Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

MAREKEBISHO YA SHERIA ZA HABARI NA USHIRIKISHWAJI WA WANAHABARI

Written by Alex Sonna

Na Kadama Malunde -Malunde 1 blog

Sheria kandamizi za vyombo na huduma za habari ni mojawapo ya changamoto inayokwamisha uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania. 
 
Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016 na Sheria ya Uhalifu wa Kimtandao ya mwaka 2015 ni miongoni mwa sheria zinazopigiwa kelele na wadau wa habari kwa kuwa chanzo cha wanahabari kukamatwa na/au kuwekwa vizuizini, vyombo vya habari kutozwa faini, na/au kufungiwa. 
 
Taasisi za MISA Tanzania na Baraza la Habari Tanzania zimekuwa mstari wa mbele kufuatilia na kuripoti ukiukwaji wa haki ya uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari nchini unaotokana na utekelezaji wa sheria hizi.
 
Hata hivyo, Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan umetoa matumaini ya kuimarika kwa mazingira ya uhuru wa vyombo vya habari na kujieleza.
 
 Hatua kadhaa zimechukuliwa na Serikali hii zikiwemo kufungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa na kuanzisha mchakato shirikishi wa marekebisho ya sheria zinazoratibu tasnia ya habari nchini.
 
Mchakato wa marekebisho ya sheria unahusisha uwakilishi wa wanahabari, wadau na Serikali ambao kwa pamoja watazipitia sheria husika, kujadiliana na kufanya marekebisho muhimu yatakayojenga mazingira wezeshi ya uwepo wa uhuru wa vyombo vya habari, kujieleza na kupata taarifa.
 
 Katika kufanikisha hilo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ,Mhe. Nape Nnauye ameshakutana na makundi mbalimbali ya wanahabari wakiwemo wanahabari walio chini ya mwamvuli wa Muungano wa Watetezi wa Haki ya kupata Taarifa (CORI). Katika mkutano huo Mhe. Waziri ameelekeza iundwe timu ya wanahabari itakayofanya majadiliano na timu ya Serikali ili kupata sheria nzuri kwa ustawi wa tasnia ya habari.
 
Hata hivyo, bado kuna changamoto ya ushiriki wa wanahabari wengi kutoshiriki ipasavyo katika mchakato huu kutokana na sababu kadha wa kadha.
 
 Imebainika, kukosekana kwa mkakati mzuri wa ushirikishwaji wa wanahabari hususan walioko pembezoni (mikoani), uelewa mdogo wa sheria za tasnia ya habari na mawasiliano pamoja na vifungo korofi inachangia wanahabari wengi kujiweka pembeni. 
 
 Kuna hofu ya baadhi ya taasisi za kihabari au wanahabari wenye ushawishi kutaka kuhodhi mchakato huu au kupigania maslahi binafsi ya taasisi zao. 
 
Pia, kukosekana kwa umoja na mshikamano miongoni mwa taasisi za kihabari kunakotokana na kila mmoja kutetea maslahi binafsi.
 
Aidha, uwakilishi hafifu wa makundi kama wanahabari wanawake na wale wenye ulemavu pamoja na baadhi ya vyama/taasisi za kihabari unatishia upatikanaji wa sheria itakayolinda maslahi ya Wanahabari walio wengi. 
 
Kadhalika, uzoefu unaonesha kwamba, wanahabari wengi hawana mwamko au ari ya kushiriki katika mchakato huu na hivyo kuwaachia waandishi wachache, hususan viongoz wa taasisi za kihabari na wanahabari nguli kufanya kazi hio.
 
Hivyo, ni wajibu wa taasisi na wadau wa habari nchini Tanzania kuhamasisha ushirikishwaji wa makundi yote ya wanahabari na wadau wake katika mchakato wa mabadiliko ya sheria na sera ya vyombo vya habari.
 
 Pia, taasisi na mashirika ya kihabari yaweke utaratibu mzuri wa kukusanya maoni ya wanahabari na wadau wa habari nchi nzima pamoja na kutoa mrejesho wa mara kwa mara wa mchakato unavyoendelea. 
 
Hatua hizi zitasaidia kupanua wigo wa ushirikishwaji wa Wanahabari katika mchakato wa marekebisho ya sheria lengwa na hivyo kupelekea upatikanaji wa sheria nzuri zitakazoboresha mazingira ya uwepo wa uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari nchini Tanzania.

About the author

Alex Sonna