali zinazohusu tasnia ya habari
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Esther Zelamula kutoka Channel Ten akichangia hoja kwenye semina hiyo.
Jennifer Sumi kutoka AZAM Media akichangia hoja wakati wa semina hiyo
Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Shirika la Habari Ujerumani (DPA) Peter Nyanje akichangia hoja kwenye semina hiyo
Mhariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nicodemus Ikonko akichangia hoja kwenye semina hiyo
Mwandishi wa habari Mwandamizi kutoka TBC, Chilu Matuzya akichangia hoja wakati wa semina hiyo.
Mhariri wa Habari Gazeti la Jamhuri, Dennis Luambano akichangia hoja kwenye semina hiyo
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
Wahariri wa Habari wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa MISA Tanzania kwa kushirikiana na TAMWA.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
……………………………………….
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu amewataka waandishi wa habari nchini Tanzania kuungana na kuendelea kusukuma mabadiliko ya vifungu mbalimbali vya sheria zinazosimamia taaluma ya uandishi wa habari,ambavyo vinaminya utendaji na ukuaji wa vyombo vya habari.
 
 
Aidha, amewataka kuzisoma mara kwa mara sheria hizo,kutoa maoni yao kwenye mchakato wa mabadiliko uliopo sasa,kwani kwa kufanya hivyo ni kuonyesha kujali na kwa kiasi gani jambo linawagusa.
 
 
Kwayu ametoa rai hiyo leo Ijumaa Julai 8,2022 Jijini Dar es salaam wakati wa Semina kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari kuhusu sheria mbalimbali za habari za vyombo vya habari nchini Tanzania, yaliyoandaliwa na Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Jangwa la Sahara (Media Institute of Southern Africa,Tawi la Tanzania (MISA Tanzania) kwa Kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA) kupitia Mradi wa International Media Support – IMS.
 
 
Semina hiyo ililenga kuwajengea uwezo Wahariri wa Habari kutambua na kuchambua sheria hizo pamoja na kutoa maoni yao.
 
Kwa mujibu wa Kwayu, baadhi ya vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari , Sheria ya Takwimu na Sheria ya Udhibiti wa Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), zinaminya uhuru wa kujieleza, upatikanaji wa taarifa na ukuaji wa vyombo vya habari nchini na kwamba zinahitaji kufanyiwa marekebisho ili kuwa rafiki kwa maendeleo ya nchi.
 
“Ukishakuwa na sheria mbaya huwezi jua saa ngapi itakukamata. Tusilale tusome, tupige kelele kuhusu sheria zinazotukandamiza, hizi sheria bado hazijarekebishwa,tupo kwenye mchakato ambao ni lazima tushiriki kwa kuwa inatuhusu,”amesema.
 
“Sheria hizi zina mamlaka makubwa sana, mfano Sheria ya EPOCA ni kubwa , inatugusa katika maisha yetu ya kila siku, kelele za kufanyia marekebisho sheria hii ziendelee kila siku. Tuna wajibu wa kupaza sauti kujitetea wenyewe juu ya sheria hizo ili pale inapowezekana ziweze kufanyiwa marekebisho ili zisiwe mwiba kwa wanahabari na vyombo vya habari”, ameongeza Kwayu.
 
 
Katika hatua nyingine Kwayu amewasisitiza waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele kutetea haki zao na kutetea za wananchi katika jamii, kwa kuwa wengi wamezikosa kwa kutozitambua jambo ambalo siyo sahihi.
 
 
“Waandishi wa habari ni watetezi wa haki za binadamu. Jambo linaloumiza mtu wewe mwandishi wa habari lazima likukere . Kama mwandishi wa habari hukereketwi na jambo la jamii achana na kazi ya uandishi wa habari kafanye kazi nyingine,ni lazima mjisimamie na kuwa tayari kusaidia mtu au jamii inapoumizwa”,amesema Kwayu ambaye alikuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Nipashe.
 
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa TAMWA, Dkt. Rose Reuben amewataka waandishi wa habari kuona umuhimu wa kuzingatia utekelezaji wa masuala ya jinsia kwa kuzingatia masuala ya usawa wa kijinsia wanapoandika habari zao.
 
“Huku kwenye vyombo vya habari tuweke kipaumbele kwenye masuala ya kijinsia na habari tunazoziandika zizingatie masuala ya jinsia”,amesema Dkt. Reuben.
 
Nao washiriki wa semina hiyo akiwemo Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Shirika la Habari Ujerumani (DPA) Peter Nyanje na Mwandishi wa habari Mwandamizi kutoka TBC, Chilu Matuzya wameishukuru MISA- Tanzania kwa kutoa mafunzo hayo huku wakishauri madawati ya jinsia kuanzishwa kwenye vyombo vya habari na kuhakikisha habari za kijinsia zinapewa kipaumbele.

About the author

Alex Sonna